Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

Mpaka sasa haijulikani wapi Tundu Lissu alipo

Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Bado Samia anafanya ule ujinga wa Magufuli tena?!
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
Watakuwa wamemficha baada kumjeruhi vibaya, hivyo wanajaribu kuzuia kufikiwa na vyombo vya habari hasa vya kimataifa, kuepusha habari hizo kusambaa sana duniani.
 
Familia zilizouliwa wakati wa maandamano ya CHADEMA huwa mnazikumbuka?
Shida people wanakufa na nyinyi next mnaanza kula bata na hao watesi.
Mnasahau kama kuna watu waliuliwa katika mapambano yenu mjitafakari sana.
Wale askari wa Tanzania wanaofia huko kwenye nchi za watu wajikinda amani, wamewahi kuwazuia viongozi wa nchi hii kula bata?
 
Hivii chadema hawawezi kuwarogaa hao watesi waooo,Mbowe na uzee wote huoo Hana Cha kushika,ukizeeka nguvu zinapungua ngumi huwezi rusha,hivyo chakukulinda uchawiii Sasa...mfanoo wakikukamata wanakuweka ndani kesho wanakukuta kwenye mkutaano na raia,akikupiga mkono unakaukia jumlaaa🤣🤣🤣🤣
 
Hivii chadema hawawezi kuwarogaa hao watesi waooo,Mbowe na uzee wote huoo Hana Cha kushika,ukizeeka nguvu zinapungua ngumi huwezi rusha,hivyo chakukulinda uchawiii Sasa...mfanoo wakikukamata wanakuweka ndani kesho wanakukuta kwenye mkutaano na raia,akikupiga mkono unakaukia jumlaaa🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 hii mbinu ndio inafaa sana
 
Ni kosa kubwa sana kuruhusu nchi ikaaongozwa na form four failure. Anawaagiza failure wenzake kuvuruga amani. Reasoning ya kichwani ni zero!

Sasa kufanya alichokifanya inaweza ikawa ndiyo point ya kuvuruga amani tuliyonayo. Watu wakijaribu hata siku moja wakaingia barabarani wajue ikulu hapatakalika. Waache kuishi kwa mazoea. Watanzania tumevumilia mengi sana tupo kmy. Wengine hatuna kazi za kufanya na hatuna tumaini la maisha. So hatutaona tabu kumla mamba majini hukohuko wala hatafika nchi kavu. Mamaye! Katiba mbovu imetuletea kiongozi mbovu anayeendeshwa ovyo ovyo!!!
Pole kwa fikra mgando...
 
Familia zilizouliwa wakati wa maandamano ya CHADEMA huwa mnazikumbuka?
Shida people wanakufa na nyinyi next mnaanza kula bata na hao watesi.
Mnasahau kama kuna watu waliuliwa katika mapambano yenu mjitafakari sana.
Kila mwenye akili timamu hajakuelewa!
 
POLISI IMCHUKUE LISU IMPELEKE WAPI SASA??LISU MWENYEWE HALI YAKE UNAIONA NANI ANATAKA LAWAMA NA YEYE KWA SASA UNADHANI??CHADEMA SIASA ZENU ZA KISHAMBA ZIMEPITWA NA WAKATI SANA.
 
Mpaka sasa jeshi la polisi halijatoa taarifa rasmi wapi Tundu alipo. Wananchi wanahofu kubwa juu ya usalama wa kiongozi huyu mkubwa wa chama cha upinzani nchini. Hata hivyo taarifa za awali zinasema kuwa alikamatwa na jeshi la polisi.

Wananchi mbalimbali wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu sana taarifa za kukamatwa au kupotea kwa Lissu lakini haijulikani ni kituo gani cha polisi alipo. Hawajui kama kakamatwa, katekwa au yuko katika mikoni salama.

Kiongozi huyu mkubwa ambaye alikuwa mgombea uraia mwaka 2020 na ambaye alinusurika kuuawa kwa risasi 16 mwaka 2017 alikuwa mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kongamano la siku ya vijana duniani lakini polisi wakazuia kongamano hilo bila kueleza sababu za msingi za kuzuia kongamano hilo.

Hali ya upotevu wa Makamu mwenyekiti imeleta taharuki kwa wananchi wengi wanaofuatilia suala hili hasa baada ya Chama cha wanasheria nchini kutangaza kupotea kwa wananchi zaidi ya 80 ambao asilimia kubwa ya wenye listi hiyo wamepotea katika kipindi cha utawala huu wa awamu ya sita chini ya Rais Samia.

Tunalitaka jeshi la polisi lieleze mara moja kama limemshikilia makamu mwenyekiti wa CHADEMA au kama halimshikilii litueleze kama linamtafuta ili hofu ya kutekwa na kupotezwa iondoke.

Wananchi tuendelee kufuatilia hali ya makamu mwenyekiti
PoliCCM ni zaidi ya magaidi. Wamehusika ktk matukio mengi ya utekaji na uuaji wa raia wasiokuwa na hatia. Huenda wamemteka wakamuua na kutupa mwili wake baharini au kwenye shimo refu kama kawaida yao.

Kama wamemuua, ni bora watuambie walipoutupa mwili wake ili familia iuchukue ikazike badala ya kuua na kukaa kimya kama kawaida yao.
 
CHADEMA wafuate utaratibu na siyo kujichukulia mamlaka ya kuamua wanachotaka.
Kwahiyo mikutano haipo kikatiba? Ni fujo gani waliyofanya? Polisi walitakiwa kuwaonya kuwa fanyeni mkutano ila kusiwe na uvunjifu wa amani basi. POLISI WASITUMIWE KISIASA HASA NA CCM WANAMHARIBIA MAMA. Wao wanadhani wanamsaidia na kama wameagizwa, aliyewaagiza kakosea sana!
 
Back
Top Bottom