Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini.
Wananchi mablimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sanan tukio la kukamatwa kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama katekwa au yuko katika mikoni salama.
Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.
Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunaliomba jeshi la polisi lieleze kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Usijali, polisi si walimchukua? Hao hao ndio wataeleza yuko wapi
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini.
Wananchi mablimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sanan tukio la kukamatwa kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama katekwa au yuko katika mikoni salama.
Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.
Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunaliomba jeshi la polisi lieleze kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Maelekezo ya namna ya kuiongoza nchi kwa sasa yanatoka Rwanda kwa ushauri wa Kagame.
 
RRRR zimepotea ghafla

Has he deleted? or did they have no political meaning and was not part of stimulating and expanding the scope of competing arguments?
 
Ni kosa kubwa sana kuruhusu nchi ikaaongozwa na form four failure. Anawaagiza failure wenzake kuvuruga amani. Reasoning ya kichwani ni zero!

Sasa kufanya alichokifanya inaweza ikawa ndiyo point ya kuvuruga amani tuliyonayo. Watu wakijaribu hata siku moja wakaingia barabarani wajue ikulu hapatakalika. Waache kuishi kwa mazoea. Watanzania tumevumilia mengi sana tupo kmy. Wengine hatuna kazi za kufanya na hatuna tumaini la maisha. So hatutaona tabu kumla mamba majini hukohuko wala hatafika nchi kavu. Mamaye! Katiba mbovu imetuletea kiongozi mbovu anayeendeshwa ovyo ovyo!!!
 
Kamanda anapokimbia vita, atakuwa kwenye mashamba ya miti Sao Hill Iringa kajificha huko
 
Familia zilizouliwa wakati wa maandamano ya CHADEMA huwa mnazikumbuka?
Shida people wanakufa na nyinyi next mnaanza kula bata na hao watesi.
Mnasahau kama kuna watu waliuliwa katika mapambano yenu mjitafakari sana.
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Pesa ya waarabu hiyo inafanya kazi; maana ikifika 2030 kila kitu mikononi mwa waarabu. Sama kawa kibri
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Wanasubili nini kummalizia
 
Back
Top Bottom