Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ndio nani huyoAllah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nani huyoAllah
Zawadi ya uhaiAchilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Sehemu ya uhuru huo ni kuhoji kila mara Mungu anapoletwa kwenye public discourse.Kueleza kuhusu Mungu pasipo kutumia vitabu vyake haiwezekani. Kama huamini ni maamuzi yako tu mkuu, be free with your Reasoning and humanist beliefs.
Ni kweli kabisa, ni haki yenu kuhoji, kwani Mungu aliwapa free will, uhuru wa kuchagua upande.Sehemu ya uhuru huo ni kuhoji kila mara Mungu anapoletwa kwenye public discourse.
Ndicho tunachofanya hapa.
Umeshindaa 😁😁😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻Umetokana na sperms na kijiyai pevu
Kumbe ushawahi kufungua hadi uzi😂Muongo huyo hanipendi nimekaa single jf karibia miaka na kuanzisha uzi wa kutafuta mchumba wala sikuona comments hata ya mambo pm leo ndio anipende 😁😁😁😁
.Ndio nani huyo
Kwamba hutakufa sio?Zawadi ya uhai
Tena sio mmoja ni mingi kila baada ya mwenzi nilikuwa naweka 😁😁Kumbe ushawahi kufungua hadi uzi😂
Hakika Mungu ni mwema sana.Mambo ni mengi sana, hata nikiandika mwezi mzima bado sitamaliza, in short MUNGU ni mwema wakati wote
Nukta za Nini sasa
.Nukta za Nini sasa
😁😁 jidanganyeMuongo huyo hanipendi nimekaa single jf karibia miaka na kuanzisha uzi wa kutafuta mchumba wala sikuona comments hata ya mambo pm leo ndio anipende 😁😁😁😁
Kwanza hujathibitisha Mungu huyo yupo.Ni kweli kabisa, ni haki yenu kuhoji, kwani Mungu aliwapa free will, uhuru wa kuchagua upande.
Mkuu, Logical non sequitur Ni kitu gani hicho? Msamiati mgeni huu kwangu, nijuze tafadhaliKwanza hujathibitisha Mungu huyo yupo.
Una kimbilia kusema kwamba Mungu huyo katupa free will.
Hapa unafanya speculations zako tu zasizo na mantiki.
Logical non sequitur.
Kwanza uzima tu ni bahati kwangu .....mengine ni Kazi ,maisha ,chakula ,mavazi ,gari ,na vingine vingi bila yeye mimi si kitu ................na sijui nimefikaje hatua hii ,sijafika naomba anisaidie zaidi nipige hatuaAchilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Hauna hoja 😂😁
Kwa kweli ni hii pumzi anayoendelea kunibariki nayo mpaka muda huu haijalishi tajiri au maskini wote tunafaidika nayo. Atukuzwe Mungu milele.Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Sio kwamba sina hoja bali ubishi si sehemu ya maisha yangu vilevile siwezi kuwa na hoja na mtu mwenye majibu yake kichwani.Hauna hoja 😂😁