DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Atheist gonna hate this thread.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We don't hate it that's why we are here.Atheists gonna hate this thread.
Iko hivyo mkuu,Kwani hao wasio na kitu hawaku paswa kuwa na kila kitu?
Je huyo Mungu hakujua na hajui kwamba anapaswa kugawa kila kitu equally kwa kila mtu?
Huyo Mungu ni mbaguzi na mwenye upendeleo wa kuwapa watu wachache kila kitu huku akiacha maelfu ya maskini wasio na kitu wakimlilia na kumuomba awape angalau chochote kitu.
Huyo Mungu ni mwenye upendeleo sana na hastahili kuwa Mungu.
Na kama Mungu huyo yupo basi ni mkatili sana.
Mungu huyo, Alishindwaje kutoa kila kitu kwa usawa kwa kila mtu pasipo kuzidishia wengine na kunyima wengine?
Huoni kwamba huyo Mungu anafanya upendeleo?
Huyo Mungu kama ndio yupo namna hii, Hajielewi kabisa na ni mjinga sana.
We don't hate it that's why we are here.
You are just thanking a fictional character.
Kujua nini zaidi ya uongo uongo tu mnajifanya mnajua kumbe mnajua uongo tu.Haya mambo huwezi kuyajua we endelea Ku hustle in vain
Afu hawa Theists waamini huyo Mungu ndio maskini choka mbaya kutwa kukesha kumuomba huyo Mungu huku wakiambulia patupu.Iko hivyo mkuu,
Kama kweli yupo, basi yuko biased sana. Kwa nini asigawe keki ya dunia kwa wote equally, wengine wanataabika na matatizo ya dunia wakati wapo wanaoishi mbingu ya duniani.
He's not fair, ndio maana wengi tunakuwa na mashaka sana mkuu.
Kunipa afya "NJEMA"🙏🙏🙏Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Kujua nini zaidi ya uongo uongo tu mnajifanya mnajua kumbe mnajua uongo tu.
Kama hicho unachojifanya unakijua huwezi kuthibitisha uwepo wake automatically ni uongo.
Watu mna baraka, hongera mkuu kwa kupata riziki bila jasho.Cha kwanza kuniumba mwanaume Cha pili kunijalia kuipata riziki kwa wepesi kwani sihangaiki kuipata kama watu wengine
Una hoja usikilizweHili swali wataliruka kama vipofu vile.
Wote hawa wanao comment mara ohh! Namshukuru Mungu kwa uhai, uzima, pumzi sijui afya n.k
Wanadhani kwamba kushukuru kwao hivyo, kutawaepusha na kifo, ajali, au kuumwa.
Kumbe ni uongo mtupu, muda wowote watakufa, wanaweza kuumwa au kupata ajali.
Lakini kwa vile watu hawa wamesha pumbazwa na dini zao wana comment urojo hapa mara uhai, uzima, pumzi n.k wala hawafikirii sawa sawa.
Hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂Kwani hao wasio na kitu hawaku paswa kuwa na kila kitu?
Je huyo Mungu hakujua na hajui kwamba anapaswa kugawa kila kitu equally kwa kila mtu?
Huyo Mungu ni mbaguzi na mwenye upendeleo wa kuwapa watu wachache kila kitu huku akiacha maelfu ya maskini wasio na kitu wakimlilia na kumuomba awape angalau chochote kitu.
Huyo Mungu ni mwenye upendeleo sana na hastahili kuwa Mungu.
Na kama Mungu huyo yupo basi ni mkatili sana.
Mungu huyo, Alishindwaje kutoa kila kitu kwa usawa kwa kila mtu pasipo kuzidishia wengine na kunyima wengine?
Huoni kwamba huyo Mungu anafanya upendeleo?
Huyo Mungu kama ndio yupo namna hii, Hajielewi kabisa na ni mjinga sana.