Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa naye balaa anaandika sio poaCholo Brighter Kaachia Goma linaitwa weusi
naomba hiyo trap ya Nas na KRS one nikasikilize, inaitwaje hiyo ngoma maana kwenye kumbukumbu zangu Nas hajawah kupiga trap achilia mbali Teacher KRS one. NasubiriNi mbabaishaji tu kazi kudiss Kila mtu Nani atamsupport sasa? Kama anafanya mziki wake kwà ajili ya mtaa Basi apunguze kulia lia ..
Media zinataka mziki ambao watu wengi wataskiza siyo mtaani kwenu tu pumbavu.
Uyo Nikk abaki na hip-hop yake ya kizamani ..siku hizzi Hadi wakina Nas na KRS One wanafanya Trap kupiga hela za mashabiki yeye abaki na mipasho yake.
Jamaa cjui afanyaje ili ajibu hii ni T.K.O kabisa.......kuna verse imenifurahisha Ila nahisi nitakuwa cjaipangilia vzuri.....Fido daily anamdiss joh Mbona hujibu au unaogopa kichapo.....[emoji23]Daaah hapa mchizi kaua, hii ni zaidi ya kimbari
Daaah hapa mchizi kaua, hii ni zaidi ya kimbari
AmepuyangaCholo Brighter Kaachia Goma linaitwa weusi
Huyu mex cortez ni mtu na nusu aise,Mex Cortez kaua!
Motra haijibu hii Na mashabiki wote wa Motra hawajibu hi..
Wale wa Chuga wako wapi?
Weka ushabiki pembeni ..Hiyo ngoma ya cortex aliyomjibu montra n ya kawaida mnoo .... yan haifikii hata roboAlichokifanya Cortex ni uwezo binafsi ambao sio kila Mc naweza, kwa muda mfupi tu tangu motra kaachia diss jamaa katoa bars kali za kumjibu ambazo mimi naweza kusema ni freestyle
Pengine hata yeye motra amepata uoga kujibu kutokana na kwamba huwenda ilimchukua muda mrefu kuandika hiyo diss, sasa anapokuja ku battle na metrix anaingiwa na uoga maana jamaa ni kama ana waiter wa mistari anafanya kuagiza tu