Mimi hayo siyaamini, kwa hiyo usinihusishe nayo."Kazi zote ni za Rais, sisi tunamsadia tu..." Spika Tulia.
Unatambua vizuri madaraka ya Rais kwa Katiba ya sasa ni ya kifalme, ya "kimungu".
Rais ni kila kitu. Husikii hata fedha za umma au miradi ya umma husemwa ni ya Rais?
Kwa hiyo hakuna jambo lolote ovu au baya ambalo hayati Magufuli hakuhusika nalo (iwe directly au indirectly).
Ninazo akili timamu na siku zote sitaazima akili toka kwa binaadam mwingine yeyote.
Sasa ukiniuliza nitafanya nini na hizi akili zangu, moja ni kuwa sitakubaliana nawe, na kama unanilazimisha nikubaliane nawe, nitakataa kwa njia yoyote itakayoniwezesha kukataa.
That's my bottom line.