Pre GE2025 Mpaka sasa unaipa CHADEMA alama ngapi kisiasa kutokana na yanayoendelea?

Pre GE2025 Mpaka sasa unaipa CHADEMA alama ngapi kisiasa kutokana na yanayoendelea?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuchukua hatua sio vibaya ila kuwapiga sio sahihi hata mbele ya sheria. Wangewaweka mahabusu na kuwapeleka mahakamani. Polisi watumie weledi kwenye kufanya kazi zao.
actually,
wakaidi amri na ilani za vyombo vya ulinzi na usalama ni sharti kua neutralize ili kudhibiti hali ya usalama katika eneo mahususi...

katika hiyo purukushani sasa,
ndipo unakuta baadhi ya wakaidi wengine kumbe ni wabishi tu kiasili, lakin ni dhaifu sana kiafya wana maradhi mabaya ambayo akiguswa tu kunahatatisha maisha yake...

ni vizuri hata kama sio muhalifu, kutii bila shuruti maonyo, makatazo na ilani za kiusalama zinazotolewa na vyombo vya ulinzi na usalama maeneo husika, kuliko kuendekeza kiburi na ukaidi utakaolazimisha walinda usalama kukunutralize bila kujali hali ya ndani ya afya yako....

ni vizuri ikaeleweka hivyo ndrugo zango,
lakini pia kwa niaba ya walinda usalama wote nchini, naomba radhi kwa dosari na kasoro ndogo ndogo za kibinadamu zilizojitokeza wakati wa kuchukua hatua katika sakata la mbeya na maeneo mengine nchini...

hatua za makusudi za kisheria zitaendelea kuzingatiwa katika kudhibiti matukio yote ya kihalifu nchini...
 
Sasa mtu akikutukana unapiga. Sasa nani atakuwa mwenye haki. Mtu akikutukana mpeleke mahakamani. Kwasababu mtu akikuambiwa wew ni mpumbavu au mwizi linakuwa tusi kama kweli wewe siyo mpumbavu au mwizi lakini ukireact ata wale walio kuwa wanadhani kuwa wewe siyo mpumbavu au mwizi wanakutilia mashaka.
 
umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?

Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?

serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,

Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Unaweweseka sana kwa uchawa wako japo wa mbulu ni watu wenye akili sana we sijui ni zile mbegu zilizoanguka kwenye mawe
 
Unaweweseka sana kwa uchawa wako japo wa mbulu ni watu wenye akili sana we sijui ni zile mbegu zilizoanguka kwenye mawe
zingatia maelezo acha kubabaika na roho za ubaguzi wa kikabila, hiyo sio muhimu wala haina maana yoyote...

na huna haja kunikasirikia kwasabb ya kuweka ukweli bayana, licha ya kua ukweli ni mchungu gentleman 🐒
 
Asanti Mungu kwa kunilinda mimi na wangwana wote humu JF,

Asanti kwa ulinzi wako usiku na kutuamsha salama asubuhi hii ya leo, nakushukuru kwa niaba ya wangwana wote humu JF kwa zawadi ya uhai na afya unazotujalia bure siku zote,

Mungu Mwenyezi nakuomba, Baraka na Neema zako ziambatane na kuandamana nasi sote katika kazi na majukumu yetu ya leo, kadiri ya mapenzi yako, sasa na hata milele Amina 🙏

uwe na asubuhi ya Baraka gentleman 🐒
Shetani pamoja na kusaidiwa uwezo mwingi wa hadaa za kuwapoteza binaadam; hata siku moja hajawahi kupewa uwezo wa kupoteza watu wenye uelewa.
Hangaika utakavyo mwenyewe, lakini hilo halitabadili chochote juu ya wewe kujulikana humu kuwa ni shetani kutokana na vitendo vyako.
 
Shetani pamoja na kusaidiwa uwezo mwingi wa hadaa za kuwapoteza binaadam; hata siku moja hajawahi kupewa uwezo wa kupoteza watu wenye uelewa.
Hangaika utakavyo mwenyewe, lakini hilo halitabadili chochote juu ya wewe kujulikana humu kuwa ni shetani kutokana na vitendo vyako.
baadae nichek inbox walau nikujaalie bandlle ya mwezi moja mpendwa,

huna haja ya maneno mengi, just send me your mobile number 🐒

nabarikiwa na Utulivu wako, kutukana na kuporomosha matusi kulikuharibu sana kumbe ni mtu mzuri tu...

God bless you 🙏
 
baadae nichek inbox walau nikujaalie bandlle ya mwezi moja mpendwa,

huna haja ya maneno mengi, just send me your mobile number 🐒

nabarikiwa na Utulivu wako, kutukana na kuporomosha matusi kulikuharibu sana kumbe ni mtu mzuri tu...

God bless you 🙏
Shetani hata siku moja hajawahi kuwa na akili. Utaanzia wapi wewe kuanza kunipa 'bundle'?
Katika viumbe wote niaoweza kuwadharau, wewe upo juu kabisa ya hiyo orodha. Ukitambua hilo hutahangaika tena na upumbavu huu unaoshinda kutwa ukiujaza humu JF.
 
Shetani hata siku moja hajawahi kuwa na akili. Utaanzia wapi wewe kuanza kunipa 'bundle'?
Katika viumbe wote niaoweza kuwadharau, wewe upo juu kabisa ya hiyo orodha. Ukitambua hilo hutahangaika tena na upumbavu huu unaoshinda kutwa ukiujaza humu JF.
🤣🤣mtukanaji na mporomosha matusi unanifurahisha sana kuhubiri ubaya wa Shetani aise...

nilikwambia mapema ile maombi nilikuombea lazima ikubadilishe tu, na mambo si ndio haya sasa.

Asanti Mungu 💪🙏
 
zingatia maelezo acha kubabaika na roho za ubaguzi wa kikabila, hiyo sio muhimu wala haina maana yoyote...

na huna haja kunikasirikia kwasabb ya kuweka ukweli bayana, licha ya kua ukweli ni mchungu gentleman 🐒
upuuzi mtupu vyeo havipatikani kwa kumtukana mbowe na kuwapiga wapinzani kwanini uvccm mnakuwa wajinga hivi
 
🤣🤣mtukanaji na mporomosha matusi unanifurahisha sana kuhubiri ubaya wa Shetani aise...

nilikwambia mapema ile maombi nilikuombea lazima ikubadilishe tu, na mambo si ndio haya sasa.

Asanti Mungu 💪🙏
Bado sana. Nilikuahidi toka mwanzo, na sasa kwa vile shajuwa wewe ni shetani mwenyewe ndani ya mwili wa binaadam; sitakuacha kamwe. Fahamu tu, pamoja na ushetani wenyewe, lakini kwa vile umejivisha mwili wa binaadam, wengi watadhani wewe ni chizi tu kwa haya unayopigania humu. Uchizi unaweza kuambatana na uvutaji wa bangi kama nilivyo kwisha bainisha huko nyuma.
Kwa hiyo yote haya yanakuhusu wewe.
 
Kwasababu kingekuwa kama CHAUSTA au ACT kisingepigwa mawe kama kinavyofanyiwa leo.
 
Back
Top Bottom