MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Naandika kwa sikitiko kuu
Nikiwa kwenye maoteo ya sikukuu yetu hii isiyotabirika, nikaamua nijivinjarii na mbuzi katoliki kwenye mikusanyiko ya watu wasio rasmi na huku nikihesabu baraka zangu.
Kama kawaida nikasambaza upendo kwa mmama mmoja jirani yangu (desperado 2) nakuendelea kunywa balimi zangu baridi. Baada ya dakika 30 muhujumu alikuja kunifikishia ujumbe wa shukrani na kikaratasi cha number ya simu.
Baada ya ku-save na kuuanzisha mazungumzo, swali la kwanza una shilingi ngapi? Hilo halikunitatiza, nikauliza kwa huduma gani? Nikajibiwa yoyote unayotaka ni hela yako, sawa , nika hoji je nikiwa na 100K nikaambiwa hizo ni rounds 3 kama inavyotegemewa na kukusudiwa na watengeneza condoms.
Nikahoji zaidi, nazitafutia wapi? Nikaambiwa kwenye tundu lolote unaloona linakufaa.
Nimecheki vizuri tarehe na mwaka tuliopo, nikatafakari ikifika tarehe kama ya leo mwaka 2050, kutakua na tundu lolote la mwanamke ambalo litakua bikra
Tuendelee kuwaombea watoto wetu. Nimemaliza
Nikiwa kwenye maoteo ya sikukuu yetu hii isiyotabirika, nikaamua nijivinjarii na mbuzi katoliki kwenye mikusanyiko ya watu wasio rasmi na huku nikihesabu baraka zangu.
Kama kawaida nikasambaza upendo kwa mmama mmoja jirani yangu (desperado 2) nakuendelea kunywa balimi zangu baridi. Baada ya dakika 30 muhujumu alikuja kunifikishia ujumbe wa shukrani na kikaratasi cha number ya simu.
Baada ya ku-save na kuuanzisha mazungumzo, swali la kwanza una shilingi ngapi? Hilo halikunitatiza, nikauliza kwa huduma gani? Nikajibiwa yoyote unayotaka ni hela yako, sawa , nika hoji je nikiwa na 100K nikaambiwa hizo ni rounds 3 kama inavyotegemewa na kukusudiwa na watengeneza condoms.
Nikahoji zaidi, nazitafutia wapi? Nikaambiwa kwenye tundu lolote unaloona linakufaa.
Nimecheki vizuri tarehe na mwaka tuliopo, nikatafakari ikifika tarehe kama ya leo mwaka 2050, kutakua na tundu lolote la mwanamke ambalo litakua bikra
Tuendelee kuwaombea watoto wetu. Nimemaliza