Mpaka mwaka 2050 hakutakuwa na watu wenye utimamu wa maadili

Mpaka mwaka 2050 hakutakuwa na watu wenye utimamu wa maadili

Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu 🍺🍺🍻😞😞
 
Wala usipate pressure mkuu,maneno hayo alisema Cicero Miaka 3000 iliyopita,na Leo tupo hapa,,I promise you Hadi mwaka 100000 tutakua hivihivi

Times are bad: children no longer obey their parents and everyone is writing a book'. Cicero.
images (3) (6).jpeg
 
Haha kwani unadhani kuwa na nguvu kipindi cha uzeeni ni kwasababu ujana haujauchezea? Tena mliotulia ndio wenye nafasi kubwa ya kupatwa na matatizo yanayohusiana na ubnormality in sperms secretion bila kusahau saratani za kwenye njia ya uzazi. Kuna umri ambao ni 26 to 45 at least ufanye mara tatu kwa wiki huku ukila chakula kizuri na salama bila kusahau mazoezi. Sasa wewe nenda tofauti na sexologists na wataalamu walioshauri hayo alafu baadae tutajuzana tu na kutouchezea ujana wako.
mastafeli yote haya saratani inatokea wapi bloangu,mi ni mwendo wa mikandamizo tu kabla sijakwenda kukutana na bikra 70 huko mbinguni na mito yenye kutiririsha mihennessy tu
 
Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu 🍺🍺🍻😞😞
Inauma ukifikiria unalea vizuri alafu toto baadae linakuja kuwa laughing stock of the street.
 
Hata waliojenga pyramids kwa technology Ile ya kuchonga matofali ya mimba yenye ukubwa wa mita 3 upana na urefu wa mita 7 na ku utilise umeme wa nuclear katika plants za kuzalisha dhahabu zaidi ya miaka 470,000 iliyopita sisi kizazi hiki tunawashangaa kwakuwa na hizo technologies. Kama waliweza hayo unadhani hayo madogo unayoyaongelea wewe kuwa na vibrators, sex toy hawakuwa nayo au njia za kujifurahisha zaidi ya hizo mkuu?
Dunia hii has gone several civilisations in many generations, ndiomana nakwambia unaloliona jipya sasa wenzetu walishapitia kitambo
Kwa hivyo unataka kusema babu zetu huko namtumbo walikua wapigishwa blow job na wake zao?
 
K haiuzwi na wala haitolewi bure 🤣🤣🤣
Papuchi inanguvu sana, niliwahi andikaga zamani

 
Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu 🍺🍺🍻😞😞
Balaa sana, siyo watoto tu ata kuwaza mama watoto nyumbani watu wana hangaika nae
 
Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu 🍺🍺🍻😞😞
Maadili yafundishwe shuleni.
 
Kwamba matumizi yasiyo sahihi ya matundu ya mwili wa mwanamke siyo issue ya maadili kwenye kizazi kijacho?
Sio hilo tu, hata ushoga utakuwa jambo la kawaida kabisa. Na watafunga ndoa za kidini kama wanavyofanya sasa huko nchi za mabeberu. Inasikitisha lakini ndio ukweli mchungu.
 
Uwezo wangu mdogo unaniambia science na technologia inaogeza mmomonyoko wa maadili kwa kasi sasa kuliko hata karne iliyopita
Unaishutumuje sayansi ili hali unatumia kifaa kilichotengenezwa na sayansi kufikisha ujumbe wako na intaneti ambayo ipo kisayansi? Maadili ni nini na maadili ya kweli ni yapi na mnajuaje ndo maadili na mengine si maadili
 
Unaishutumuje sayansi ili hali unatumia kifaa kilichotengenezwa na sayansi kufikisha ujumbe wako na intaneti ambayo ipo kisayansi? Maadili ni nini na maadili ya kweli ni yapi na mnajuaje ndo maadili na mengine si maadili
ukikua utajua
 
Back
Top Bottom