mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Atleast wewe umeweka ushabiki pembeni na huo ndiyo ukweli japo na mimi binafisi nimeweka ushabiki huku nilijua Kuna mziki hatari.Gwajima inabidi ajipange Sana na hoja kawe Kuna watu timamu wanaojielewa Sana kiakili na uwezo.so asijiamini Sana, chance Ni 50 kwa 50 asijiaminishe Kama makonda