Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Kwahiyo Mheshimiwa, wamwaminio mungu ni vinyani na vingedere na vikima au sio?!... Hiyo emoji uliyomalizia nayo hapo inamaana gani?!amenitoa mbali mno,
kumbuka nilienda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza nina tsh laki5 pekee mfukoni. ugumu niliokumbana nao alinionyesha njia na kunifanyia wepesi nikavuka salama, fedheha na aibu nilizopitia ni Mungu pekee alinifuta machozi na kunipa ujasiri wa kutokukata tamaa, bidii na nguvu za kupambana bila kuchoka....
naamini huyu Mungu aliona na alijua nia na dhamira ya Moyo wangu kwa wanaichi, na hata akanishika mkono.....
Mpendwa,
leo hii, hivi nilivyo ni kwa Nguvu ,Neema na Baraka za Mungu tu , na wala sio kwa ujanja wangu...
tuendelee kumuamini, kumshukuru kwa sadaka na shukrani, kumtumaini, kutubu na kuambatana nae, na daima tumtegemee yeye pekee, kwani anaweza yote katika wote wamwaminio 🐒
Ujue una utani sana Mheshimiwa?! 😂😂😂