Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Badili Heading la sivyo tutatofasri amelilia kuwa diwani, jambo ambalo lina maswali mengi sana.
Ionekane tu analia kwa dhuluma zilifanyika na uporaji wa mali.
Nitakuwa wa mwisho kuamini. Siiamini ccm na upinzani uliopo, waliungana na ccm kupora pesa za escrow kwa kumfanya mhusika toka ccm kuwa safi na awe rais wetu
Ionekane tu analia kwa dhuluma zilifanyika na uporaji wa mali.
Nitakuwa wa mwisho kuamini. Siiamini ccm na upinzani uliopo, waliungana na ccm kupora pesa za escrow kwa kumfanya mhusika toka ccm kuwa safi na awe rais wetu