Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kwani wewe majibu unatoa mguuni auSio kwamba sina hoja bali ubishi si sehemu ya maisha yangu vilevile siwezi kuwa na hoja na mtu mwenye majibu yake kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe majibu unatoa mguuni auSio kwamba sina hoja bali ubishi si sehemu ya maisha yangu vilevile siwezi kuwa na hoja na mtu mwenye majibu yake kichwani.
NdioKwani wewe majibu unatoa mguuni au
Yani ni kuunganisha dhana mbili zisizo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.Mkuu, Logical non sequitur Ni kitu gani hicho? Msamiati mgeni huu kwangu, nijuze tafadhali
😂😁😁Sawa sawaNdio
Anhaa, sawa hapo nimeelewa vyema kabisa, Mungu akubariki kwani umenijuza jambo jipya kabisa.Yani ni kuunganisha dhana mbili zisizo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
At least Mungu huyo angekuwepo angeweza kunibariki na kubariki kila kitu.Anhaa, sawa hapo nimeelewa vyema kabisa, Mungu akubariki kwani umenijuza jambo jipya kabisa.
Hujathibitisha Mungu yupo, kabla ya kusema Mungu kafanya hivi na vile, thibitisha yupo kwanza.Ni kweli kabisa, ni haki yenu kuhoji, kwani Mungu aliwapa free will, uhuru wa kuchagua upande.
Mungu hafanani na wala hafananishwi na chochote...Kwahiyo Mheshimiwa, wamwaminio mungu ni vinyani na vingedere na vikima au sio?!... Hiyo emoji uliyomalizia nayo hapo inamaana gani?!
Ujue una utani sana Mheshimiwa?! 😂😂😂
Sawa mkuu, that's up to you.At least Mungu huyo angekuwepo angeweza kunibariki na kubariki kila kitu.
But unfortunately Mungu huyo hayupo kunibariki au kubariki chochote.
Mungu huyo ni dhana ya kufikirika tu, isiyo katika uhalisia.
Imaginations just an illusion.
Kama huamini sasa nithibitishe kipi ambacho utaamini, unataka niiandike maneno mengi tu bila sababu, baki na imani yako ya HUMANISM.Hujathibitisha Mungu yupo, kabla ya kusema Mungu kafanya hivi na vile, thibitisha yupo kwanza.
Uthibitisho si suala la kuamini, ni suala la kuhakiki.Kama huamini sasa nithibitishe kipi ambacho utaamini, unataka niiandike maneno mengi tu bila sababu, baki na imani yako ya HUMANISM.
Mungu hafanani na wala hafananishwi na chochote...
hata hivyo gentleman,
sijakupata vyema unalalamika au unazungumzia nini hasa? vinyani, vingedere au emoji? 🐒
nafsi na moyo wako vikiwa tayari kutambua na kuskia wito wa sauti ya Mungu katika maisha yako, ni rahis kupata utakacho kwa hakika na kwa wakati muafaka , na kwakweli utadumu nacho kwa amani na furaha sana 🐒Huwezi kujibu maswali yangu, kwa vile huyo Mungu unayesema amekupa mume bora ni uongo tu.
Ni juhudi zako binafsi ndizo zilikupatia huyo mume bora wako wala si huyo Mungu.
Kuna kundi kubwa la wanawake linamlilia na kumuomba huyo Mungu wapate waume bora lakini hawapati.
Automatically huyo Mungu wa kutoa mume bora hayupo, ni juhudi zako binafsi ndizo zilikupatia huyo mume wako bora.
Huo ni mtazamo wako na mawazo yako, mimi sina cha zaidi mkuu.Uthibitisho si suala la kuamini, ni suala la kuhakiki.
Kuamini tu unaweza kuamini hata uongo.
Sasa, uthibitisho unaangalia na kuchambua hiyo imani, je, unachoamini ni kweli au uongo?
Wewe unahakikishaje kwamba imani yako kuwa Mungu yupo ipo kwenye ukweli kwamba Mungu yupo, na si imani iliyojengwa kwenye uongo, kwamba Mungu hayupo?
Nimeshapata nitakavyo na napata chochote nitakacho mwenyewe bila msaada wowote wa huyo Mungu.nafsi na moyo wako vikiwa tayari kutambua na kuskia wito wa sauti ya Mungu katika maisha yako, ni rahis kupata utakacho kwa hakika na kwa wakati muafaka , na kwakweli utadumu nacho kwa amani na furaha sana 🐒
Nimeshafanikiwa vitu vingi sana bila huyo Mungu.ukitumia nguvu na utashi wako mwenyewe binafsi bila kukiri nguvu na uwezo uliona nao ni Neema na Baraka za Mungu utatangatanga sana, utababaika mno na unaweza kufanikiwa na ukose furaha na amani kwa ulichofanikiwa bila kumshirikisha Mungu.....
At least Nuru na giza vipo. Ila huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.hata hivyo ni hiyari na uamuzi wako kuchagua Nuru au Giza 🐒
Kwamba hutakufa sio na hutakaa uumwe?Uhai na afya
ni nafsi hai iliyoko na nguvu za kipekee sana na isiyo na sura wala mfano wa kitu, na inafanya kazi ya pekee sana ndani ya kila mwanadamu mathalani wew unae ona, unaeandika, unaehoji na pengine kubisha makuu ya Mungu aliyokukirimia bure kwa mapenzi yake kwako....Ulijuaje na unathibitishaje, Mungu huyo hafanani na hafaninishwi na chochote?
ilihali hata kuthibitisha kwamba huyo Mungu yupo huwezi.