Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
AshauaKijana na akili yake anajivunia nyumba au kiwanja cha kurithi! Hawa ndio huua wazazi wao ili warithi mapema!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AshauaKijana na akili yake anajivunia nyumba au kiwanja cha kurithi! Hawa ndio huua wazazi wao ili warithi mapema!!
Mkuu,Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Dunia duara..maisha hayana adabu.Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Hivi "matako kulia mbwata" ndio mlio gani? Nani amewahi kuusikia huo mlio "mbwata"Maskini akipata matako hulia mbwata
Hizi fani awaachie kina Bill Lugano hapo zaidi anajidhalilisha tu na id yakeUnatafuta attention!!
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Kutokana na raha ya kupata hivyo hufanya matako ya maskini yapige makofi akiwa anatembea nadhani hiyo ndo kulia mbwata,,Hivi "matako kulia mbwata" ndio mlio gani? Nani amewahi kuusikia huo mlio "mbwata"
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekua hayupo kwa shemeji yake Kapanga, asingeongea hayo. Labda kama anadekezwa sana na shemeji yake kwa sababu ya kudeka kwake na utiifuHujafa hujaumbika... Nani ajuaye ya kesho? Kuna watu katika umri mdogo kabisa walikuwa baba wenye nyumba lakini leo hii hata kodi ya chumba kimoja ni changamoto! HUJAFA HUJAUMBIKA..!
Nimeshtuka mnooMbona ghafla sana
Ana bahati sina mchepuko ModsYuko kwa shemeji basi anaona maisha kayapatiaaa