Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Songa alisema

Ukitaka bars hapa zipo tele na tele, nina makucha kwa hiyo kwangu upele ni kwele.../
Remi ongala mbele kwa mbele, kacha haiwezi tunzwa na watoto mchele mchele.../
Not kacha Ni Culture
 
Hahahaha unadhani Motraa atajibu upuuzi wa iyo chali anatembelea upepo wake hahahaha.

Uyo atafute namna atoke asitegemee migongo ya watu.
 
Ndio maana tuna sema nyie wazaramo mna maneno ya kanga.

Unadhani Motra atamjibu uyo chali?
1639245875669.png
 
Ni mbabaishaji tu kazi kudiss Kila mtu Nani atamsupport sasa? Kama anafanya mziki wake kwà ajili ya mtaa Basi apunguze kulia lia ..
Media zinataka mziki ambao watu wengi wataskiza siyo mtaani kwenu tu pumbavu.
Uyo Nikk abaki na hip-hop yake ya kizamani ..siku hizzi Hadi wakina Nas na KRS One wanafanya Trap kupiga hela za mashabiki yeye abaki na mipasho yake.
Una wimbo KRS ONE wa trap ? Nitajie tafadhali
 
Soon cholo brighter atamuua Motra kupitia beat ya mtazano ngoma tume ipitika kikosi kazi tuka bariki itoke sisi hatuwezi mjibu motra atajibiwa na watoto wenzake
Huyu jamaa ni mnyama sana

Cholo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Na suggest huyu mtu nae angetoa kitu, vitoto vya chuga vikae kimya[emoji116]

Stan rhymes
 
Na suggest huyu mtu nae angetoa kitu, vitoto vya chuga vikae kimya[emoji116]

Stan rhymes
Aaah huyo naye balaa nadhani pia n zao la tamaduni....kama sio basi alipatikana kwenye zile city rap battles
 
Joh hawezi shuka eti kwa kupondwa na Azma/
Mtu ambaye anaforce miaka 10 kutoka kwa lazima/
Crew yenu mmefanana style kama mchele wa basmati/
Bora uwekeze nguvu sasa kuikuza Aznas/
 
Joh hawezi shuka eti kwa kupondwa na Azma/
Mtu ambaye anaforce miaka 10 kutoka kwa lazima/
Crew yenu mmefanana style kama mchele wa basmati/
Bora uwekeze nguvu sasa kuikuza Aznas/
huwezi kumuelewa one bila akili na info/
Labda ungefanya comedy ndo ingekuwa beneficial...........
 
Back
Top Bottom