Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Doooh!! kama unaweza punguza taratibu mipombe , maana nkisema acha ni njia ndefuNi kazi mno. Inahitaji msaada mkuu wa Mungu Baba. Mkubwa sana..... Ila lazima aidha utaishia kuchepuka mno au utafuta nyumba ya pili haraka.
Mimi nilichoose alcohol maana SI mara ya kwanza anaenda kwao na nilijua HARUDI TENA ABADANI.... SO YES, I NEARLY DRANK TO DEATH BUT NOW AM SOMEHOW GOOD....
Anyway kama upo good sasa ni vyema na kumshukuru Mungu maana miaka 18 mingi mno