Niko poa mtu wenu pamoja na mashabiki/
Pamoja kwenye mziki heshima kwangu haibanduki/
Mwanzo ni kale toka shule ya msingi mpaka kwenye ramani nlipofika sibanduki/
Kwa mmoja hata vikundi mludego nakata pindi/
Macho wanatumia zaidi wanasadiki/
Mi nungunungu uhaba wa miba hau nifiki/
Masikio yanasikia mitego nategua /
mengi nimepita machache yabakia/
Nikolabo na niko rhymes tena twafukia/
Walio zama wakiibuka hatua tunasogea/
Wakitembea wakisogea mizigo tumeshatua/
Uzembe waleta hasara na nafsi wazijutia/
Bado tupo jikoni kisha sokoni hewani tunawazingua/
Na umoja wa mashairi najua mmesikia/
Wewe ni motra au mota ni Bora uwe promota/
Wenge likizidi utaletewa medical doctor!/
Ukizidisha ukambale utapata ulichofuata/
NB:-Hahaha mleteni mc wenu mchague na venue mje mchukue maiti yenu....
cc
Scars