Mpaka mwaka 2050 hakutakuwa na watu wenye utimamu wa maadili

Mpaka mwaka 2050 hakutakuwa na watu wenye utimamu wa maadili

Mkuu kuna level ukifikia huwezi kujibu swali kama upo chekechea, niko ki-falsafa zaidi, ni level tu
[emoji1][emoji1][emoji1]
Itoshe kusema hujui maana ya maadili,huwezi ku generalize neno maadili,kila sehemu au jamii ina maadili yake,unachokiona kibaya wenzako sehemu nyingine wanaona sawa tu
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
Itoshe kusema hujui maana ya maadili,huwezi ku generalize maadili kila sehemu au jamii ina maadili gani,unachokuona kibaya wenzako sehemu nyingine wanaona sawa tu
Mkuu, maadili yana context kubwa acha hiyo uliyoikariri ya kiserikali ambayo iko imposed kwenye codes of ethics and conducts, ufinyu wa uelewa wako ndiyo unakupelekea huko na ndivyo ulivyo karirishwa. Ni kwamba sina muda tu wa kukupa maelimu, ila elewa hii ni akili kubwa.
 
Inasemekana huko Misri Zamani binadamu walio hai walikuwa wanazikiwa na wafalme wa jamii zao, kuna jamii zilikuwa na sadaka za binadamu, utumwa ulikuwa utaratibu wa kawaida kabisa, ukeketaji wa wanawake. Nafikiri haya ni maovu makubwa kuliko ya sasa.
Kwanza sasa hivi hatujafikia hata ya robo ya kilichokuwa kinanyika Sodoma na Gomora.
 
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png

Itoshe kusema hujui maana ya maadili,huwezi ku generalize maadili kila sehemu au jamii ina maadili gani,unachokuona kibaya wenzako sehemu nyingine wanaona sawa tu
Mkuu, maadili yana context kubwa acha hiyo uliyoikariri ya kiserikali ambayo iko imposed kwenye codes of ethics and conducts, ufinyu wa uelewa wako ndiyo unakupelekea huko na ndivyo ulivyo karirishwa. Ni kwamba sina muda tu wa kukupa maelimu, ila elewa hii ni akili kubwa.
Kwanza sasa hivi hatujafikia hata ya robo ya kilichokuwa kinanyika Sodoma na Gomora.
 
Mkuu, maadili yana context kubwa acha hiyo uliyoikariri ya kiserikali ambayo iko imposed kwenye codes of ethics and conducts, ufinyu wa uelewa wako ndiyo unakupelekea huko na ndivyo ulivyo karirishwa. Ni kwamba sina muda tu wa kukupa maelimu, ila elewa hii ni akili kubwa.
Maadili ni vile ulivyofundishwa wewe,na familia au jamii yako,sio kwamba ni lazima iwe sahihi,...so kila jamii ina maadili yake
 
Maadili ni vile ulivyofundishwa wewe,na familia au jamii yako,sio kwamba ni lazima iwe sahihi,...so kila jamii ina maadili yake
Mkuu hivi vitu vina universal application, what is ethics here in Tanzania is the same worldwide.
 
Back
Top Bottom