min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Una buku ya karibu apo mkuu?Pumzi tu uhai,pesa ,mke mzuri,watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una buku ya karibu apo mkuu?Pumzi tu uhai,pesa ,mke mzuri,watoto
Kuna kundi kubwa sana humu tumekuwa washika mapembe bila kujua , nimelia sana😭Kwa kuniletea Mume bora Maishani mwangu.
Kwa nini ulie mpendwa 😀😀😀Kuna kundi kubwa sana humu tumekuwa washika mapembe bila kujua , nimelia sana😭
Hawauwezi jua tu yatapita tu , dunia haina haki🥲Kwa nini ulie mpendwa 😀😀😀
Mungu angekuwa yupo, kungekuwa hakuna ajali.Mwaka 2019 ajali ya Nzega-Tabora hadi leo nakumbuka.
Ishaala
Si unambie nikushauri mpendwa wangu ☺️Hawauwezi jua tu yatapita tu , dunia haina haki🥲
Wewe tena unataka kuugeuza uzi uwe wa dini 🐒Mungu angekuwa yupo, kungekuwa hakuna ajali.
Ajali kuweza kuwepo ni ushahidi Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) hayupo.
Uzi wa habari za Mungu utakosaje kuwa wa dini?Wewe tena unataka kuugeuza uzi uwe wa dini 🐒
Mpaka um mwage ubongo na boda boda wakoMungu azidi kutupa umri nizidi kufaidi uwepo wake,
Una uliza swali kila siku hali ya kuwa una majibu yako kichwani why huwa unauliza.Uzi wa habari za Mungu utakosaje kuwa wa dini?
Kwa sababu sijapata jibu la kuridhisha.Una uliza swali kila siku hali ya kuwa una majibu yako kichwani why huwa unauliza.
Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Wewe ya Nini ? Cc ephen_Una buku ya karibu apo mkuu?
Sio kwamba hujapata jibu bali unauliza swali hali ya kuwa una majibu yako kichwani.Kwa sababu sijapata jibu la kuridhisha.
Kwani kuna siku ulishawahi kuthibitisha Mungu yupo?
Umedhibitisha au umethibitisha?Sio kwamba hujapata jibu bali unauliza swali hali ya kuwa una majibu yako kichwani.
Ndio nimedhibitisha Mungu yupo.