Ndiyo lile jizi la kura la kihutu linateseka huko kuzimu. Ushenzi aliofanya hata shetani mwenyewe anashangaaKatika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital
Mkuu 'zitto jr', huu ni mwandiko wako kweli?Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital
Asante sana kwa hii mistari michache.Wakati wa utawala wa awamu ya 5, viongozi wote walikuwa wanashindana kwa ukatili, walikuwa wanashindana katika kudhulumu haki za watu. Na mtu ili apande cheo au kupata uteuzi alitakiwa ajioneshe ni katili na mdhulumaji kwa kuwango cha juu dhidi ya watu wa vyama vya upinzani. Kilikuwa ni kipindi cha giza nene
Njia pekee ni kuwaruhusu waTanzania watumie haki yao ya kumchagua yeyote wanayeona anafaa kwa maslahi yao; hata kama wakichagua kichaa mwingine, mradi wawe na uhuru wa kufanya hivyo, na ufahamu wa hatma ya nchi yao na wao wenyewe.Utawala wa awamu ya 5 umepita. Cha kujiuliza ni je, tunafanya nini sasa ili kuziba kabisa mianya ya kuruhusu wasiofaa kuwa viongozi hawapati nafasi.
CHADEMA imejaa Vioja.
Uongozi ni mzigo, unasaidiwa kubebewa mzigo unalia machozi, kweli? Au aliwekeza kwa ajili maisha yake binafsi kwenye kutafuta udiwani?Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi
HakikaHuu ulikuwa udhalimu Mbaya san
Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital
HakikaBadili Heading la sivyo tutatofasri amelilia kuwa diwani, jambo ambalo lina maswali mengi sana.
Ionekane tu analia kwa dhuluma zilifanyika na uporaji wa mali.
Nitakuwa wa mwisho kuamini. Siiamini ccm na upinzani uliopo, waliungana na ccm kupora pesa za escrow kwa kumfanya mhusika toka ccm kuwa safi na awe rais wetu
Inashangaza sana. Wamekutua mzigo badala ya kushukuru wewe unalia. Ha ha ha haaUongozi ni mzigo, unasaidiwa kubebewa mzigo unalia machozi, kweli? Au aliwekeza kwa ajili maisha yake binafsi kwenye kutafuta udiwani?
Huyo ndiye aliyeshinda. Wengine wote walipigwa kihalaliBado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?
Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
Nanyie mlizidi ujambazi duuhMaskini yake utulie tu hakuna namna
USSR
Wewe ndiyo huelewi kabisa. Soma tena mada, labda utaelewa.Sinema hizi za Kitapeli
Udiwani ni wa kumaaga machozi[emoji1787]
The departed was a real Beast, let him get barbecued in eternal fire.Katika ziara ya Chadema (Operation +255) huko mpanda, Kuna tukio limeniacha na majonzi sana. Mgombea udiwani wa Chadema 2020, mwanamama shupavu alimwaga chozi akikumbuka ukatili wa JPM.
Mgombea huyu aliwekewa pingamizi so hakufanya kampeni muda mrefu, kama haitoshi aliposhinda udiwani (Fomu za matokeo anazo) hakutangazwa mshindi kama ilivyokua katika kata zote Tanzania.
Kilichoniuma zaidi, aliyekuwa campaign manager wake aliporwa kiwanja na Serikali ya Kijiji kisa tu alimsupport mama huyu. Kama hiyo haitoshi aliekuwa diwani wa kata ya Isengule 2015 alifungwa gerezani kwa zaidi ya miaka 4 kisa kuwa mpinzani!!
Aisee kama nchi tulipita kipindi kigumu sana, mtu ushampora kata Sasa si yameshaisha Bado tu hutosheki unaenda kubeba shamba na diwani mstaafu akatupwa jela. WaTanzania tushirikiane kudai katiba mpya na tume huru Ili hizi tabia za kishetani zisijirudie Tena.
Video hapa chini
Source: Mwananchi Digital
Aida hakushinda, hata yeye anajua Hilo maana mawakala wake walitolewa nje maeneo mengi. Ila kwa kuwa alitangazwa mwishoni mwishoni ikabidi waachilie hata Jimbo Moja Ili hata mtu akisema ameibiwa watamuuliza " Mbona Aida kashinda". Hata kule Mtwara, Jimbo la Hawa Ghasia alizawadiwa mama wa CUF Ili kubalance kuwa hakukuwa na wizi.Bado najiuliza yule Aida alishinda kwenye mazingira gani?
Ni kwamba alisahaulika kwenye ile mipango ya awamu ya tano kama bahati tu, au waliamua kumtumia kama kigezo cha ule uchaguzi ulikuwa huru na haki?!
Dah!... ngumu sana hiiUtawala wa awamu ya 5 umepita. Cha kujiuliza ni je, tunafanya nini sasa ili kuziba kabisa mianya ya kuruhusu wasiofaa kuwa viongozi hawapati nafasi.
Afrika Kila mtu akifariki anageuka mzuri, hata Nkuruzinza anasifiwa Kila siku ilihali alikua zero tu.Baada ya Rais Yoweri Mseveni kumsifia JPM kwa ujasiri na maamuzi ya haraka mbele ya macho ya dunia, naona sasa mnatafuta pa kupitia.
Baada ya Prof wa Malawi, sasa ni Yoweri Mseveni na kesho tunasubiri mwingine wa Kimataifa