Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Chombo huru kinachoonesha wazi kipo upande wa Mbowe!Molemo Media ni chombo huru kuwahabarisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chombo huru kinachoonesha wazi kipo upande wa Mbowe!Molemo Media ni chombo huru kuwahabarisha
Goliath ni nani na Daudi ni nani?Goliath vs Daudi 🐼😂
Chadema ni chama cha kidemokrasia sanduku la kura ndiyo linaamua.Wala hakuna haja yamalumbano.Wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu waache waamue juu ya hatma ya chama chaoTarehe 21 haiamui mwenyekiti ila inaamua hatma ya kifo au uhai wa chadema. Mkimchagua huyo CCM B ndio mjue wapinzani halisi wote wataacha kupiga kura wala kuhudhuria matukio ya chama.
Najua Mbowe alifanya utafiti wa nani anakubalika kati ya wanachama, na yeye anajua kabisa hayuko popular kuliko Lissu sasa mkidhani hao wenyeviti 24 ndio watatupangia mwenyekiti wao kisa kuhonhwa basi mnajidanganya. Wasiposikiliza maoni yetu wanachama; tutawaachia hiko chama kama Lipumba anaongoza chama hewa tu.
Huu ni uchambuzi au umbeya wa kumsifia Mbowe na kumchafua Lissu.Ilikuwa kama utani na ilianza tetesi kwamba Tundu Lissu ameamua kupambana na Mwenyekiti wake ili kumpata kiongozi mpya atakayekiongoza chama hicho kwa miaka mitano ijayo
Sasa ni rasmi mafahali hawa wawili wameingia ulingoni ili kuamua ugomvi wao kupitia sanduku la kura.
Freeman Mbowe amekiongoza chama hicho kwa mafanikio makubwa mpaka zasa kiasi kwamba hata washindani wake wanakosa hoja ya msingi sana ya kushindana naye badala yake zimebaki tu propaganda za hapa na pale.
Freeman Mbowe mwanasiasa mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa mpaka sasa anaungwa mkono na wenyeviti 9 wa Kanda kati ya 10 waliopo huku pia akiungwa mkono na wenyeviti wa mikoa 24 kati ya 30 iliyopo
Freeman Mbowe amekuwa mwanasiasa na kiongozi mtulivu zaidi, anayesikiliza, anayeshaurika na ambaye hana maneno mengi sana bali vitendo kwa wingi.
Freeman Mbowe ni kiongozi anayesimamia na kuliamini jambo lililopitishwa na vikao hata kama baadhi ya watu watalipinga na mfano mzuri ni maridhiano kati ya chama chake na serikali ya CCM.
Tundu Lissu msanaharakati na mtetezi wa haki za binadamu kwa muda mrefu ametangaza kugombea uenyekiti Chadema miezi mitatu tu tangu kutangaza kugombea Makamo Mwenyekiti wa chama hicho.Hajaweka wazi kwanini ghafla amebadili uamuzi wake
Tundu Lissu mwanasheria aliyebobea ni kiongozi ambaye ana misimamo mikali na ambaye haamini katika maridhiano.
Baadhi ya wapinzani wa Tundu Lissu wanamuona kama ni mtu anayeungwa mkono zaidi na makundi yaliyo nje ya Chadema hasa wanaharakati na watanzania waishio nje ya nchi.
Kingine ambacho wapinzani wa Tundu Lissu wanamwandama nacho ni tabia yake ya kupenda sana kuzungumza sana na vyombo vya habari hasa mitandao ya kijamii kama vile Club House, Spaces, Digital channels nk ambapo imedaiwa amekuwa akizungumza wakati mwingine mambo ya ndani ya chama.
Yote kwa yote msema kweli ni tarehe 21/1/2025 ambapo Mkutano Mkuu utachagua Mwenyekiti mpya kati ya miamba hii miwili ya siasa za Chadema na Tanzania kwa ujumla.
Sisi wa Molemo Media Tutawabarisha mambo mbalimbali kuhusu wagombea hawa kuelekea Januari 21 inayosubiriwa kwa hamu na Watanzania kwa ujumla.
Majibu hapana hatuna, sisi tunachoandika ni uhalisia wa yale tunayoona, kutafiti na kusikia.Tunachoamini muamuzi wa kweli ni sanduku la kuraNyinyi wa "Molemo" hamna la ziada la kuwajulisha watu, kwa vile majibu tayari mnayo; kama mlivyo yaweka hapo juu.
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwatafuta tena nyinyi kupata majibu ambayo tayari mmekwisha yaweka bayana kwa maoni yenu.
Unaweza kuweka haba utafiti wako usiotia shaka kwamba yatatokea uliyoyaandika.Kwa sasa Chadema kimekuwa kikubwa kuliko personalities.Aondoke Freeman au Tundu chama hiki hakiwezi kufa kiko mioyoni mwa watuUimara wa CHADEMA chini ya Mbowe baada ya uchaguzi ni ndoto isiyo kuwa na maana yoyote.
Uhuru wa mawazo na uhuru wa habari ni jambo muhimu sana.Katika mfumo wa kidemokrasia nyakati nyingine inabidi ukubaliane na usichotaka kusikia.Hiyo ndiyo demokrasiaWorse enough kaibukia upande wa Mbowe ingawa katokea moja ya wilaya za Mkoa wa Singida
Molemo media haina upande bali iko huru kuhabarisha ukweli kulingana na utafiti uliofanyikaChombo huru hakiwezi kuwa na upande.
Mwenyekiti atapatikana kwa wingi wa kura kwenye mkutano mkuu kama katiba ya Chadema inavyosema.Kura itapigwa katika mazingira ya uwazi kabisa hadharani na atakayeshinda atapewa muhula wa miaka mitano.Sahihi kabisa, kama wanategemea watu wachache ndio wataaamua mapenzi ya wengi, basi watajua kuwa hakuna kitu cha kuheshimu maishani kama mahitaji ya nyakati.
Molemo media haina upande kama taarifa yetu inavyojieleza.Ukweli ukiandikwa haina maana uko upande fulani.Wagombea waendelee kujinadi kistaarabu ili mshindi apatikane kwa haki na amaniChombo huru kinachoonesha wazi kipo upande wa Mbowe!
🚮🚮🚮🚮Molemo media haina upande bali iko huru kuhabarisha ukweli kulingana na utafiti uliofanyika
Narudia tena, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita, na hili ni hitaji la wakati. Ifahamike mihitaji ya wakati ni zaidi ya hiyo katiba yenye utata kwenye kipengele cha ukomo wa madaraka.Mwenyekiti atapatikana kwa wingi wa kura kwenye mkutano mkuu kama katiba ya Chadema inavyosema.Kura itapigwa katika mazingira ya uwazi kabisa hadharani na atakayeshinda atapewa muhula wa miaka mitano.
Sijaelewa hoja yako ya watu wachache kuamulia wengi
Kuwa na upande sio lazima ww ukiri, maandishi yako yanatosha kuonyesha hilo.Molemo media haina upande bali iko huru kuhabarisha ukweli kulingana na utafiti uliofanyika
Wachaga wa CHADEMA mmekuwa wa hovyo sana aisee 🤣🤣🤣Mwenyekiti atapatikana kwa wingi wa kura kwenye mkutano mkuu kama katiba ya Chadema inavyosema.Kura itapigwa katika mazingira ya uwazi kabisa hadharani na atakayeshinda atapewa muhula wa miaka mitano.
Sijaelewa hoja yako ya watu wachache kuamulia wengi
Tatizo lako ni kwamba unataka usikie unachotaka kusikia.Molemo Media haiko hivyo kufurahisha mtu mmoja mmoja.Molemo Media itatoa taarifa ya ukweli kuhusiana na mtu.Tatizo lako unaonekana tayari una upande.Lililo muhimu tumia njia mbalimbali kushawishi wajumbe wa mkutano mkuu wampigie kura unayemtaka.Hiyo ndiyo demokrasiaHuu ni uchambuzi au umbeya wa kumsifia Mbowe na kumchafua Lissu.
Embu rudi kaandike upya, hicho ulichokiandika hakina hadhi ya kuutwa uchambuzi hapa JF.
Molemo media inakushukuru pia kutufuatilia
Hahaha Team Lisu hamna tofauti na Team WEMA.Umetumwa na Mbowe uandike huu ujinga?
Molemo Media inakushauri kutumia njia mbalimbali kushawishi wajumbe wa mkutano mkuu kumpigia kura mgombea unayempenda.Narudia tena, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita, na hili ni hitaji la wakati. Ifahamike mihitaji ya wakati ni zaidi ya hiyo katiba yenye utata kwenye kipengele cha ukomo wa madaraka.
Kuwa na upande sio lazima ww ukiri, maandishi yako yanatosha kuonyesha hilo.
Mtu yeyote anayeingiza ukabila ama udini katika hoja yoyote ni kufilisika kabisa kifikra.Wachaga wa CHADEMA mmekuwa wa hovyo sana aisee 🤣🤣🤣
Nyinyi hamna tofauti na Wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa uliopita
Molemo inashauri tena kushawishi kura kwa wa wajumbe siyo lazima kutukana upande wowote.Sanasana hiyo inaweza kupunguza kura kwa yule unayempigania kwa sababu wajumbe wa mkutano mkuu hawatamchagua mtu kulingana na wingi wa matusi yatakayotolewa bali kulingana hoja za ushawishi kutoka kwamgombea na wapambe wakeHahaha Team Lisu hamna tofauti na Team WEMA.
Kumtukana kila msiyekubaliana naye mitizamo.