Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio basi tena,Inahitaji muda sana Bollywood kurejea kwenye viwango vyake.
Naona Koyla imetajwa sana,Koyla ya sharukh khan
Napenda zaidi nyimbo zake yaani zote zilikuwa kali.
3 Idiots sio Love Story lakini3 idiots.
Kite
Koyla
Dhadkan.
Kal hona ho.
List bila ya hizo movies Basi ni batili ama mwandishi hajawahi kua mpenzi mzuri wa movies za kihindi
All is well.. aiyaiyaa all is well [emoji3]3 idiot haipo [emoji3]
"Hey bruh.. all is well suuu suuu suuu"
Kwan vigezo vya kuwa love story ni vipi sorry to ask3 Idiots sio Love Story lakini
[emoji1][emoji1][emoji1]Mara ya Kwanza kuiangalia nilicheka sana aisee"Hey bruh.. all is well suuu suuu suuu"
moja ya movie bora za kihindi
Katizame tena ama rudia tena kutafakari,yule Binti ambae walisoma wote na baadae akatoroshwa kwenye harusi asiolewe na tajiri wakaenda msaka jamaa vijijini.3 Idiots sio Love Story lakini
Ni moja ya story nzuriThree idiots niliipenda
😀Sehemu nilicheka sanaa ni pale wamevamia harusi ya Mona (Mtoto wa professor wao) 🤣 Na wakaharibu as usual[emoji1][emoji1][emoji1]Mara ya Kwanza kuiangalia nilicheka sana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Movie inahusu vijana wawili walioenda kumtafuta rafiki yao waliyesoma nae na kugundua alikua anamsomea mtoto wa tajiri kwa maana hata jina halikua lake, ni Comedy Drama.Katizame tena ama rudia tena kutafakari,yule Binti ambae walisoma wote na baadae akatoroshwa kwenye harusi asiolewe na tajiri wakaenda msaka jamaa vijijini.
Ile movie ni love story iliyobase kwenye maisha ya chuo na life after chuo na jinsi ya vipawa vya watu na mapenzi yao. Kama utakumbuka vizuri lakini
Comedy,drama and love. Yule binti aliesomea udaktari unamkumbuka?!! Wimbo wa zoobi zoobi talala unaukumbuka?!! Wakiwa kwenye kale kapiki piki unakumbuka?!!Movie inahusu vijana wawili walioenda kumtafuta rafiki yao waliyesoma nae na kugundua alikua anamsomea mtoto wa tajiri kwa maana hata jina halikua lake, ni Comedy Drama.
Hongera kwa kumbu kumbu nzuri,Comedy,drama and love. Yule binti aliesomea udaktari unamkumbuka?!! Wimbo wa zoobi zoobi talala unaukumbuka?!! Wakiwa kwenye kale kapiki piki unakumbuka?!!
Mwisho wakati wanamtafuta yule Binti kwa nini alitoroka siku ya ndoa yake akaenda kijijini na washikaji na akampata jamaa?!
Maybe more than 5 times,haiboi.Hongera kwa kumbu kumbu nzuri,
Umeitazama mara ngapi?