Mpaka sasa unamshukuru Mungu kwa jambo gani kuu alilokutendea maishani mwako?

Kunipa maarifa ya kujenga nyumba yaani uashi.Haiwezekani ndege nofi anaeweza kujenga kiota kizuri lkn binadamu tunashindwa.
 
Up and down zangu zote na still nipo hai naendelea na arakati za kidunia bila kukata tamaa hilo tu namshukuru
 
Iko hivyo mkuu,
Kama kweli yupo, basi yuko biased sana. Kwa nini asigawe keki ya dunia kwa wote equally, wengine wanataabika na matatizo ya dunia wakati wapo wanaoishi mbingu ya duniani.

He's not fair, ndio maana wengi tunakuwa na mashaka sana mkuu.
 
Haya mambo huwezi kuyajua we endelea Ku hustle in vain
Kujua nini zaidi ya uongo uongo tu mnajifanya mnajua kumbe mnajua uongo tu.

Kama hicho unachojifanya unakijua huwezi kuthibitisha uwepo wake automatically ni uongo.
 
Afu hawa Theists waamini huyo Mungu ndio maskini choka mbaya kutwa kukesha kumuomba huyo Mungu huku wakiambulia patupu.

Halafu bado wanakaza mafuvu kuendelea kuwa na matumaini uchwara kwamba huyo Mungu wao atatenda..πŸ˜†

Wanashindwa kukubali uhalisia kwamba huyo Mungu wao wanayedai yupo ni mchoyo sana na mwenye upendeleo au hayupo.
 
Kunipa afya "NJEMA"πŸ™πŸ™πŸ™
 
Namshkuru mungu muumba nilinusurika kukumbwa na ugonjwa hatari sana wa stroke mnamo mwaka 2020, nikazidisha uchamungu maradufu. (ingawa sometimes najisahau) kwa neema, upendo, rehma na uwezo wake mkubwa mpaka leo hii nadunda... (Kama ni binadamu walifanya yale, nimewasamehe, kama ni jaribio lake mungu kwangu namshkuru.) Ingawa ni mtu mwenye mikosi sana na bahati mbaya... Ila mungu wangu ananiokoa mara kwa mara dhidi ya mitihani ya maisha.

Sina kinyongo na mtu, ila sitasahau. Najitahidi kuweka sawa nilipokosea maishani na nilipochelewa aidha kukanirudisha nyuma kwa namna moja au ingine.

Sina cha kumlalamikia, ila naamini kila kukicha amenijaalia nafasi ya kuendelea kupambana na kuandaa kesho bora binafsi.

Sina mtoto wala mke, pia sina mpango kutokana na upweke ninaouhisi kutokana na niliyopitia mengi maishani. Binafsi furaha yangu haipo huko, Na inawezekana kuwa happy bila mwenza... Napenda siku moja nikipata mapesa mengi zaidi niwe mtu wa kuhudumia jamii hasa makundi maalum yenye uhitaji. Nizeekee milimani, kwenye kajumba kadogo tu ka kawaida, niwe msafiri, niizunguke dunia, mvuvi na mfugaji.
 
Kujua nini zaidi ya uongo uongo tu mnajifanya mnajua kumbe mnajua uongo tu.

Kama hicho unachojifanya unakijua huwezi kuthibitisha uwepo wake automatically ni uongo.

Sawa upo sahihi mkuu but to me I'm believer and in GOD nothing impossible
 
kuna huyu mwanaume aliletwa na Mungu
Always thanksful kwa ajili yako Baba P😍
 
Kuweza kukaa kwenye mood Bila kutoka kwenye reli..... wapumbavu nyote mnaotaka nitoke kwenye mood
 
Una hoja usikilizwe
 
Hahahahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuniweka hai.mpaka sasa nikiwa na afya njema, akili, busara na hekima.

Aendelee kunipa uhai, hekima, busara, utajiri wa pesa na mali hadi uzee nikiwa na nguvu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…