Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMama hana tatizo, bado anaucheza kama Zizu sema shida maji ya muarabu yamepanda bei sana beki hazikabi
Kumbe ndiyo maana mateja wamerudi tena kwenye vituo vya mabasi [emoji852]Mkwere and sons ndiyo kila kitu
Acha ujinga, mbunge hawezi kupinga matakwa ya raisi ndio maana uliona ndugai aliwaambia wasipopitisha bajeti raisi anaweza kulivunja bunge... Rais Samia anaweza kuwa na madhaifu yake lakini haina maana kwamba hana mazuri yake. Uhuru wa habari na watu kujieleza bila vitisho vya dola, haki za binadamu, kutodhulumu wengine kwa ghilba (matajiri), kujiepusha na uongo uliopitiliza (sijui hakuna Corona, mabeberu wanatuonea wivu, dona kantri, etc.) kwa faida za kisiasa, n.k. ni kati ya mazuri aliyoanza nayo japo anahitaji kuboresha zaidi na naamini atafanya hivyo. Kubwa zaidi linalomsubiri ni Katiba Mpya/Bora.
Kuhusu kodi na nauli; kuliko kuwadhulumu wachache kila mtu alipe kodi japo sio rafiki. Ikumbukwe Mh. Rais hakwenda Bungeni kusoma, kujadili, na kupitisha bajeti. Tatizo ni Bunge; limeshindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo. Kama Bunge (wawakilishi wa wananchi) wamepitisha bajeti kama ilivyo, Rais alaumiwe kwa lipi? Hebu mpeni nafasi jamani!
... Bunge ndio chombo cha uwakilishi wa wananchi ndugu; Bunge linatakiwa litetee wananchi. Kama linapitisha kodi kandamizi ni tatizo la Bunge. Bunge lingegomea hiyo bajeti ingepita? Lilaumiwe Bunge sio Rais.Bunge si sehemu ya serikali, bajeti ilipelekwa bungeni na serikali, unadhani ni nani anapaswa kujua ugumu wa maisha kati ya bunge na serikali?
Limejaa wahuni tu... Bunge ndio chombo cha uwakilishi wa wananchi ndugu;
... kama waliona bora kodi kandamizi zipite kuliko Bunge lao kuvunjwa bado ni udhaifu wa Bunge.Acha ujinga, mbunge hawezi kupinga matakwa ya raisi ndio maana uliona ndugai aliwaambia wasipopitisha bajeti raisi anaweza kulivunja bunge
Ikibidi ziwe za ishara tu 🤌Comments ziwe fupi fupi
... Bunge ndio la kuhangaika nalo sio Rais. Umemtuma wakili wa kukutetea badala ya kufanya hivyo kaenda ku-side na "mbaya" wako; utamlaumu nani?Limejaa wahuni tu
Ndio ndio [emoji3]Ikibidi ziwe za ishara tu 🤌