Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Aje kigamboni nimpe elfu 10Anaomba buku mpe tajirii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje kigamboni nimpe elfu 10Anaomba buku mpe tajirii
Mungu yupi?Sio kwamba hujapata jibu bali unauliza swali hali ya kuwa una majibu yako kichwani.
Ndio nimedhibitisha Mungu yupo.
Wagonjwa wanaokufa ndugu zao hawamuombi huyo Mungu awaponye?Kumponya mama yangu mzazi, kwa kweli Mungu yupo namshukuru sana na utukufu wake nitautangaza popote.
Unajitia kataa ndoa kumbe unapenda sana tu😎Hawauwezi jua tu yatapita tu , dunia haina haki
AllahMungu yupi?
Kwani ni timu kataa ndoa 😁😁😁Unajitia kataa ndoa kumbe unapenda sana tu😎
Waliokufa hawaku hitaji huo uzima ulio nao?Uzima nilionao ni Shukrani tosha aseh
Sasa kupenda kuna uhusiano gani na ndoa ndugu mdau🙄Unajitia kataa ndoa kumbe unapenda sana tu😎
Ndio! Kumbe uchwaraKwani ni timu kataa ndoa 😁😁😁
Basi endelea kushika mapembe watu waolewe🤸Sasa kupenda kuna uhusiano gani na ndoa ndugu mdau🙄
Kama ukiwa timu kataa ndoa kanuni usipende 😃😃😃Sasa kupenda kuna uhusiano gani na ndoa ndugu mdau🙄
Ngoja wenzie wamfukuze kwenye chama😁Ndio! Kumbe uchwara
Kwa hiyo huyo Mungu alitoa uwezo wa kutambuliwa uwepo wake na watu wachache kama wewe, Halafu anataka kila mtu amtambue yeye yupo?Mimi siku zote namshukuru Mungu kwa kunipa uwezo wa kutambua uwepo wake na kumtegemea yeye katika kila jambo, Hakika Mungu ni wetu sote.
Huwezi jua wema aliotendewa na mheshimiwa Rais... Unadhani wale waliojengewa nyumba na kupewa mapesa na kazi zenye hadhi na mishahara minono baada ya kuonana LIVE na mheshimiwa Rais na kueleza shida na matatizo yao watamsahau kiurahisi?! Acha kabisa!Kuna hii ng'ombe hapo
View attachment 3014269
Hata wewe unamtambua ndymaana unamzungumzia hapaHuyo Mungu, Alishindwaje kutoa uwepo kwa kila mtu akamtambua yeye yupo siku zote kwa wakati wote?
Huyo Mungu Alikuletea mume bora wapi?Kwa kuniletea Mume bora Maishani mwangu.
umesema kuacha uhai eeh, bas namshukuru kwa kunipa huyu baba watoto, kiatu kimenifiti vizuri sana hakinipwai wala hakinibani, Mungu azidi kutupa umri nizidi kufaidi uwepo wake,
Ninyi ndio mnamzungumzia huyo mungu kwa vile hayupo kujizungumzia mwenyewe.Hata wewe unamtambua ndymaana unamzungumzia hapa
Napenda sana tu ila apo kwenye ndoa apana kwa kwel😁Kama ukiwa timu kataa ndoa kanuni usipende 😃😃😃