Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Kanyoosha mikono au alikuwa anawapa counselling wasijihisi inferior now wamepona wameamua wamtume motra awajibie, hii ya saizi itakuwa kama ile ya kimbari
Jamaa hajui anachokiongea may be rap sio mziki wake anajoforce tu
 
mawenge ka-surrender kaweka mikono juu, amekiri Yesu ni Bwana,
tafuta interviews zake umsikie anasemaje kuhusu hiyo nyimbo yake.

Sasa weupe watatoa nyimbo ya kumjibu nani hilihali Weusi wamekaa kimya ??

kwanza wana bajeti ?? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Dude vitu vinhine kama hujui bora ukae kimya tu
 
Hao KIKOSI kazi wanatafuta namna ya kurudi kwenye game maana bongo makundi ya hip-hop ni mawili tu.
WEUSI waliwapotezea Sasa wanatafuta namna ya kurudi. Bila WEUSI kuwadiss Hawa jamaa watapotea kwenye ramani ya mziki.
Motraa Chali wa nyumbani kabisa kawadiss ..wakijibu Kama kundi watakuwa ni WAPUMBAVU.
P mawenge anasanuka mapema anaona Hana maisha maana machizi wakina ZaiiDyao na mansuli washapotea kwenye game. Uno bado anajikongoja, Nikk mbishi hamuna anayemuelewa na mipasho yake. Stereo Yuko busy na kazi za kuajiriwa ..hivyo hili kundi halieleweki malengo yake ni yapi yani lipo lipo tu. Songa na yeye maji kupwaa maji kujaa.

Bila WEUSI kuwadiss Basi tusahau uwepo wa Hawa jamaa Kama kundi. Kila mtu ataanza kula kona yake.
Sijawah kuona pumba kama hii
 
Mkuu unachosahau kua mziki ni kipaji, na sio kwasababu una kipaji cha ku rap harcore hip hop basi ukafikiria uki switch to soft utafanya vizuri...Haiwezekani mzee

Unaposema kwamba mziki umebadilika na mziki ambao uko sokoni kwa sasa ni mziki fulani ambao ni soft, unatakiwa ufikirie ni wasanii wangapi wako mtaani wanaimba huo mziki soft na hawajatoka na wangependa walau kupata hata collabo na hao tamaduni

Neno kubebwa haliwezi kuondolewa kwasababu hakuna namna unaweza kutenganisha kati ya media na "ukanda" pitia reference yangu hapo juu kuhusu wakali wa media

Mzee ni wewe tu jinsi ulivyoamua kuupa tafsiri muziki wa tamaduni kua ni mziki wa wahuni mtaani. Nakupa mfano mmoja wa nyimbo mbili tu, Joh makini kuna nyimbo kaimba "njoo ukaliee njoo ukalie" nyingine kama kundi wameita "mbupu".

Kwako wewe hapo unaona huo mziki unapaswa kusikilizwa na watu wenye heshima kama wazazi wako?
Brilliant
 
Umeskiza Hiyo " mbupu" kwa makini? Wewe ndio hujui kitu kabisa.
Nenda kaskize upya #WEUPE ili ufunguke akili ..ngoma imejitosheleza ile. Halafu vaa uusika wa kila mmoja aliyechanwa mule.
#WEUPEE peee
Mitoto ya arusha mnajiona migumu halafu hamnaga lolote
Sasa weupe nayo si rap tu kama za banza stone haina metaphor no word plays simply vina vya malenga
Ww unasifia means hujui lolote kuhusu uandishi wa hophop
 
Yule muhindi koko amekurupuka, yeye kajibu kama zile battle za majukwaani wakati Motra ameandika uduwanzi unaoendelea pale tamaduni. Kwa ufupi kikosi kazi wamekosa kazi za kufanya. Na suggest huyu dogo arudi kuskiza upya kisha atoe upya tena ngoma ya kumdiss Motra.

Unajua kwanini Motra hajamjibu uyo muhindi? Ni kwa sababu hamuna alichoandika mule.
Nadhan ww ndo umekosa cha kufanya
 
Umeskiza Hiyo " mbupu" kwa makini? Wewe ndio hujui kitu kabisa.
Nenda kaskize upya #WEUPE ili ufunguke akili ..ngoma imejitosheleza ile. Halafu vaa uusika wa kila mmoja aliyechanwa mule.
#WEUPEE peee
Hoja yangu haija baase kwenye content ya hiyo mbupu, hoja ime base kwenye title la hiyo ngoma "mbupu" kwamba ni neno ambalo limekuwa flapped kutoka kwenye neno pumbu

In case of moral, nimeambiwa na mdau kua nyimbo za tamaduni zinaskizwa na wahuni ila watu wenye busara haawezi kusikiliza hizo, eanaskiliza mbupu ya weusi maana hiyo ime fit na kukubalika kimaadili
 
Haya ww mchambuzi mawenge kasarenda eeh?? Daudi Mchambuzi
Msiwe mnaropoka ropoka tumsiyoyajua
Kwanza jamaa katoa diss ambayo hata motra atakosa nguvu ya kujibu kwasababu namna alivyo chanwa ni indirect mpaka uunge dots, kwa hiyo ili naye ajibu lazima atumie style ile ile ya ku hide some codes kitu ambacho ni kigumu sana
 
Eti mabwana wa dar ujue wana dharau kweli, mademu wa chuga wanatuona kama house girl.../
Wanamsifia uwoya tu na aunt ezekiel, wabaguzi sana siwataki tena wamefeli.../
 
Kwanza jamaa katoa diss ambayo hata motra atakosa nguvu ya kujibu kwasababu namna alivyo chanwa ni indirect mpaka uunge dots, kwa hiyo ili naye ajibu lazima atumie style ile ile ya ku hide some codes kitu ambacho ni kigumu sana
Dogo kayakanyaga
Kalelewa na tamaduni leo anajifanya anawashobokea kina joh wakat all thos years wanamtreat kama chawa tu
Uzuri ni kwamba anatambua kks are rylical bullet
 
Eti mabwana wa dar ujue wana dharau kweli, mademu wa chuga wanatuona kama house girl.../
Wanamsifia uwoya tu na aunt ezekiel, wabaguzi sana siwataki tena wamefeli.../
Hyo line ya madem wa chuga wanatuona kama ma house girl
Ndo wakina joh walivyokua wanamtreat motra
Wanashinda pale sinza kwa remmy wanamtuma vyepe tu dah
 
Back
Top Bottom