Magulumelafulu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 495
- 602
toka lini code ikatolewa au wataka jampia,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila jasho kivipi na joto la Dar?Watu mna baraka, hongera mkuu kwa kupata riziki bila jasho.
Mungu aliyonitendea ni mengi sana.....Sina pa kuanzia kusimulia.....Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Ubaguzi wa mungu umejidhihirisha waziwazi Kwenye Quran ya waislamu pale ambapo mungu aliamua kumpa mtu mmoja Mohammed maelekezo ya kufanya hapa duniani na yanayomuhusu mungu mwenyewe ili atusambazie na sisi! Huu ni Ubaguzi wa wazi kabisa kwa mungu muweza wa yote, mwenye upendo wote, 😭ni sawa na wewe uwe na watoto Sita Kisha unamchagua mmoja kumsomesha na kumjali ilhali unao uwezo wa kumsomesha wote! 😂😂😂Wagonjwa wanaokufa ndugu zao hawamuombi huyo Mungu awaponye?
Mama yako ana u special upi wa kusema Mungu kamponya?
Au huyo Mungu ni mbaguzi anaponya watu kwa ubaguzi na upendeleo kwa kuruhusu wengine wapone halafu wengine wafe ilhali wote mnamuomba awaponye?