kibokoyawalambamoka
Member
- Dec 28, 2024
- 43
- 16
Demokrasia gani Mbowe tapeliAsante sana, Demokrasia siku zote ina pande mbili.Pale mawazo ya kidemokrasia yanapoishia ndiyo ya mwingine yanapoanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demokrasia gani Mbowe tapeliAsante sana, Demokrasia siku zote ina pande mbili.Pale mawazo ya kidemokrasia yanapoishia ndiyo ya mwingine yanapoanzia
Kaka yangu Pazcal MayallaMkuu Manya,@manyanza, asante sana,hilo jamaa ni moja viongozi wakubwa tuu pale kwao,lakini ni lijitu lijinga ajabu!,stalisahau, limenichafulia CV yangu ya jf nikapigwa ban yangu ya kwanza na ya mwisho humu jf,kuna mtu analijua,akalitaja humu kuwa hili jamaa ni nani pale ufipa, akalutaja jina na cheo chake, mimi nika reply hiyo post,kwa kusema siamini ofisa mkubwa hivyo anaweza kuposti utumbo humu,lijamaa likaniripoti kwa mode kuwa ni mimi ndio nimelitaja jina lake na cheo chake hivyo kufanya kosa la name calling, nikala ban!。Nilikasirika ssna na siku hiyo ndio ingekuwa mwisho wangu jf,nikamwambia mode aliyemtaja jina sio mimi, mimi nime reply tuu, ndipo nikafunguliwa。
P
Mbeba mikoba wa Mbowe ulibeba maboksi mangapi ya pesa kwenye asaliKaka yangu Pazcal Mayalla
Nimeshtuka sana kwa huu ujumbe wako maana nilikuwa wala sikumbuki tena hayo mambo.Nimesikitika kwamba kwa karibu miaka 10 umebeba hiyo chuki moyoni mwako
Nadhani wewe ni muumini wa Imani yoyote, maandiko yanasema usilibebe jambo likakukasirisha kutwa nzima, sasa mwenzangu hata ingelikuwa umesingiziwa unabeba chuki moyoni miaka kumi? Utaugua bure ndugu yangu kwa hasira iliyokujaa kifuani.
Umesema unanijia kwa cheo na jina pale Ufipa, sasa kama ni hivyo hata nikikutana na wewe mahali si itabidi nikukimbie? Maana kwa chuki uliyoonyesha hapa lazima utanidhuru.
Nakushauri achana na chuki, hasira na kushika jambo moyoni daima dumu.
Wapiga kura naamini hawaangalii matusi, bali seraDemokrasia gani Mbowe tapeli
Mbowe hana sera amelamba asali ya delila,hawezi kutuvushaWapiga kura naamini hawaangalii matusi, bali sera
Wajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.Wajumbe wafanye wafanyavyo wanachadema wanamtaka tundu lissu, wakikosea watakuwa wamekizika chama rasmi.
Sidhani kama ni kweli kwa sababu naona wajumbe wamegawanyika wapo wanaounga mkono upande huu na wapo wanaounga mkono upande wa pili.Wajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.
Sio wageni kwenye siasa za Chadema.
Wengi wao wanaenda kufanya kazi mmoja tu kuonyesha utiifu kwa kamanda wao mkuu.
Sio watu wa kubadirisha msimamo.Its business as usual.Kinara anajulikana bila hata kupiga ramli za mitandao.Mitano mingine.
Maneno ya porojo kama haya hayawezi kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuuMbowe hana sera amelamba asali ya delila,hawezi kutuvusha
owe haitajiki kwa sasa huku majimboni hatupati hiyo ruzuku shughuli zote za chama sisi viongozi tunapitisha michango kwa wanachama.Mbowe atapata kura za kina boni yai na genge lake ila hatoboiWajumbe 1200 ndio wapiga kura tu.
Sio wageni kwenye siasa za Chadema.
Wengi wao wanaenda kufanya kazi mmoja tu kuonyesha utiifu kwa kamanda wao mkuu.
Sio watu wa kubadirisha msimamo.Its business as usual.Kinara anajulikana bila hata kupiga ramli za mitandao.Mitano mingine.
Mbowe anaungwa mkono na matapeli wachache wakina boni yai,sisi viongozi huku majimboni tunajitambua.Sidhani kama ni kweli kwa sababu naona wajumbe wamegawanyika wapo wanaounga mkono upande huu na wapo wanaounga mkono upande wa pili.
Cha msingi wagombea wajikite kumwaga sera ili kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu
Chama chako kinapata Ruzuku miasi gani?Mb
owe haitajiki kwa sasa huku majimboni hatupati hiyo ruzuku shughuli zote za chama sisi viongozi tunapitisha michango kwa wanachama.Mbowe atapata kura za kina boni yai na genge lake ila hatoboi
Maneno ya porojo kama haya hayawezi kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu
Sisi wajumbe tunajitambua hatutaki kuongozwa na dalaliManeno ya porojo kama haya hayawezi kubadili maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu
Sugu mbona simuoni akikomenti ili tujue mlengwa wake.Ilikuwa kama utani na ilianza tetesi kwamba Tundu Lissu ameamua kupambana na Mwenyekiti wake ili kumpata kiongozi mpya atakayekiongoza chama hicho kwa miaka mitano ijayo
Sasa ni rasmi mafahali hawa wawili wameingia ulingoni ili kuamua ugomvi wao kupitia sanduku la kura.
Freeman Mbowe amekiongoza chama hicho kwa mafanikio makubwa mpaka zasa kiasi kwamba hata washindani wake wanakosa hoja ya msingi sana ya kushindana naye badala yake zimebaki tu propaganda za hapa na pale.
Freeman Mbowe mwanasiasa mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa mpaka sasa anaungwa mkono na wenyeviti 9 wa Kanda kati ya 10 waliopo huku pia akiungwa mkono na wenyeviti wa mikoa 24 kati ya 30 iliyopo
Freeman Mbowe amekuwa mwanasiasa na kiongozi mtulivu zaidi, anayesikiliza, anayeshaurika na ambaye hana maneno mengi sana bali vitendo kwa wingi.
Freeman Mbowe ni kiongozi anayesimamia na kuliamini jambo lililopitishwa na vikao hata kama baadhi ya watu watalipinga na mfano mzuri ni maridhiano kati ya chama chake na serikali ya CCM.
Tundu Lissu msanaharakati na mtetezi wa haki za binadamu kwa muda mrefu ametangaza kugombea uenyekiti Chadema miezi mitatu tu tangu kutangaza kugombea Makamo Mwenyekiti wa chama hicho.Hajaweka wazi kwanini ghafla amebadili uamuzi wake
Tundu Lissu mwanasheria aliyebobea ni kiongozi ambaye ana misimamo mikali na ambaye haamini katika maridhiano.
Baadhi ya wapinzani wa Tundu Lissu wanamuona kama ni mtu anayeungwa mkono zaidi na makundi yaliyo nje ya Chadema hasa wanaharakati na watanzania waishio nje ya nchi.
Kingine ambacho wapinzani wa Tundu Lissu wanamwandama nacho ni tabia yake ya kupenda sana kuzungumza sana na vyombo vya habari hasa mitandao ya kijamii kama vile Club House, Spaces, Digital channels nk ambapo imedaiwa amekuwa akizungumza wakati mwingine mambo ya ndani ya chama.
Yote kwa yote msema kweli ni tarehe 21/1/2025 ambapo Mkutano Mkuu utachagua Mwenyekiti mpya kati ya miamba hii miwili ya siasa za Chadema na Tanzania kwa ujumla.
Sisi wa Molemo Media Tutawabarisha mambo mbalimbali kuhusu wagombea hawa kuelekea Januari 21 inayosubiriwa kwa hamu na Watanzania kwa ujumla.
Kwanini sasa usipige kampeni kubwa ili unayemtaka ashinde kwa kura nyingi kuliko kukesha kutukana?Mbowe anaungwa mkono na matapeli wachache wakina boni yai,sisi viongozi huku majimboni tunajitambua.
Hata kama ni kidogo wakati wa Dr Slaa ilikuwa inafika hata kama ni kwa udogo na ikaweza kutusaidia siyo siku hizi huyu tapeli na genge lake wamejiwekea hadi hardship allowance alafu huku majimboni tunaambiwa komaeni kamandaChama chako kinapata Ruzuku miasi gani?
Sugu ni kiongozi mstaarabu asiye na paparaSugu mbona simuoni akikomenti ili tujue mlengwa wake.
Mbowe ni tapeliKwanini sasa usipige kampeni kubwa ili unayemtaka ashinde kwa kura nyingi kuliko kukesha kutukana?
Dr Slaa amewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema?Hata kama ni kidogo wakati wa Dr Slaa ilikuwa inafika hata kama ni kwa udogo na ikaweza kutusaidia siyo siku hizi huyu tapeli na genge lake wamejiwekea hadi hardship allowance alafu huku majimboni tunaambiwa komaeni kamanda
Sugu ni mnufaika wa asali kama alivyo Mbowe na WenjeSugu ni kiongozi mstaarabu asiye na papara