Moto warudi tena Soko Kuu la Kariakoo

Moto warudi tena Soko Kuu la Kariakoo

Siyo huduma za moto peke yake ni kila kitu. Imagine mtu ndiyo umepata heart attack au stroke. Ambulance mpaka ikakufikie ni kazi. Na ikifika si ajabu ikawa mbovu au ikaishiwa mafuta njiani.

Na paramedics waliomo humo wanaweza wasije na kifaa hata kimoja. Kwa hizi huduma aisee wenzetu huko duniani wametuzidi sana. Moto kama huo dakika 5 tu wameshafika na mamitambo ya kila aina. Hata huwa sielewi tatizo letu ni nini yaani.
Halafu ukisoma post za wananzengo hapa unaweza kudhani wao ndiyo wenye dawa ya kumaliza changamoto hizo.

Wape hizo kazi sasa uone watakachofanya.
Sijajua tuna hini, huenda sisi wafrika tuna dosari za kimaumbile
 
Siyo huduma za moto peke yake ni kila kitu. Imagine mtu ndiyo umepata heart attack au stroke. Ambulance mpaka ikakufikie ni kazi. Na ikifika si ajabu ikawa mbovu au ikaishiwa mafuta njiani.

Na paramedics waliomo humo wanaweza wasije na kifaa hata kimoja. Kwa hizi huduma aisee wenzetu huko duniani wametuzidi sana. Moto kama huo dakika 5 tu wameshafika na mamitambo ya kila aina. Hata huwa sielewi tatizo letu ni nini yaani.
Tatizo katiba Mkuu. Misingi ya kuwajibishana. Leo tatizo linatokea ndio mpango kazi unatafutwa! Mama SSH Lete katiba mpya Mama.
 

Inasemekana moto umerudi tena Soko kuu la Kariakoo, bado zoezi la uzimaji moto katika Soko hilo linaendelea baada ya sehemu ambazo zilizimwa moto kufuka moshi na kuanza tena.

SOURCE: ITV
Kuna Yona amekuja na huo moto toka Nyanda za juu Kusini, asipodhibitiwa tutazama wote
 
Back
Top Bottom