Mpambano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu: Wajue wagombea hawa wawili

Mpambano wa Freeman Mbowe na Tundu Lissu: Wajue wagombea hawa wawili

Mkuu Manya,@manyanza, asante sana,hilo jamaa ni moja viongozi wakubwa tuu pale kwao,lakini ni lijitu lijinga ajabu!,stalisahau, limenichafulia CV yangu ya jf nikapigwa ban yangu ya kwanza na ya mwisho humu jf,kuna mtu analijua,akalitaja humu kuwa hili jamaa ni nani pale ufipa, akalutaja jina na cheo chake, mimi nika reply hiyo post,kwa kusema siamini ofisa mkubwa hivyo anaweza kuposti utumbo humu,lijamaa likaniripoti kwa mode kuwa ni mimi ndio nimelitaja jina lake na cheo chake hivyo kufanya kosa la name calling, nikala ban!。Nilikasirika ssna na siku hiyo ndio ingekuwa mwisho wangu jf,nikamwambia mode aliyemtaja jina sio mimi, mimi nime reply tuu, ndipo nikafunguliwa。
P
Kaka yangu Pazcal Mayalla

Nimeshtuka sana kwa huu ujumbe wako maana nilikuwa wala sikumbuki tena hayo mambo.Nimesikitika kwamba kwa karibu miaka 10 umebeba hiyo chuki moyoni mwako

Nadhani wewe ni muumini wa Imani yoyote, maandiko yanasema usilibebe jambo likakukasirisha kutwa nzima, sasa mwenzangu hata ingelikuwa umesingiziwa unabeba chuki moyoni miaka kumi? Utaugua bure ndugu yangu kwa hasira iliyokujaa kifuani.

Umesema unanijia kwa cheo na jina pale Ufipa, sasa kama ni hivyo hata nikikutana na wewe mahali si itabidi nikukimbie? Maana kwa chuki uliyoonyesha hapa lazima utanidhuru.

Nakushauri achana na chuki, hasira na kushika jambo moyoni daima dumu.
 
Kaka yangu Pazcal Mayalla

Nimeshtuka sana kwa huu ujumbe wako maana nilikuwa wala sikumbuki tena hayo mambo.Nimesikitika kwamba kwa karibu miaka 10 umebeba hiyo chuki moyoni mwako

Nadhani wewe ni muumini wa Imani yoyote, maandiko yanasema usilibebe jambo likakukasirisha kutwa nzima, sasa mwenzangu hata ingelikuwa umesingiziwa unabeba chuki moyoni miaka kumi? Utaugua bure ndugu yangu kwa hasira iliyokujaa kifuani.

Umesema unanijia kwa cheo na jina pale Ufipa, sasa kama ni hivyo hata nikikutana na wewe mahali si itabidi nikukimbie? Maana kwa chuki uliyoonyesha hapa lazima utanidhuru.

Nakushauri achana na chuki, hasira na kushika jambo moyoni daima dumu.
Mbeba mikoba wa Mbowe ulibeba maboksi mangapi ya pesa kwenye asali
 
Wajumbe wafanye wafanyavyo wanachadema wanamtaka tundu lissu, wakikosea watakuwa wamekizika chama rasmi.
Wajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.
Sio wageni kwenye siasa za Chadema.
Wengi wao wanaenda kufanya kazi mmoja tu kuonyesha utiifu kwa kamanda wao mkuu.
Sio watu wa kubadirisha msimamo.Its business as usual.Kinara anajulikana bila hata kupiga ramli za mitandao.Mitano mingine.
 
Wajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.
Sio wageni kwenye siasa za Chadema.
Wengi wao wanaenda kufanya kazi mmoja tu kuonyesha utiifu kwa kamanda wao mkuu.
Sio watu wa kubadirisha msimamo.Its business as usual.Kinara anajulikana bila hata kupiga ramli za mitandao.Mitano mingine.
Sidhani kama ni kweli kwa sababu naona wajumbe wamegawanyika wapo wanaounga mkono upande huu na wapo wanaounga mkono upande wa pili.

Cha msingi wagombea wajikite kumwaga sera ili kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu
 
Mb
Wajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.
Sio wageni kwenye siasa za Chadema.
Wengi wao wanaenda kufanya kazi mmoja tu kuonyesha utiifu kwa kamanda wao mkuu.
Sio watu wa kubadirisha msimamo.Its business as usual.Kinara anajulikana bila hata kupiga ramli za mitandao.Mitano mingine.
owe haitajiki kwa sasa huku majimboni hatupati hiyo ruzuku shughuli zote za chama sisi viongozi tunapitisha michango kwa wanachama.Mbowe atapata kura za kina boni yai na genge lake ila hatoboi
 
Sidhani kama ni kweli kwa sababu naona wajumbe wamegawanyika wapo wanaounga mkono upande huu na wapo wanaounga mkono upande wa pili.

Cha msingi wagombea wajikite kumwaga sera ili kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu
Mbowe anaungwa mkono na matapeli wachache wakina boni yai,sisi viongozi huku majimboni tunajitambua.
 
Mb

owe haitajiki kwa sasa huku majimboni hatupati hiyo ruzuku shughuli zote za chama sisi viongozi tunapitisha michango kwa wanachama.Mbowe atapata kura za kina boni yai na genge lake ila hatoboi
Chama chako kinapata Ruzuku miasi gani?
 
Ilikuwa kama utani na ilianza tetesi kwamba Tundu Lissu ameamua kupambana na Mwenyekiti wake ili kumpata kiongozi mpya atakayekiongoza chama hicho kwa miaka mitano ijayo

Sasa ni rasmi mafahali hawa wawili wameingia ulingoni ili kuamua ugomvi wao kupitia sanduku la kura.

Freeman Mbowe amekiongoza chama hicho kwa mafanikio makubwa mpaka zasa kiasi kwamba hata washindani wake wanakosa hoja ya msingi sana ya kushindana naye badala yake zimebaki tu propaganda za hapa na pale.

Freeman Mbowe mwanasiasa mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa mpaka sasa anaungwa mkono na wenyeviti 9 wa Kanda kati ya 10 waliopo huku pia akiungwa mkono na wenyeviti wa mikoa 24 kati ya 30 iliyopo

Freeman Mbowe amekuwa mwanasiasa na kiongozi mtulivu zaidi, anayesikiliza, anayeshaurika na ambaye hana maneno mengi sana bali vitendo kwa wingi.

Freeman Mbowe ni kiongozi anayesimamia na kuliamini jambo lililopitishwa na vikao hata kama baadhi ya watu watalipinga na mfano mzuri ni maridhiano kati ya chama chake na serikali ya CCM.

Tundu Lissu msanaharakati na mtetezi wa haki za binadamu kwa muda mrefu ametangaza kugombea uenyekiti Chadema miezi mitatu tu tangu kutangaza kugombea Makamo Mwenyekiti wa chama hicho.Hajaweka wazi kwanini ghafla amebadili uamuzi wake

Tundu Lissu mwanasheria aliyebobea ni kiongozi ambaye ana misimamo mikali na ambaye haamini katika maridhiano.

Baadhi ya wapinzani wa Tundu Lissu wanamuona kama ni mtu anayeungwa mkono zaidi na makundi yaliyo nje ya Chadema hasa wanaharakati na watanzania waishio nje ya nchi.

Kingine ambacho wapinzani wa Tundu Lissu wanamwandama nacho ni tabia yake ya kupenda sana kuzungumza sana na vyombo vya habari hasa mitandao ya kijamii kama vile Club House, Spaces, Digital channels nk ambapo imedaiwa amekuwa akizungumza wakati mwingine mambo ya ndani ya chama.

Yote kwa yote msema kweli ni tarehe 21/1/2025 ambapo Mkutano Mkuu utachagua Mwenyekiti mpya kati ya miamba hii miwili ya siasa za Chadema na Tanzania kwa ujumla.

Sisi wa Molemo Media Tutawabarisha mambo mbalimbali kuhusu wagombea hawa kuelekea Januari 21 inayosubiriwa kwa hamu na Watanzania kwa ujumla.
Sugu mbona simuoni akikomenti ili tujue mlengwa wake.
 
Chama chako kinapata Ruzuku miasi gani?
Hata kama ni kidogo wakati wa Dr Slaa ilikuwa inafika hata kama ni kwa udogo na ikaweza kutusaidia siyo siku hizi huyu tapeli na genge lake wamejiwekea hadi hardship allowance alafu huku majimboni tunaambiwa komaeni kamanda
 
Hata kama ni kidogo wakati wa Dr Slaa ilikuwa inafika hata kama ni kwa udogo na ikaweza kutusaidia siyo siku hizi huyu tapeli na genge lake wamejiwekea hadi hardship allowance alafu huku majimboni tunaambiwa komaeni kamanda
Dr Slaa amewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema?
 
Back
Top Bottom