Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Wewe ni ng’ombe!


 
Mzee ni iyo note 10 plus ndo inakufanya ututukanie wazee wetu, kuwa na adabu dogo kuwa na nyumba sio kutoboa.
 
Tanzania, asilimia 85 ya mnachosema ''nimejenga nyumba'' ni mapagala yasiyo na hadhi ya kuitwa nyumba.
 
dogo usha shiba kande hapo una pumua carbondioxide tu hovyo hovyo apo seblen kwa shemeji yako
 
Mzee ni iyo note 10 plus ndo inakufanya ututukanie wazee wetu, kuwa na adabu dogo kuwa na nyumba sio kutoboa.
Kwanza Note 10 Plus ni simu ya zamani tayari.

Mimi nina Samsung Galaxy S22 Ultra, yenye 5G na Wifi 6, lakini sijaona sababu ya kujitapa kwa hilo.

Ulimbukeni tu.
 
Kuna watu huwa wameshiba viporo vya ugali mpaka wanakera Wallahi.
 
Mkuu umeifunga thread.
Hakuna maelezo bora kabisa zaidi yenye mantiki kuzidi haya juu ya thread ya huyu brain washed!
 
Yani kumbe unaongelea kiwanja cha Urithi wa Wazazi [emoji23] Aisee kweli we kizibo.
 
Mkuu ulivyotaja hawezi kuvijua na ukichunguza hata familia yao yote wakijikusanya hawawezi nunua unyama kama huo
 
😂😂😂😂😂 umenichamba jamani
 
Mtu anayehusudu sana kujenga, huku akisimanga waliopanga huwa nawaon ni majuha wasiofanya hata tafiti ndogo tu.

Mwingine mtu akinunua gari la 30M na hana nyumba basi jamii itamshangaa na kumuona hana akili. Hawajui kua wazee wa madili mjini hapa kua na gari pia mtaji tosha(status), utapata madili mengi ksa kuaminiwa tu.
 
Khekhekhekhekhe watu wengine bn
Kwa hyo na ww unajiita kidume unakaa kweny nyumba alojenga baba ako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mim ni binti lkn huo ujinga siwez fanya yalaaaa h
 
maneno mazuri yenye nasaha
 
Hicho ulichokiandika hapo ni Sawa na kupita kijiweni walipokaa wanaume wenzio na KUWATINGISHIA MAKALIO,🖕
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…