ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hao anakuwa amewapenda zaidiKwamba hutakufa sio?
Mbona mkifa au ndugu zenu wakifa hamsemi zawadi ya kifo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao anakuwa amewapenda zaidiKwamba hutakufa sio?
Mbona mkifa au ndugu zenu wakifa hamsemi zawadi ya kifo?
Nimeandika kutokana na uelewa wangu tafadhali baki na uelewa wako amini unachoona sahihi. Ahsante!Kwamba hutakufa sio na hutakaa uumwe?
Au siku ukifa au ukiumwa huyo Mungu atakuwa amesahau majukumu yake.
Au utakuwa umesahau kumshukuru huyo Mungu unayedai anakupa uhai na afya?
Je waliokufa na wanao umwa mahospitali unadhani hawakuwa wanamshukuru huyo Mungu kwa uhai na afya kabla hawajaanza kuumwa?
Hata wewe kusema Mungu yupo ni mawazo na mitazamo yenu tu.Huo ni mtazamo wako na mawazo yako, mimi sina cha zaidi mkuu.
Sawa mkuuHata wewe kusema Mungu yupo ni mawazo na mitazamo yenu tu.
Kwa vile Mungu huyo hayupo katika uhalisia na hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.
Mawazo na mitazamo yenu ya kusema Mungu yupo hayana ukweli wowote ule.
Kwa vile mmeshindwa na hamuwezi kuthibitisha ukweli wa hayo mawazo na mitazamo yenu.
Automatically mawazo yenu ni uongo mtupu.
Kwa hiyo sisi tunaoishi hatupendi zaidi sio?Hao anakuwa amewapenda zaidi
BIla uzima kwani ungekuwa wapi?Uzima nilionao ni Shukrani tosha aseh
Leo Hujamshukuru kwa kinyeo?Afya na nguvu tele.
.......hongera na pole sana mrembo, tupe briefing ni kipi ulipitia na uliwezaje kutoka salama ktk hiyo zahama.....Furaha na amani niliyonayo hivi sasa baada ya kuipoteza kwa miaka mingi.
😂😂😂😂😂😂😂 labda nikushukuru wewe utakapokitafuna.Leo Hujamshukuru kwa kinyeo?
Unathibitishaje kwamba unacho kielewa kina ukweli?Nimeandika kutokana na uelewa wangu tafadhali baki na uelewa wako amini unachoona sahihi. Ahsante!
Sio mtazamo wangu tu.Huo ni mtazamo wako na mawazo yako, mimi sina cha zaidi mkuu.
Ahhh!!😂😂😂😂😂😂😂 labda nikushukuru wewe utakapokitafuna.
Hata mabaya, maovu na mateso sio?Namshukuru Mungu kwa kila kitu
we jifanye mlokole tu ntakubaka
Kaka kumbe uko njema eeehhh!!Familia ya four kids,Elimu na ajira,vitega uchumi vilivyopo SI haba naingiza walau laki 3hadi nne kwa mwezi ambazo sio ya kuuza Wala kununua yaani ipo tu nje ya ajira!,hata nisipokuwepo siwezi daiwa Hela ya matumizi!
Na mengine meengi sana!
Uzima na afya!