Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,244
- 5,500
Wea everybod is richHii ndo jf buanaaa
Tanzania, asilimia 85 ya mnachosema ''nimejenga nyumba'' ni mapagala yasiyo na hadhi ya kuitwa nyumba.Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Kwa maneno haya mleta mada hutoboiHujafa hujaumbika... Nani ajuaye ya kesho? Kuna watu katika umri mdogo kabisa walikuwa baba wenye nyumba lakini leo hii hata kodi ya chumba kimoja ni changamoto! HUJAFA HUJAUMBIKA..!
Kwanza Note 10 Plus ni simu ya zamani tayari.Mzee ni iyo note 10 plus ndo inakufanya ututukanie wazee wetu, kuwa na adabu dogo kuwa na nyumba sio kutoboa.
Kuna watu huwa wameshiba viporo vya ugali mpaka wanakera Wallahi.Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Mkuu umeifunga thread.Mkuu,
Kuna kitu kinaitwa "Emotional Intelligence". Jaribu kukifuatilia ujiongeze.
Kama wewe mjanja sana umeweza kujenga hongera.
Kuna watu tofauti wenye uwezo tofauti, wenye vipaumbele tofauti, waliokutana na maswahibu tofauti katika maisha. Usiwanyanyapae kwa sababu hawajafanikiwa kama wewe, kama unaona kuwa na nyumba yako ni mafanikio makubwa sana maisha haya.
Wengine wameamua tu kupanga, wamepiga mahesabu ya kihasibu na kuona ujenzi una gharama kubwa kuliko kupanga, na wanaweza kufanya uchumi wao uende vizuri zaidi kwa kupanga.
Kuna siku nilikuwa naangalia documentary ya Vernon Jordan, tycoon la Kimarekani na kingmaker lililomsaidia sana Bill Clinton awe rais. Jamaa anasema hataki kujenga wala kununua nyumba, yeye kwa maisha yake kupanga ni rahisi zaidi, na anajua ku claim tax breaks na deductions vizuri zaidi akiwa anapanga. Na hapendi habari ya kufanyia maintenance nyumba yake, akiwa anapanga, mwenye nyumba ndiye anafanya maintenance, yeye kazi yake kulalamika tu.
Sasa hii habari ya kuunganisha kupanga na umasikini moja kwa moja, na kuwasimanga wanaopanga, kwanza inaonesha low emotional intelligence, ulimbukeni fulani upeo mdogo wa kujua kwamba, si kila mtu ana uwezo au ujanja kama wewe. Wengine kupanga ndiyo uwezo wao.
Lakini pia, inaonesha kutoelewa kwamba kuna watu wana uwezo wa kujenga, au kununua nyumba, lakini hawataki kufanya hivyo kwa sababu zao.
Kuna cousin wangu alipiga deal kubwa, mamia ya mamilioni ya shilingi, quite sometime ago, akawa na nyumba kubwa, nzuri, Mbezi Beach. Baadaye akawa anahitaji hela za kufanyia biashara zake, akaona ile nyumba kubwa sana na haizalishi kitu, akaiuza, akaenda kupanga sehemu ndogo, ile hela ya nyumba akairudisha kwenye mzunguko wa biashara zake ikawa inazalisha. Mtu kama huyo unaweza kuona anapanga, ukamuona mjinga, kumbe ana mahesabu kukushinda wewe.
Vernon Jordan: Make It Plain
Vernon Jordan: Make It Plain
Explore the life of one of the most influential African American thought leaders.www.pbs.org
Mkuu ulivyotaja hawezi kuvijua na ukichunguza hata familia yao yote wakijikusanya hawawezi nunua unyama kama huoMkuu,
Nikikwambia "Yani mpaka leo kuna watu bado wanatumia Samsung Note 10 Plus kama simu?" utajionaje?
Mimi natumia Samsung Galaxy S22 Ultra 5G na Wifi 6.
Hiyo Note 10 Plus tena ya 256 GB natumia kama dedicated MP3 player tu kusikilizia muziki kwenye bluetooth floorstanding speakers.
Hapo utajionaje na mashauzi yako?
Mtu anayehusudu sana kujenga, huku akisimanga waliopanga huwa nawaon ni majuha wasiofanya hata tafiti ndogo tu.Mkuu,
Kuna kitu kinaitwa "Emotional Intelligence". Jaribu kukifuatilia ujiongeze.
Kama wewe mjanja sana umeweza kujenga hongera.
Kuna watu tofauti wenye uwezo tofauti, wenye vipaumbele tofauti, waliokutana na maswahibu tofauti katika maisha. Usiwanyanyapae kwa sababu hawajafanikiwa kama wewe, kama unaona kuwa na nyumba yako ni mafanikio makubwa sana maisha haya.
Wengine wameamua tu kupanga, wamepiga mahesabu ya kihasibu na kuona ujenzi una gharama kubwa kuliko kupanga, na wanaweza kufanya uchumi wao uende vizuri zaidi kwa kupanga.
Kuna siku nilikuwa naangalia documentary ya Vernon Jordan, tycoon la Kimarekani na kingmaker lililomsaidia sana Bill Clinton awe rais. Jamaa anasema hataki kujenga wala kununua nyumba, yeye kwa maisha yake kupanga ni rahisi zaidi, na anajua ku claim tax breaks na deductions vizuri zaidi akiwa anapanga. Na hapendi habari ya kufanyia maintenance nyumba yake, akiwa anapanga, mwenye nyumba ndiye anafanya maintenance, yeye kazi yake kulalamika tu.
Sasa hii habari ya kuunganisha kupanga na umasikini moja kwa moja, na kuwasimanga wanaopanga, kwanza inaonesha low emotional intelligence, ulimbukeni fulani upeo mdogo wa kujua kwamba, si kila mtu ana uwezo au ujanja kama wewe. Wengine kupanga ndiyo uwezo wao.
Lakini pia, inaonesha kutoelewa kwamba kuna watu wana uwezo wa kujenga, au kununua nyumba, lakini hawataki kufanya hivyo kwa sababu zao.
Kuna cousin wangu alipiga deal kubwa, mamia ya mamilioni ya shilingi, quite sometime ago, akawa na nyumba kubwa, nzuri, Mbezi Beach. Baadaye akawa anahitaji hela za kufanyia biashara zake, akaona ile nyumba kubwa sana na haizalishi kitu, akaiuza, akaenda kupanga sehemu ndogo, ile hela ya nyumba akairudisha kwenye mzunguko wa biashara zake ikawa inazalisha. Mtu kama huyo unaweza kuona anapanga, ukamuona mjinga, kumbe ana mahesabu kukushinda wewe.
Vernon Jordan: Make It Plain
Vernon Jordan: Make It Plain
Explore the life of one of the most influential African American thought leaders.www.pbs.org
Khekhekhekhekhe watu wengine bnYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
maneno mazuri yenye nasahaKijana! Usiwasimange vijana wenzio.Hujui mapito wanayopitia ni ya namna gani. Wewe unatakiwa tu umshukuru Mungu aliyekujalia wazazi na hatimaye ukaishi kama ulivyotutajia.
Kwamba wazazi wao alichemka hilo acha kabisa ndg. zingatia na kumbuka vijana wengine labda hawawajui wazazi wao, wengine wazazi wao walishatangulia mbele za haki wakati wao wakiwa ni wadogo au wengine wazazi hawakuwa na uwezo hata kama walitamani sana kuwafanyia watoto wao kama wewe wazazi wako walivyokufanyia.
Ili kurudisha fadhila kwa Mungu, hebu jiwekee ka-tabia ka kuwahurumia na kuwasaidia vijana wenzio japo kidogo kulegeza vyuma vilivyokaza.
Angekula likizo isiyo na malipo sio😂Ana bahati sina mchepuko Mods
🤣🤣
Hicho ulichokiandika hapo ni Sawa na kupita kijiweni walipokaa wanaume wenzio na KUWATINGISHIA MAKALIO,🖕Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G