Movie Bora za Kihindi kwa muda wote

Movie Bora za Kihindi kwa muda wote

Maybe more than 5 times,haiboi.

Imeshawahi kuitazama Kite?!! Imeektiwa USA na Mexico. Bonge moja la love story
Nope,
Ni ya Kihindi pia?
Kwa sasa napata shida kuzipata movies za Kihindi sijui sites zake (zile za zamani lakini)
 
[emoji3]Sehemu nilicheka sanaa ni pale wamevamia harusi ya Mona (Mtoto wa professor wao) [emoji1787] Na wakaharibu as usual
[emoji38][emoji38]yaani wale mataahira hasa Amirkhan, me nilicheka na pale wameenda kwa yule rafiki yao baba yake alikuwa mgonjwa wakakuta mama yake anasukuma chapati halafu hichohicho kisukumio anamuwekea mwilini

Walivyoona wakakataa kula[emoji1787]

Pengine amir alipokuwa anamuigiza baba yake yule binti anavyoongea na kithembe[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nope,
Ni ya Kihindi pia?
Kwa sasa napata shida kuzipata movies za Kihindi sijui sites zake (zile za zamani lakini)
images (23).jpeg


Tafuta hii kitu utazame. Story fulani nzuri sana,bonge moja la love story,naweza kukwambia kua Kuch Kuch hota hae haiingii!!. Upo Dar nikuelekeze pahari?!!
 
BAHUBALI 1-2 prabhas
RRR ram charan na rama rao.
Mard
Mohra
 
Ok,Ilala mtaa wa Arusha kuna movie library nzuri sana na you will all the best collection,, high quality, translated. Kwa miaka zaidi ya mitano ndio nachukuaga movies hapo, movie moja shs 1000,unaenda na flash yako tu
Translated kivipi?
Zile za kina Dj Murphy?
 
Translated kivipi?
Zile za kina Dj Murphy?
Hapana,zile kiukweli sitazami Mimi,hata bongo movies tu sitazami,nikisafiri na basi nitaweka earphones,nitalala safari nzima!

Translation nikiwa na maana zinakua na subtitles!! English
 
Kuna trailer niliona Cinemax nilivyoenda kucheki Antman, movie inaitwa Selfiee ame act Akshya Kumar, niliipenda sana story yake anayeweza kunisaidia jinsi ya kuipata plz.
 
Wewe bado hujui kitu nenda katafute hizi utakuja kunishukuru.
1.Jurmy
2 Humraaz
3.koyla
4.kuch kuch ho tai
5.kalhonaho
6.terenaam
7.Dhadkan
8.jan dushman
9.Janwaary
10.kayamat
11.dil karshta
Aisee ni nying mno
 
Wahind zaman unakula kideo magumi mwanz mwisho ,kweny kuch kuchi hotaee inapelekwa mbele😅😅😅😅
Kwel zikianza nyimbo ni mwendo wa ku forward ⏩⏩
Deki zile za cassette player.....
Yaan baba angu alikua ananipeleka Kwa ndugu jamaa na marafik Kila deki na Tv uchogo ziki haribika........

Mkimaliza kuchek Tv mna Zima mnaibeba mpaka chumbani........🤣🤣😂😂😂😊😊😄😄
 
Ooh safi kabisa,
Hiyo imekaa poa, nitawatembelea
Ok, nasubiria mrejesho. Kwenye list utakayoenda nakupa na Kaabil,chukua na hiyo,love story na action kidogo,love story ya vipofu wawili walioana na hatimae mke akajiua baada ya kubakwa na maadui wa mmewe. Sterling wa Kite na hii Kaabil ni mmoja,Hirithik Roshan.. zote hizi mbili utaenjoy na almost zitakuacha machozi yakikububujika!!
 
Kabhi kush kabhi gham - SRK - Kajol, Hrithik, Kareena
Kabhi alvida naa kehna - SRK - Rani, Bachchan, Preity Zinta
Devdas - SRK, Aishwarya Rai, Mdhuri Dixit
Gerua - SRK, Kajol
Jab Harry met Sejal - SRK, Anushka
Veer Zaara - SRK, Preity Zinta
Happy New YEar - SRK, Deepika
Om Shanti Om - SRK, Deepika
Rab ne bana di jodi - SRK, Anushka
Jab Tak hai jaan - SRK, Katrina Kaif

List ni ndefu.....
 
[emoji38][emoji38]yaani wale mataahira hasa Amirkhan, me nilicheka na pale wameenda kwa yule rafiki yao baba yake alikuwa mgonjwa wakakuta mama yake anasukuma chapati halafu hichohicho kisukumio anamuwekea mwilini

Walivyoona wakakataa kula[emoji1787]

Pengine amir alipokuwa anamuigiza baba yake yule binti anavyoongea na kithembe[emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀Pale Amirkhan katoka kumsin Priya.. 😀in virus voice remember life is race
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Ngoja niwakumbushie

1. Jaan dushman

Kibopa kilikuwa kinaitolea pikipiki tumboni.

Katika wote Akshay ndio alifanya kazi kubwa.

Sonu Nigam kwenye nyimbo alitisha
1682363201763.png


2. Karan Arjun

Watoto walizaliwa mapacha wakauliwa halafu wakaja kuzaliwa tena coincidence na wazazi tofauti tofauti
1682363274942.png


3. Qahar

Hii kuna ile scene ya mama alipewa silaha na jambazi katika watoto wake wawili amchague mmoja asiyempenda amuue.

Mama akaielekeza silaha kwa jambazi aliyempa silaha na kufyatua trigger lakini hakukua na risasi.

1682363317867.png


4. Ajay.

Humu ni visasi na mwendo wa kukomoana kati ya Sun Deol na mwamba Dan Denzopa na kuna risasi ilipigwa ikakata hadi kona

1682375627660.png


5. Loha. Ile scene ya ku climb mlima na lile jaribio la kumnusuru mtoto asinyongwe liliniteka sana.

Kingine zile fujo za wale wafungwa zilikuwa zinafanya niwacgukie, walivyopagawa na uyoga baada ya njaa kali nilijifunza kitu kuhusu njaa


1682363910410.png


6. Chandaal (Samurai wa kihindi) Mnamkumbuka huyu mara ya mwisho alikuwepo hapa bongo juzi kati kwa boss wetu wa Simba?

1682363554951.png


7. Dilwale (1997) hii inasikitisha mwishoni Ajay alipopigwa risasi akitoa toy la gari mfukoni huku Sunil akijua anatoa silaha.

1682363684395.png


8. Mohra. Nasdinlshaa kikwetu tulikuwa tumempa jina la Jalwa.



1682363744627.png


9. Tridev. Nani anaikumbuka ile ngoma ya "oye oye"

Sun Deol alipigwa kiberiti akatoka ameiva

1682363817618.png


10. Jeet (1993)

Scene ambazo zilikuwa zinaniboa ni zile za Salman Khan kupigwa marungu ya kichwa kila time

1682364167045.png


11. Koyla

Hii sikutaka hata kuiandika kwasababu ilienda viral kila mtu aliijua.

1682364248638.png


12. Ajay
1682363403499.png



Zipo nyingi sana zingine nimeziacha kwasababu zilienda viral sana
 
Back
Top Bottom