Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Mex cortex kapiga ngumi kavu kavu za uso mchizi motra

Motra hatakiwi kumjibu huyu mchizi, atakuja kufa
Motraa katoa diss track kwa kikosi kazi. Hao mbarara wengine haangaiki nao ..

Sema Nini Motraa katoa ajira😂😂😂
 
kulingana na utafiti uliofanyika Hivi majuzi, #WEUPE ni diss track inayojitegemea yenyewe. Kilichoimbwa mule hakiitaji nyongeza yeyote Yani mzigo umekamilika kwa 100% ..

Hizi mbarara nyingine zinazopiga kelele zinatafuta pa kutokea kupitia hii ngoma ya #WEUPE.

Hizi ni taarifa za ndani kabisa kutoka kwenye intelijensia yangu.

#NorthZoneforRealHipHop💪💪
 
Punch za Motraa zinachoma zaidi ya Moto wa pasi aise😂😂😂

Motraa katoa ajira kwa mbarara za kikosi kazi.

SISI MASHABIKI TUNATAKA KIKOSI KAZI WAJIBU HOJA YA MOTRAA siyo hao mbarara
Diss ya kikosi kazi kwa weusi unajua ilitoka mwaka gani?
 
Chief nimeishia kusoma hapo uliposema umeanza kufatilia mziki mwaka 2000 [emoji23]

Ur still a junior. Mimi nakaa meza moja na Chief Ramson( nowdays anajiita Zavara) yani mc Zaiid nimemuona akizaliwa.
Reference yako ya kina juma nuture na kina inspector Haroun ni expirience ya juzi kabisa bado hainipi sababu ya kukuamini kuwa wewe ni mkali kuliko Motra otherwise weka ngoma yako hapa.
Kusoma vitabu vya mashairi ni jambo moja, na kuyachana hayo mashairi ni jambo lingine.

Kubali-kataa dogo amewachana kwa akili na style kali sana hao mabraza zako na mmeumia kweri-kweri.

Huyu motra labda mumjibu kwa albam mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ididnt have plan to listen the songs but his reply and your reply have made me to listen the songs....kwasababu kinachotafutwa kwenu ni uhalali wa kusema nani mkali kulingana na jinsi mnavyoujua muziki. Sijakaa na Zavara wala sijawai kwenda Msasani Kiingeni. Ila nimekuwa mfatiliaji wa hiphop for sometimes now hasahasa ktk muktadha kama huu wa kujua Nani mkali kwa uandishi, flow na punch. Nutarudi
 
Mwenye hulka ya atakayeiona kwake mambo hayajakaa sawa anakuchana ni Mbishi tu.

Songa hizo hana anafanya mziki wake na mambo yake.

Uno hana anafanya mziki wake na mambo yake.

Mansulii hana haya mambo anafanya mziki wake na mambo yake. Tena Mansulii anafanya Mziki tangu 2003 Sinza. Ushawahi msikia akimsema mtu zaidi ya C Pwaa kusema walichukua biti yake ya Pwaa!

Stereo anafanya mziki wake. Ukimzingua naye anakuchana ila mpaka umzingue.

Azma na wengineo akina Zaaid vivyo hivyo!

Waliyoanza kuwachana ni WEUSI wao wamemalizia kazi tu kama hujui..

Wewe Uarusha unakusumbua tu! Kwani ni nani asiyewajua watu wa Arusha? Mna Usisi. Sina haja ya kukuwekea mashairi ya Mex hapa! Kama watu ambao wapo kwenye hii tasnia ukikaa nao wanasema Mex kaua we nani? Zaidi ya kuleta Uarusha tu?

Eti nini? Hana info za kutosha kuhusu mpinzani wake? Mex kamchana King B Swag wa Sierra Leone (diss track) na jamaa alikaa! Motra yeye nani? Hata kwenye interview Mex àliulizwa swali hili. Jawabu lake ni rahisi tu, ajibu halafu aone kitakachomjia. Yeye Motra si ni mkali? Asiishie kujibu kwenye interview yeye ajibu diss track ya Mex.

Na hakuna aliyepanick. Dogo Amkie..
Kingine sina muda wa kuweka mashairi mzee ila nikikaa namkalisha Vizuri tu Motra.
Nimekupa like baada ya kuisikiliza nyimbo ya amkia.
 
Hamna best diss hapo
Na hii inathibitisha wengi hawajui muziki.
Huyo aliyeimba weupe analengo lingine na siyo kudiss. Lengo lake ni kutoka. Huwezi kuimba diss halafu useme wewe ni mwana hiphop Kisha vina havilingani..hakuna puch....sema tu amefanikiwa kutoka yupo kibiashara zaidi...kuliko kudiss hii inanikumbusha...Remmy Ma na Minaj...lengo la Remmy ilikuwa diss...wakati lengo la Minaj ni biashara...ndo nachokiona hapo huyo mweupe aamkie kutwa Mara tatu Kama
 
Kama anamuona motra ni mkali basi aje humu tu battle kwa freestyle tuone kama hatujamkalisha

Mex kaua na motra akijitusu kujibu tu amekwishaaa, nilimsikia kwenye interview yake jana mpaka anajichanganya, mwanzo alisema kawa inspired na tamaduni music baadaye akakanusha
Hawezi...he is up for commercial not for bars don't waste your time discussion a deuche like Montra
 
Mimi ndio hata sielewi hapa ngoja niendelee na mambo yangu[emoji116]
JamiiForums390048234.jpg
 
Hivi Cado Nondo hana kundi? Jamaa angesumbua sana
 
kulingana na utafiti uliofanyika Hivi majuzi, #WEUPE ni diss track inayojitegemea yenyewe. Kilichoimbwa mule hakiitaji nyongeza yeyote Yani mzigo umekamilika kwa 100% ..

Hizi mbarara nyingine zinazopiga kelele zinatafuta pa kutokea kupitia hii ngoma ya #WEUPE.

Hizi ni taarifa za ndani kabisa kutoka kwenye intelijensia yangu.

#NorthZoneforRealHipHop[emoji123][emoji123]
mkuu bado naisubiri trap ya Nas na Krs One
 
Hivi Cado Nondo hana kundi? Jamaa angesumbua sana
cado nondo ni street rapper ambaye yuko solo, japo kwenye makamuzi ya freestyle namuona mara kwa mara na frege
 
cado nondo ni street rapper ambaye yuko solo, japo kwenye makamuzi ya freestyle namuona mara kwa mara na frege
kwenye freestyle jamaa yuko poa sana,Ila kurekodi sidhani kama atatoboa
 
Mex nae tunatakiwa kumzingatia sana sio mtu mzuri kwenye Rap naona sasa tunakwenda kupata ladha ya rap za kiushindani kama zamani. Maana watoto walianza kujichetua na trap zao za uongo na kweli
Yah jamaa wakuzingatiwa sana anaflow nzuri pia hata kuandika yuko vizuri
 
Jamaa ni mkali wa freestyle ila sio mwandishi, ngoma zake alizoandika binafsi sizielewi

Ngoma zake kazipa majina ya ajabu ajabu kuna moja inaitwa "acha kujilimbwasa"
Mm binafsi huwa namwogopa na namuheshimu sana Rapper mwandishi mfano marehemu LANGA jamaa alikuwa anaandika vizuri mno ni marapa wachache wanaoweza kufreestle na kuandika vizur
 
Back
Top Bottom