Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Busara na heshima au hekima si chochote mahali ambapo uhalifu unatendeka. Watu wanazungumzia rushwa, mamlaka ziko kimya na zinashughulikia tu wezi wa mbuzi, kuku na bata, kama si uonevu nini? Wabadhilifu wa mali za umma, inabidi waende lupango- period- si haya ya busara na heshima.Kuna watu wenye busara na heshima katika jamii Molemo media ilizungumza nao na wakashauri mdahalo huo usifanyike
Sababu wanayotoa ni kwamba mdahalo huo uaweza kutumika kupakana matope na kusingiziana uongo usiomithilika.
Pia kuna hofu mdahalo huo unaweza kutumika kuanika siri za chama na kukitia doa chama hicho
Mmekuwa wajinga sana aisee, ina maana mnatufanya watu hatuoni au kushuhudia uhalisia wa mambo?Wapi Molemo Media imetukana mgombea? Unaweza kuripoti kwa Moderators wakaondoa hayo matusi?
Sera za Mbowe ni zipi enyi madalali wake?Molemo Media ni chombo huru kuwahabarisha
Ni wapi imeandikwa hao ndiyo wapiga kura?Kwa hiyo wapiga kura ni hao wenyeviti 10 wa kanda na wenyeviti 30 wa mikoa!!!???
Kwanini unapanga uhalifu wa kutoa rushwa? Kiongozi halali wa Chadema hatapatikana kwa kutoa rushwa bali kwa sera nzuri za mgombea.Nimushauri kama ulipanga hivyo uachane kabisa na mpango huo haramuNjia mbalimbali kushawishi wajumbe wa mkutano mkuu kumpigia kura mgombea ni pamoja na kutoa rushwa na vitisho!!?
Mimi nasubiria clips za watu wanavyoshawishi wajumbe kwa rushwa zianze kutolewa ndio watu mtaumbuka.
Kutukana mtu yeyote mwenye mtizamo tofauti na wewe ni kujionyesha jinsi ulivyo duni kifikra.Sera za Mbowe ni zipi enyi madalali wake?
Tulivyokuwa na nyinyi wakati wote isiwafanye mtudharau. Sisi sio wajinga tuna akili za kujua kweli na utapeli.
Safari hii hamuwezi kutapeliwa
Sidhani kama itasaidiachochote kwani hawa tayari ni viongozi wa ngazi ya juu wa Chadema kwa sasaMkuu hebu tuwekee na Cv zao kielemu
Mbona hujaeleweka unachotaka kukieleza.Ubadhirifu wa kitu gani?Busara na heshima au hekima si chochote mahali ambapo uhalifu unatendeka. Watu wanazungumzia rushwa, mamlaka ziko kimya na zinashughulikia tu wezi wa mbuzi, kuku na bata, kama si uonevu nini? Wabadhilifu wa mali za umma, inabidi waende lupango- period- si haya ya busara na heshima.
Tapeli ni sifa sio tusi! Ila habari mnaipata wezi wakubwa nyinyi. Weka sera za Mbowe hapa badala ya brah brahKutukana mtu yeyote mwenye mtizamo tofauti na wewe ni kujionyesha jinsi ulivyo duni kifikra.
Wajumbe wa mkutano mkuu hawatamchagua mgombea kwa matusi yake wala ya wapambe wake
Kwanini umechagua kumuamini mgombea mmoja usichague kumuamini mwingine?"Freeman Mbowe ni kiongozi anayesimamia na kuliamini jambo lililopitishwa na vikao hata kama baadhi ya watu watalipinga na mfano mzuri ni maridhiano kati ya chama chake na serikali ya CCM."
Hayo maridhiano yalipitishwa na kamati kuu lini?
Alichosema Lissu hamna mahali kamati kuu imepitisha Maridhiano.
Mbowe ametoka gerezani akaibukia Ikulu na ndio akaja na hilo la maridhiano
Wao kama wajumbe wa kamati kuu wakaamua kukaa kimya kumlinda Mwenyekiti wao na kwa kufanya hivyo Lissu alikiri majuzi kwamba walikosea.
Hopeless kweli nakueleza alichosema mjumbe wa kamati kuu unaniletea habari za kumwamini mtu mmojaKwanini umechagua kumuamini mgombea mmoja usichague kumuamini mwingine?
Walau sisi wa habari tumekuwa tukifanya mahojiano mara kadhaa na Katibu Mkuu ambaye alikuwa anatupa magizo na maelekezo ya Kamati Kuu kuhusu maridhiano
Sasa leo hii hatuwezi kuchagua kumuamini mgombea kwa sababu inaweza ikawa ni lengo la kujitafutia kura
wanasema kwamba kuna fedha za michango zinaingia kwenye account za mtu binafsi, hii ni kweli au ni matango? kama ni kweli ndip ubadhirifu wa mambo yenyewe. Molemo wewe uko humo CDM muda mrefu, je haya yasemwayo ni kweli ? Ni kweli kwamba michango ya fedha huenda kwenye a/c ya mtu binafsi?Mbona hujaeleweka unachotaka kukieleza.Ubadhirifu wa kitu gani?
Inaonekana upeo wako ni hafifu sana.Mtu yeyote mwenye hoja hawezi kutukana mtu wala kumvunjia heshima.Mara nyingi matusi ya aina hii yanamyima kura mgombea unayempiganiaTapeli ni sifa sio tusi! Ila habari mnaipata wezi wakubwa nyinyi. Weka sera za Mbowe hapa badala ya brah brah
ongeza sauti itakuwa hajakusikiaChombo huru hakiwezi kuwa na upande.
Huwezi kushurutisha media yangu kukuamini Huo ni upuuzi na udikteta uliovuka viwangoHopeless kweli nakueleza alichosema mjumbe wa kamati kuu unaniletea habari za kumwamini mtu mmoja
Lisu ana sababu gani ya kudanganya jambo kama hilo na angedanganya si lingekuwa limekanushwa na hao wengine unaowasema wewe
Hii media yako ni ya kitu gani?? naona huku unaitwa nini media
Ndio kwa akili hizi unategemea hiyo media yako iwe credible?
Nchi ina matapeli hii
Anaaminika na nani? unaona jinsi ambavyo reasoning yako ilivyo? Mimi kumwamini Lissu ni upuuzi ila wewe kumwamini Mnyika ni sahihi sio?Huwezi kushurutisha media yangu kukuamini Huo ni upuuzi na udikteta uliovuka viwango
Molemo media haiwezi kuendeshwa kwa porojo na propaganda ndiyo maana tumepata ukweli kutoka kwa Katibu Mkuu John Mnyika
Kwa utafiti wangu siyo kweli ila ni propaganda tu za uchaguziwanasema kwamba kuna fedha za michango zinaingia kwenye account za mtu binafsi, hii ni kweli au ni matango? kama ni kweli ndip ubadhirifu wa mambo yenyewe. Molemo wewe uko humo CDM muda mrefu, je haya yasemwayo ni kweli ? Ni kweli kwamba michango ya fedha huenda kwenye a/c ya mtu binafsi?