Mpanda: Aliyeporwa udiwani amwaga machozi mbele ya Mbowe

Mpanda: Aliyeporwa udiwani amwaga machozi mbele ya Mbowe

Badili Heading la sivyo tutatofasri amelilia kuwa diwani, jambo ambalo lina maswali mengi sana.
Ionekane tu analia kwa dhuluma zilifanyika na uporaji wa mali.
Nitakuwa wa mwisho kuamini. Siiamini ccm na upinzani uliopo, waliungana na ccm kupora pesa za escrow kwa kumfanya mhusika toka ccm kuwa safi na awe rais wetu
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini



Source: Mwananchi Digital
Ndiyo lile jizi la kura la kihutu linateseka huko kuzimu. Ushenzi aliofanya hata shetani mwenyewe anashangaa
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini



Source: Mwananchi Digital

Mkuu 'zitto jr', huu ni mwandiko wako kweli?

Pamoja na kuweka hiyo "sosi" ya taarifa yenyewe, lakini kiuhalisia huu mwandiko siyo ule uliozoeleka. Labda tuseme ulikuwa na haraka na jambo fulani lililokuwa akilini mwako.

Sote tunajua uenda wazimu aliokuwa nao Magufuli; lakini taarifa hii hapa ni kama umemuunganisha tu nayo; au pengine kuna taarifa ambazo hukuziweka humu zinazoonyesha kwamba alitoa maagizo hayo yatekelezwe kuhusu hawa waTanzania waliokandamizwa?

Ni lazima sasa tuwe wakweli, haya mambo hakuyafanya yote Magufuli, pamoja na kwamba yeye ndiye aliyekuwa kinara. Leo hii tunao 'disciples' wake ambao sasa ni kama tunawapa heshima ya kiumalaika.
 
Wakati wa utawala wa awamu ya 5, viongozi wote walikuwa wanashindana kwa ukatili, walikuwa wanashindana katika kudhulumu haki za watu. Na mtu ili apande cheo au kupata uteuzi alitakiwa ajioneshe ni katili na mdhulumaji kwa kuwango cha juu dhidi ya watu wa vyama vya upinzani. Kilikuwa ni kipindi cha giza nene
Asante sana kwa hii mistari michache.
Kwa upande wangu, wote walioshiriki kwa njia yoyote katika kuwakandamiza waTanzania wenzao kwa sababu yoyote ile; hata iwe ni ya kumfurahisha mkubwa wao, hawa wote siyo viongozi ninaowapa heshima hata kidogo; hata kama sasa hivi wanajinyesha kuwa na sura tofauti na ile ya wakati ule.
 
Utawala wa awamu ya 5 umepita. Cha kujiuliza ni je, tunafanya nini sasa ili kuziba kabisa mianya ya kuruhusu wasiofaa kuwa viongozi hawapati nafasi.
Njia pekee ni kuwaruhusu waTanzania watumie haki yao ya kumchagua yeyote wanayeona anafaa kwa maslahi yao; hata kama wakichagua kichaa mwingine, mradi wawe na uhuru wa kufanya hivyo, na ufahamu wa hatma ya nchi yao na wao wenyewe.
 
Bado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?

Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini



Source: Mwananchi Digital

Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.

JPM, Wabunge na Madiwani wote walikuwa wagombea, inakuwaje umshambulie JPM na kumuacha Mkutugenzi wa Uchaguzi?

Baada ya Prof wa Malawi, sasa ni Yoweri Mseveni na kesho tunasubiri mwingine wa Kimataifa
 
Badili Heading la sivyo tutatofasri amelilia kuwa diwani, jambo ambalo lina maswali mengi sana.
Ionekane tu analia kwa dhuluma zilifanyika na uporaji wa mali.
Nitakuwa wa mwisho kuamini. Siiamini ccm na upinzani uliopo, waliungana na ccm kupora pesa za escrow kwa kumfanya mhusika toka ccm kuwa safi na awe rais wetu
Hakika
 
Bado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?

Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
Huyo ndiye aliyeshinda. Wengine wote walipigwa kihalali
 
Sinema hizi za Kitapeli


Udiwani ni wa kumaaga machozi[emoji1787]
Wewe ndiyo huelewi kabisa. Soma tena mada, labda utaelewa.

Hapa siyo suala la udiwani, ujumbe au ubunge, bali ni suala la dhuluma. Mtu anadhulumiwa haki yake ya kuchaguliwa, halafu anadhulumiwa mashamba yake, anawekwa jela, kwa sababu tu aligombea udiwani au alijulikana kuwa anamwunga mkono mgombea aliyechaguliwa na wananchi.

Mtawala kama huyo ina maana hata angewafahamu waliompa kura mgombea ambaye yeye hakumtaka angeweza kuwatesa kama alivyowafanyia wale alioweza kuwatambua.

Mungu atusaidie, alisaidie Taifa la Tanzania, tusipate tena utawala dhulumati wa kiwango hicho tena.
 
Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.

Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.

Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!

Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.

Video hapa chini



Source: Mwananchi Digital

The departed was a real Beast, let him get barbecued in eternal fire.
 
Bado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?

Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
Aida hakushinda, hata yeye anajua Hilo maana mawakala wake walitolewa nje maeneo mengi. Ila kwa kuwa alitangazwa mwishoni mwishoni ikabidi waachilie hata Jimbo Moja Ili hata mtu akisema ameibiwa watamuuliza " Mbona Aida kashinda". Hata kule Mtwara, Jimbo la Hawa Ghasia alizawadiwa mama wa CUF Ili kubalance kuwa hakukuwa na wizi.
 
Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.

Baada ya Prof wa Malawi, sasa ni Yoweri Mseveni na kesho tunasubiri mwingine wa Kimataifa
Afrika Kila mtu akifariki anageuka mzuri, hata Nkuruzinza anasifiwa Kila siku ilihali alikua zero tu.
 
Back
Top Bottom