Mpanda: Aliyeporwa udiwani amwaga machozi mbele ya Mbowe

Mpanda: Aliyeporwa udiwani amwaga machozi mbele ya Mbowe

JPM, Wabunge na Madiwani wote walikuwa wagombea, inakuwaje umshambulie JPM na kumuacha Mkutugenzi wa Uchaguzi?
Hakuna mkurugenzi anaweza fanya hayo bila Baraka kutoka juu kwamba awatese wapinzani. Hivi kwa Mama Samia umeona kiongozi yoyote anatumia style ya ziara ya kushtukiza alafu anatumbua tumbua tu?

Hakuna, why? Sababu wanaona aliyepo kwenye kiti Hana hizo tabia so na wao wanaogopa kuwa "wakali wakali".

So hao wakurugenzi utawaonea tu ila wanafanya kazi kwa order za Rais. JPM ndio anabeba lawama za uchaguzi ule, hakukua na haja ya kupora wakati angeweza kuiba za kwake za Urais akaachia wananchi waamue wabunge wake.
 
Uongozi ni mzigo, unasaidiwa kubebewa mzigo unalia machozi, kweli? Au aliwekeza kwa ajili maisha yake binafsi kwenye kutafuta udiwani?
Hapana analia sababu ya madhila aliyopata baada ya uchaguzi. Yaani kawekwa ndani, campaign manager kaporwa kiwanja, diwani mwenzake kafungwa miaka 4 alafu unategemea asiumie.
 
Bado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?

Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
Kumbe hufahamu kilichotokea?

Wakati majimbo yote ya uchaguzi wanakaribia kumaliza kuwatangaza waliowateya kuwa wabunge, Kabudi alienda kumweleza JPM kuwa Serikali itakosa pesa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola kila mwaka, ya kusaidia bajeti ya Serikali kwa sababu sharti la ile pesa ni lazima uwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni, na kamati 2 za Bunge, LAC, PAC ziongozwe na wapinzani. Na kwamba ili kuwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ni lazima chama cha upinzani kinachounda kambi rasmi ya upinzani kiwe kimefikisha asilimia 14 ya wabunge, asilimia ambayo haiwezi kufikiwa na wabunge pekee wa viti maalum ambao CHADEMA ingepata.

JPM akaamrisha kuwa majimbo yote yaliyobakia wapewe CHADEMA. Bahati mbaya mpaka muda huo lilikuwa limebakia jimbo moja tu la huyo dada, akatangazwa mbunge. JPM akatoa maelekezo kuwa kwa vile lazima CHADEMA wataenda mahakamani, mahakama itengue matokeo ya uchaguzi kwenye baadhi ya majimbo ili 14% ipatikane. Bahati mbaya kwake, hakuna mgombea wa CHADEMA aliyeenda mahakamani kupinga matokeo kama alivyotarajia. Baada ya hapo ndipo zile mbinu za kuwapeleka bungeni akina Mdee zikaanza. Kilichotarajiwa ni baadhi ya walioteuliwa ubunge kulazimishwa kujiuzulu baada ya kupewa nafasi kwenye Serikali, hasa ubalozi ili uchaguzi urudiwe kwenye majimbo watakayoyaacha, wapinzani wapitishwe, hata kama watakuwa ni wapinzani bandia, ilimradi tu 14% ipatikane.

Lilifanikiwa moja tu la akina Mdee, mengine hayakufikiwa kwa kuwa siku zake za kuishi Duniani, kwa hesabu ya Muumbaji wetu, zilikuwa zimekwisha. Pesa ya bure ya Jumuiya ya Madola tukaikosa mpaka leo. Tukawa tumekosa pesa ya msaada ya Jumuiya ya Madola na ya MCC. Ndiyo maana kwa sasa hakuna namna, ni lazima tukope kwa bidii kuziba mapengo.
 
Mkuu 'zitto jr', huu ni mwandiko wako kweli?

Pamoja na kuweka hiyo "sosi" ya taarifa yenyewe, lakini kiuhalisia huu mwandiko siyo ule uliozoeleka. Labda tuseme ulikuwa na haraka na jambo fulani lililokuwa akilini mwako.

Sote tunajua uenda wazimu aliokuwa nao Magufuli; lakini taarifa hii hapa ni kama umemuunganisha tu nayo; au pengine kuna taarifa ambazo hukuziweka humu zinazoonyesha kwamba alitoa maagizo hayo yatekelezwe kuhusu hawa waTanzania waliokandamizwa?

Ni lazima sasa tuwe wakweli, haya mambo hakuyafanya yote Magufuli, pamoja na kwamba yeye ndiye aliyekuwa kinara. Leo hii tunao 'disciples' wake ambao sasa ni kama tunawapa heshima ya kiumalaika.
Mkuu nimeshaeleza kwamba subordinates wanafanya kazi kulingana na attitude ya kiongozi aliyepo juu. Mfano JPM alipokua anafoka foka basi na DC, DAS n.k walikua nao wanafoka foka na kutumbua wanavyojisikia.

So JPM anaweza asihusike Moja kwa Moja ila kitendo Cha yeye kuweka attitude ya kutotaka wapinzani hapo lazima wakurugenzi waibe na wapore uchaguzi.

Mfano Akiwa kule Busega na Bunda aliwatishia kuwa wasipomchagua au wakimpa wabunge na madiwani wa upinzani basi wasije kulilia Barabara na Mradi wa Maji!! Sasa kwa attitude hiyo na msimamo Kuna mkurugenzi atakubali akose pesa za miradi kisa upinzani?

Mama Samia kaonyesha kuwa anapenda demokrasia na upinzani ndio maana hata Polisi husikii wanakamata magazeti, wanaharakati, wachochezi n.k. Polisi ni wale wale, mahakama ni zile zile ila wote Wanafuata attitude ya Rais anayekuepo madarakani.
 
Kumbe hufahamu kilichotokea?

Wakati majimbo yote ya uchaguzi wanakaribia kumaliza kuwatangaza waliowateya kuwa wabunge, Kabudi alienda kumweleza JPM kuwa Serikali itakosa pesa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola kila mwaka, ya kusaidia bajeti ya Serikali kwa sababu sharti la ile pesa ni lazima uwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni, na kamati 2 za Bunge, LAC, PAC ziongozwe na wapinzani. Na kwamba ili kuwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ni lazima chama cha upinzani kinachounda kambi rasmi ya upinzani kiwe kimefikisha asilimia 14 ya wabunge, asilimia ambayo haiwezi kufikiwa na wabunge pekee wa viti maalum ambao CHADEMA ingepata.

JPM akaamrisha kuwa majimbo yote yaliyobakia wapewe CHADEMA. Bahati mbaya mpaka muda huo lilikuwa limebakia jimbo moja tu la huyo dada, akatangazwa mbunge. JPM akatoa maelekezo kuwa kwa vile lazima CHADEMA wataenda mahakamani, mahakama itengue matokeo ya uchaguzi kwenye baadhi ya majimbo ili 14% ipatikane. Bahati mbaya kwake, hakuna mgombea wa CHADEMA aliyeenda mahakamani kupinga matokeo kama alivyotarajia. Baada ya hapo ndipo zile mbinu za kuwapeleka bungeni akina Mdee zikaanza. Kilichotarajiwa ni baadhi ya walioteuliwa ubunge kulazimishwa kujiuzulu baada ya kupewa nafasi kwenye Serikali, hasa ubalozi ili uchaguzi urudiwe kwenye majimbo watakayoyaacha, wapinzani wapitishwe, hata kama watakuwa ni wapinzani bandia, ilimradi tu 14% ipatikane.

Lilifanikiwa moja tu la akina Mdee, mengine hayakufikiwa kwa kuwa siku zake za kuishi Duniani, kwa hesabu ya Muumbaji wetu, zilikuwa zimekwisha. Pesa ya bure ya Jumuiya ya Madola tukaikosa mpaka leo. Tukawa tumekosa pesa ya msaada ya Jumuiya ya Madola na ya MCC. Ndiyo maana kwa sasa hakuna namna, ni lazima tukope kwa bidii kuziba mapengo.
Aisee walifanya miscalculation kubwa sana, imagine Chadema ilikua na kura zaidi ya million 3 za wagombea ubunge ila eti wameshinda Jimbo Moja!! Kuna vitu vilikua vya ajabu sana ila 2020 ilivuka mipaka ndio maana wakaona enough is enough!!!
 
chachema ni wanafiki sana kazi yao ni kupanda mbegu za ukuda hii 255 ni ushuzi
 
Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.

JPM, Wabunge na Madiwani wote walikuwa wagombea, inakuwaje umshambulie JPM na kumuacha Mkutugenzi wa Uchaguzi?

Baada ya Prof wa Malawi, sasa ni Yoweri Mseveni na kesho tunasubiri mwingine wa Kimataifa
Hakuna mtu anayeweza kupinga ujasiri wa Magufuli. Hata Lisu aliwahi kulitamka hilo.

Fikiria mtu anakata na kufuta 75% ya majina ya wagombea wa ubunge wa chama chake waliopitishwa na wajumbe, na kuwapacika watu wake aliowataka!! Mtu ambaye anatoa amri kuwa wakurugenzi wa Halmashauri wasiwatangaze wapinzani kuwa wabunge hata kama watakuwa wamechaguliwa na wananchi, na anafanya hayo yote bila ya hofu ya wanachama wa chama chake, bila hofu ya mamilioni ya watanzania wapiga kura, unadhani huo ni ujasiri wa kiwango gani?

Ujasiri ule wa Magufuli, tena katika kutenda uovu, siyo rahisi mtu wa kawaida kuwa nao. Kwenye ujasiri, Magufuli angepata 100% kwa sababu tu hakuna asilimia nyingine zaidi ya hiyo. Tatizo lake kubwa, ujasiri wake kwa sehemu kubwa ulikuwa kwenye mambo mabaya. Ujasiri wake ungekuwa kwenye mambo mazuri pekee, ungekuwa na faida kubwa.
 
Aida hakushinda, hata yeye anajua Hilo maana mawakala wake walitolewa nje maeneo mengi. Ila kwa kuwa alitangazwa mwishoni mwishoni ikabidi waachilie hata Jimbo Moja Ili hata mtu akisema ameibiwa watamuuliza " Mbona Aida kashinda". Hata kule Mtwara, Jimbo la Hawa Ghasia alizawadiwa mama wa CUF Ili kubalance kuwa hakukuwa na wizi.
Kwamba ina maana walikurupuka kufanya jambo bila kufahamu madhara yake?

Dah!.
 
Kumbe hufahamu kilichotokea?

Wakati majimbo yote ya uchaguzi wanakaribia kumaliza kuwatangaza waliowateya kuwa wabunge, Kabudi alienda kumweleza JPM kuwa Serikali itakosa pesa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola kila mwaka, ya kusaidia bajeti ya Serikali kwa sababu sharti la ile pesa ni lazima uwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni, na kamati 2 za Bunge, LAC, PAC ziongozwe na wapinzani. Na kwamba ili kuwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ni lazima chama cha upinzani kinachounda kambi rasmi ya upinzani kiwe kimefikisha asilimia 14 ya wabunge, asilimia ambayo haiwezi kufikiwa na wabunge pekee wa viti maalum ambao CHADEMA ingepata.

JPM akaamrisha kuwa majimbo yote yaliyobakia wapewe CHADEMA. Bahati mbaya mpaka muda huo lilikuwa limebakia jimbo moja tu la huyo dada, akatangazwa mbunge. JPM akatoa maelekezo kuwa kwa vile lazima CHADEMA wataenda mahakamani, mahakama itengue matokeo ya uchaguzi kwenye baadhi ya majimbo ili 14% ipatikane. Bahati mbaya kwake, hakuna mgombea wa CHADEMA aliyeenda mahakamani kupinga matokeo kama alivyotarajia. Baada ya hapo ndipo zile mbinu za kuwapeleka bungeni akina Mdee zikaanza. Kilichotarajiwa ni baadhi ya walioteuliwa ubunge kulazimishwa kujiuzulu baada ya kupewa nafasi kwenye Serikali, hasa ubalozi ili uchaguzi urudiwe kwenye majimbo watakayoyaacha, wapinzani wapitishwe, hata kama watakuwa ni wapinzani bandia, ilimradi tu 14% ipatikane.

Lilifanikiwa moja tu la akina Mdee, mengine hayakufikiwa kwa kuwa siku zake za kuishi Duniani, kwa hesabu ya Muumbaji wetu, zilikuwa zimekwisha. Pesa ya bure ya Jumuiya ya Madola tukaikosa mpaka leo. Tukawa tumekosa pesa ya msaada ya Jumuiya ya Madola na ya MCC. Ndiyo maana kwa sasa hakuna namna, ni lazima tukope kwa bidii kuziba mapengo.
Kumbe ndio maana kuna baadhi ya wabunge Chadema wanapinga uwepo wa Aida bungeni, wanamuona nae ni sehemu ya ile mipango ovu ya wakati ule.

Lakini bado inawezekana huyu dada alishinda kihalali, binafsi ningependa kuifahamu nguvu ya uungwaji mkono aliyokuwa nayo wakati wa kampeni, nione kama itashabihiana na ushindi wake.

Wakati mwingine naona kusema hakushinda kihalali ni kama ku underestimate nguvu ya Chadema, hasa maeneo ya mijini ambako inafahamika vyema, hivyo ajali iliyotokea ikamfanya atangazwe mshindi tofauti na wenzie walioshinda kihalali lakini wakaporwa ushindi wao, isionekane kosa lake Aida.
 
Kwamba ina maana walikurupuka kufanya jambo bila kufahamu madhara yake?

Dah!.
Yeah hawakumshauri vizuri, Sasa wamegundua madhara yake ikiwa too late ikabidi tu waokoteze. Kule zenji Kuna mbunge wa CCM alijiuzulu alafu uchaguzi ukafanyika akashinda ACT!! yote hiyo ilikua ni kujaziliza jaziliza Ili namba zibalance kwa wafadhili.
 
Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.

JPM, Wabunge na Madiwani wote walikuwa wagombea, inakuwaje umshambulie JPM na kumuacha Mkutugenzi wa Uchaguzi?

Baada ya Prof wa Malawi, sasa ni Yoweri Mseveni na kesho tunasubiri mwingine wa Kimataifa
Museveni kumsifia Dikteta mwenzake kuna ajabu gani ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hakuna aliye salama, nadhani hata wewe unaona figisu alizofanyiwa Gwajima na Ndugai kwa kukosoa same to Mpina aliyevuliwa vyeo vyake kwenye chama.

Tuungane tudai katiba mpya Ili awe CCM awe Chadema au asiye na chama basi sheria iweze kumpa fair judgement where due.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hao wamefanyiwa hivyo na ccm ipi wakati Magufuli hayupo?
 
Matukip hayo ndiyo yalimfanya marehemu kuonekana kuwa kiongozi katili kuliko mwingine yeyote aliyetangulia kabla yake na huenda hata wote watakaofuata.

Wakati wa utawala wa awamu ya 5, viongozi wote walikuwa wanashindana kwa ukatili, walikuwa wanashindana katika kudhulumu haki za watu. Na mtu ili apande cheo au kupata uteuzi alitakiwa ajioneshe ni katili na mdhulumaji kwa kuwango cha juu dhidi ya watu wa vyama vya upinzani. Kilikuwa ni kipindi cha giza nene.

Nilisikitika kuona JPM ameaga Dunia ghafla lakini sikupenda hata kidogo aendelee kuwa Rais maana alikuwa anawaangamiza watu, na alikuwa analiangamiza Taifa. Ulikuwa ni utawala wa hadaa nyingi. Mara walijifanya wanawajali na kuwapenda raia lakini hao hao raia wakiwafanyia kila aina ya dhuluma.

Utawala wa awamu ya 5 umepita. Cha kujiuliza ni je, tunafanya nini sasa ili kuziba kabisa mianya ya kuruhusu wasiofaa kuwa viongozi hawapati nafasi.
Katili kuliko yule alierusha bomu na kuua watu watano pale soweto arusha kwenye mkutano wa machadema?
 
kwa hiyo analia kwa kuwa alikosa mshahara na posho za udiwani. Ajiajili tu kwenye kilimo mbona huko ardhi nzuri.
 
Kumbe hufahamu kilichotokea?

Wakati majimbo yote ya uchaguzi wanakaribia kumaliza kuwatangaza waliowateya kuwa wabunge, Kabudi alienda kumweleza JPM kuwa Serikali itakosa pesa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola kila mwaka, ya kusaidia bajeti ya Serikali kwa sababu sharti la ile pesa ni lazima uwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni, na kamati 2 za Bunge, LAC, PAC ziongozwe na wapinzani. Na kwamba ili kuwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ni lazima chama cha upinzani kinachounda kambi rasmi ya upinzani kiwe kimefikisha asilimia 14 ya wabunge, asilimia ambayo haiwezi kufikiwa na wabunge pekee wa viti maalum ambao CHADEMA ingepata.

JPM akaamrisha kuwa majimbo yote yaliyobakia wapewe CHADEMA. Bahati mbaya mpaka muda huo lilikuwa limebakia jimbo moja tu la huyo dada, akatangazwa mbunge. JPM akatoa maelekezo kuwa kwa vile lazima CHADEMA wataenda mahakamani, mahakama itengue matokeo ya uchaguzi kwenye baadhi ya majimbo ili 14% ipatikane. Bahati mbaya kwake, hakuna mgombea wa CHADEMA aliyeenda mahakamani kupinga matokeo kama alivyotarajia. Baada ya hapo ndipo zile mbinu za kuwapeleka bungeni akina Mdee zikaanza. Kilichotarajiwa ni baadhi ya walioteuliwa ubunge kulazimishwa kujiuzulu baada ya kupewa nafasi kwenye Serikali, hasa ubalozi ili uchaguzi urudiwe kwenye majimbo watakayoyaacha, wapinzani wapitishwe, hata kama watakuwa ni wapinzani bandia, ilimradi tu 14% ipatikane.

Lilifanikiwa moja tu la akina Mdee, mengine hayakufikiwa kwa kuwa siku zake za kuishi Duniani, kwa hesabu ya Muumbaji wetu, zilikuwa zimekwisha. Pesa ya bure ya Jumuiya ya Madola tukaikosa mpaka leo. Tukawa tumekosa pesa ya msaada ya Jumuiya ya Madola na ya MCC. Ndiyo maana kwa sasa hakuna namna, ni lazima tukope kwa bidii kuziba mapengo.
Sijawahi kupata maelezo ya kuweza kuaminiwa kuhusu jambo hili hadi leo zaidi ya hii taarifa uliyoweka hapa.

Kuna maswali ndani yake, lakini bado ni habari inayojisimamia yenyewe kikamilifu.
 
Mkuu nimeshaeleza kwamba subordinates wanafanya kazi kulingana na attitude ya kiongozi aliyepo juu. Mfano JPM alipokua anafoka foka basi na DC, DAS n.k walikua nao wanafoka foka na kutumbua wanavyojisikia.

So JPM anaweza asihusike Moja kwa Moja ila kitendo Cha yeye kuweka attitude ya kutotaka wapinzani hapo lazima wakurugenzi waibe na wapore uchaguzi.

Mfano Akiwa kule Busega na Bunda aliwatishia kuwa wasipomchagua au wakimpa wabunge na madiwani wa upinzani basi wasije kulilia Barabara na Mradi wa Maji!! Sasa kwa attitude hiyo na msimamo Kuna mkurugenzi atakubali akose pesa za miradi kisa upinzani?

Mama Samia kaonyesha kuwa anapenda demokrasia na upinzani ndio maana hata Polisi husikii wanakamata magazeti, wanaharakati, wachochezi n.k. Polisi ni wale wale, mahakama ni zile zile ila wote Wanafuata attitude ya Rais anayekuepo madarakani.
Sina lolote ninaloweza kumkingia kifua Magufuli, isipokuwa katika mambo machache aliyoyasimamia na kwa bahati mbaya nayo kwa kiasi kikubwa kayasimamia vibaya kwa sababu ya udhaifu wa tabia yake.

Hapa tunazungumzia viongozi wa ngazi mbalimbali serikalini na kwenye chama. Ndiyo, ni kweli hawa viongozi iliwalazimu kufanya mambo ambayo yasingekuwa kinyume cha aliyotaka mkuu wao; lakini hadi kuumiza watu, kama huyo aliyewekwa ndani ya jela kwa miaka?
Binaadam yeyote anao utashi, ambao hawezi kuukiuka kwa shurti tu kutoka kwa mtu mwingine yeyote.
Wengi wa viongozi hao walioshiriki kufanya maovu, wengi wao walitegemea utashi wao wenyewe.
 
Hakuna aliye salama, nadhani hata wewe unaona figisu alizofanyiwa Gwajima na Ndugai kwa kukosoa same to Mpina aliyevuliwa vyeo vyake kwenye chama.

Tuungane tudai katiba mpya Ili awe CCM awe Chadema au asiye na chama basi sheria iweze kumpa fair judgement where due.
Wisdom 👏
 
Kumbe hufahamu kilichotokea?

Wakati majimbo yote ya uchaguzi wanakaribia kumaliza kuwatangaza waliowateya kuwa wabunge, Kabudi alienda kumweleza JPM kuwa Serikali itakosa pesa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola kila mwaka, ya kusaidia bajeti ya Serikali kwa sababu sharti la ile pesa ni lazima uwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni, na kamati 2 za Bunge, LAC, PAC ziongozwe na wapinzani. Na kwamba ili kuwe na kambi rasmi ya upinzani bungeni ni lazima chama cha upinzani kinachounda kambi rasmi ya upinzani kiwe kimefikisha asilimia 14 ya wabunge, asilimia ambayo haiwezi kufikiwa na wabunge pekee wa viti maalum ambao CHADEMA ingepata.

JPM akaamrisha kuwa majimbo yote yaliyobakia wapewe CHADEMA. Bahati mbaya mpaka muda huo lilikuwa limebakia jimbo moja tu la huyo dada, akatangazwa mbunge. JPM akatoa maelekezo kuwa kwa vile lazima CHADEMA wataenda mahakamani, mahakama itengue matokeo ya uchaguzi kwenye baadhi ya majimbo ili 14% ipatikane. Bahati mbaya kwake, hakuna mgombea wa CHADEMA aliyeenda mahakamani kupinga matokeo kama alivyotarajia. Baada ya hapo ndipo zile mbinu za kuwapeleka bungeni akina Mdee zikaanza. Kilichotarajiwa ni baadhi ya walioteuliwa ubunge kulazimishwa kujiuzulu baada ya kupewa nafasi kwenye Serikali, hasa ubalozi ili uchaguzi urudiwe kwenye majimbo watakayoyaacha, wapinzani wapitishwe, hata kama watakuwa ni wapinzani bandia, ilimradi tu 14% ipatikane.

Lilifanikiwa moja tu la akina Mdee, mengine hayakufikiwa kwa kuwa siku zake za kuishi Duniani, kwa hesabu ya Muumbaji wetu, zilikuwa zimekwisha. Pesa ya bure ya Jumuiya ya Madola tukaikosa mpaka leo. Tukawa tumekosa pesa ya msaada ya Jumuiya ya Madola na ya MCC. Ndiyo maana kwa sasa hakuna namna, ni lazima tukope kwa bidii kuziba mapengo.
Asante sana Bams.

Narudia tena, na alaaniwe huko aliko!

Aliiharibu nchi yetu, aliharibu maisha, uchumi, biashara na kila kitu chema au cha haki.
Ni wajibu wetu sisi wapenda haki kusimama imara na kuchukua nafasi zetu ili maovu yale yasikae yarudiwe kamwe Tanzania
 
Sina lolote ninaloweza kumkingia kifua Magufuli, isipokuwa katika mambo machache aliyoyasimamia na kwa bahati mbaya nayo kwa kiasi kikubwa kayasimamia vibaya kwa sababu ya udhaifu wa tabia yake.

Hapa tunazungumzia viongozi wa ngazi mbalimbali serikalini na kwenye chama. Ndiyo, ni kweli hawa viongozi iliwalazimu kufanya mambo ambayo yasingekuwa kinyume cha aliyotaka mkuu wao; lakini hadi kuumiza watu, kama huyo aliyewekwa ndani ya jela kwa miaka?
Binaadam yeyote anao utashi, ambao hawezi kuukiuka kwa shurti tu kutoka kwa mtu mwingine yeyote.
Wengi wa viongozi hao walioshiriki kufanya maovu, wengi wao walitegemea utashi wao wenyewe.
"Kazi zote ni za Rais, sisi tunamsadia tu..." Spika Tulia.

Unatambua vizuri madaraka ya Rais kwa Katiba ya sasa ni ya kifalme, ya "kimungu".
Rais ni kila kitu. Husikii hata fedha za umma au miradi ya umma husemwa ni ya Rais?

Kwa hiyo hakuna jambo lolote ovu au baya ambalo hayati Magufuli hakuhusika nalo (iwe directly au indirectly).
 
Back
Top Bottom