Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Umerithishwa kiwanda nini ndugu much know... Au unaibia watu mtandaoni, TIGOPESA na SELCOM...Cha kwanza kuniumba mwanaume Cha pili kunijalia kuipata riziki kwa wepesi kwani sihangaiki kuipata kama watu wengine
maana hiyo kauli ya
"riziki kwa wepesi, kwani sihangaiki kuipata kama watu wengine"
Inatia mashaka kwa mwenye akili... Au una chuma ulete? 😂🙌