Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
mawazo aliuawa tarehe ngapi na Magufuli aliapishwa kuwa rais tarehe ngapi?Ukatili haukuwepo enzi za JK kwa extent ya JPM Hilo lipo wazi.
Mauaji kwenye kampeni yalitokea enzi Mwigulu ndio naibu Katibu mkuu ila tokea ahamishwe walau matukio ya mauaji yaliisha.
Mwangosi ni ukatili wa Polisi Wala sio order za JK na uonevu wa Polisi ulikuwepo tokea uhuru mpaka Leo hii ndio maana Samia amesema watalifumua jeshi.
Tunapomlaumu Rais sio sababu anatoa order ila attitude yake (Nakosa neno zuri la kiswahili) ndio unafanyiwa kazi na wasaidizi wake.
Mfano Rais akiwa mkali, basi mpaka ma-DC wanaigiza ukali ukali. Samia ameonekana mtu wa kufanya kazi bila kufoka foka na ndio tabia hiyo hiyo wameirithi wasaidizi wake huko chini.
So JPM alipoonyesha attitude ya chuki juu ya upinzani ikasababisha na hao wa chini wa copy Ili waendane na utashi wake. Mind you wote waliosulubu wapinzani walipandishwa vyeo je unategemea nani angeacha kufanya ukatili?
NB: Mawazo aliuwawa awamu ya JPM
Cc Kalamu
Yani ukatili uliotokea enzi za JK siyo wake ila uliotokea enzi za Magufuli ni wake!
Hapa kuna mawili:
1. Unasumbuliwa na udini
2. Una utindio wa ubongo