Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not kacha Ni CultureSonga alisema
Ukitaka bars hapa zipo tele na tele, nina makucha kwa hiyo kwangu upele ni kwele.../
Remi ongala mbele kwa mbele, kacha haiwezi tunzwa na watoto mchele mchele.../
Ndio maana tuna sema nyie wazaramo mna maneno ya kanga.Unazungumzia track ipi maana katoa mbili back to back
Umeleta Uyuda, pokea zawadi ya Christmas by Mex
Iam a Giant i can step on you without even knowing...Baniani mbaya kiatu chake dawa, Nadhani mtanielewa nikimkanyaga huyu chawa.../
Una wimbo KRS ONE wa trap ? Nitajie tafadhaliNi mbabaishaji tu kazi kudiss Kila mtu Nani atamsupport sasa? Kama anafanya mziki wake kwà ajili ya mtaa Basi apunguze kulia lia ..
Media zinataka mziki ambao watu wengi wataskiza siyo mtaani kwenu tu pumbavu.
Uyo Nikk abaki na hip-hop yake ya kizamani ..siku hizzi Hadi wakina Nas na KRS One wanafanya Trap kupiga hela za mashabiki yeye abaki na mipasho yake.
Hujui kurap ni kwamba unajua jua kivipi unatoka SUA na bado unasuasua.“We si mpenda weusi, basi endelea kutembelea kivuli”
Huyu jamaa ni mnyama sanaSoon cholo brighter atamuua Motra kupitia beat ya mtazano ngoma tume ipitika kikosi kazi tuka bariki itoke sisi hatuwezi mjibu motra atajibiwa na watoto wenzake
Aaah huyo naye balaa nadhani pia n zao la tamaduni....kama sio basi alipatikana kwenye zile city rap battlesNa suggest huyu mtu nae angetoa kitu, vitoto vya chuga vikae kimya[emoji116]
Stan rhymes
huwezi kumuelewa one bila akili na info/Joh hawezi shuka eti kwa kupondwa na Azma/
Mtu ambaye anaforce miaka 10 kutoka kwa lazima/
Crew yenu mmefanana style kama mchele wa basmati/
Bora uwekeze nguvu sasa kuikuza Aznas/
Crew yenu mnafanana style km mchele wa Basmathuwezi kumuelewa one bila akili na info/
Labda ungefanya comedy ndo ingekuwa beneficial...........