- Thread starter
- #81
Kwa utafiti wangu siyo kweli ila ni propaganda tu za uchaguziwanasema kwamba kuna fedha za michango zinaingia kwenye account za mtu binafsi, hii ni kweli au ni matango? kama ni kweli ndip ubadhirifu wa mambo yenyewe. Molemo wewe uko humo CDM muda mrefu, je haya yasemwayo ni kweli ? Ni kweli kwamba michango ya fedha huenda kwenye a/c ya mtu binafsi?
Kama kuna mwenye ushahidi wa kweli auweke hadharani na kutaja jina la huyo kiongozi ambaye michango inaingia kwa sababu kwenye hizi simu miamala ya kifedha siyo
Uko desparate sana ndugu, nakushauri tu tafuta kura kwa mgombea unayemtaka, usitukane mpinzani wako wala asiyeunga mkono mgombea wakoAnaaminika na nani? unaona jinsi ambavyo reasoning yako ilivyo? Mimi kumwamini Lissu ni upuuzi ila wewe kumwamini Mnyika ni sahihi sio?
Hamna media hapa nisamehe kusema ni uchafu tu
Kushutumu na kutoa propaganda za uongo utafiti umeonyesha hausaidii sana wagombea kupata kura
Kura ni ushawishi lakini wa ukweli.Matusi , shutuma na kujimilikisha ukweli siyo sababu ya kupata kura.Kila mtu ana mtazamo tofauti.Na kuwa na mtazamo tofauti siyo ugomvi kwa mwanademokrasia bali kwa madikteta waliokubuhu