Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Wenye nyumba basi mjue hata hao wapangaji wanatafuta.

Yaani amelipa kodi, amelipa dalali, eti na hela ya mwezi mmoja ya security.

Mpe hela yake hiyo uliyokaa nayo ya security, huo mwezi mmoja aliokaa bure hesabia ni notice.

Hivi mkifa mtaondoka na hizo nyumba ? Muwe na imani pia.

Usifikirie sina nyumba za kupangisha, sawa eeh.
Jamaa punguani kweli huyo
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Rudisha fedha ya watu haraka. Security deposit ndio upuuzi gani
 
Umempata mpangaji boya mm ningepita na shingo yako huwa sipendag unyonyaji
Hulazimishwi kupanga nyumba isiyo kuwa size yako!! Tafuta chumba kwa mtogole endesha maisha yako!
 
Kuna mmoja alinisumbua sana kuhama alafu alikuwa na dharau kwamba siwezi mchomoa, huku shida kibao anazo ' single Maza'

Asee mpk mwenyekiti wa mtaa balozi kutoa vitu kwa nguvu!!

Mpk leo hvyo vyumba viwil kimoja stoo kingine nafugia bata!! Vitatu vipo tuu baada ya muda watoto wanavifanyia usafi!

Kupangishia hapana 🙏🙏🙏
Upo wap mkuu nije nipange upo wap Mimi mpangaji mtiifu sicheleweshi Kodi natunza nyumba vizuri..naomba kuwasilisha.
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Mbinu ya uhakika ni kumpa security deposit yake atumie kuhamisha vitu vyake.
Inawezekana amepata changamoto ya hela kwa sasa, msaidie unapoweza.
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Nenda mahakamani si umejitungia sheria mwenyewe? Huyo mwamba anajua sheria atakuaibisha. Eti security deposit, umeiweka kwa mujibu wa sheria ya nchi gani. Ulimpatia notice ya miezi 3? Kujenga nyumba isiwe kibali cha kunyanyasa watu, muwe na utu hv vitu vyote ni vya kuacha hp duniani. Ongea vizuri na binadamu mwenzako uelewe tatizo lake
 
Wabongo wamezoea kulipa kodi ya miezi sita!! Wale wa kulipa kodi ya mwaka mmoja ni wachache sana.
Mi napenda kulipwa kila mwezi.

Sijawahi kuona utamu wafedha ya kodi ya mkupuo wa mwaka mzima.

Hela haikaliki, ukishakulipwa mkupuo wa mwaka mzima, unaiingiza kwenye expenditure kisha inakata kwa muda huo huo, unaanza kusubiria miezi 12 tena!

Isee, hadi unasahau kama huwa unalipwa kodi ya pango.
 
Kabla ya kuingia kwenye nyumba unaingia
mkataba. Kama huafiki basi huingii kwenye nyumba. Kwanini usign mkataba halafu mwisho unakiuka? Alikwisha pewa notice ya miezi mitatu! Uharibifu wa nyumba kwanini gharama Abebe mwenye nyumba? Kwanini afunge vyombo na kuondoka na funguo wakati yeye sio Lengai tenant?
Acha mihemko, amefanya uharibifu gani. Km rangi ni ww unaipiga upya. Huyo bwana naye hazimo nyumba nyingi hivyo kwanini akubali vitu vya ajabu
 
Kabla ya kuingia kwenye nyumba unaingia
mkataba. Kama huafiki basi huingii kwenye nyumba. Kwanini usign mkataba halafu mwisho unakiuka? Alikwisha pewa notice ya miezi mitatu! Uharibifu wa nyumba kwanini gharama Abebe mwenye nyumba? Kwanini afunge vyombo na kuondoka na funguo wakati yeye sio Lengai tenant?
Notsi ya miezi mitatu haipo siku hizi
 
Kuna nyumba moja Kali Sana ipo mkoa x

Tulimpangisha mzee mmoja kada wa CCM taifa yule mzee alilipa Kodi ya mwaka mmoja.

Baada ya mwaka JPM akaingia madarakani..mambo ya vyuma kukaza yaka cotton fire mambo ya kubana matumizi ya chama yaka chukua nafasi..

Yule mzee tulimvumilia ndani ya mwaka mmoja bila kulipa Kodi mzee wangu ni mtu mwema mwenye kujua utu..

Mpaka napo andika hapa muda huu uzee wangu Kuna nyumba ZAKE watu wanakaa buree sababu moja ukiwa KIJANA mzuri unatunza nyumba vizuri utakaa buree mpaka uamie Kwako.

Mpangaji kaanza kutangaza kwa umma kua mzee kamuuzia nyumba...mzee akamtaka jamaa ahame nyumba jamaa ni mbishi Sana hakuhama.

Ndipo nilipo kuja kugundua kua kumuhamisha mpangaji msumbufu ni very tough phenomena

Tulimtoa kwa nguvu ya mahakama maana tulimpa notice zikaisha yule jamaa ni msumbufu mno
 
Tanzania yetu wapangaji wengi ni wavamizi, sema ujamaa unafanya tuone kama ni wapangaji kwani asilimia kubwa hawafuati mikataba.
 
Notsi ya miezi mitatu haipo siku hizi
Utamfanya Nini mpangaji msumbufu?? Mvunjie mlango toa vitu nje then utakutana na kesi utakayo jutia maana atakwambia kapotelewa na Vito vyake vya thamani then ndio utaijua JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..KAZI IENDELEE
 
Utamfanya Nini mpangaji msumbufu?? Mvunjie mlango toa vitu nje then utakutana na kesi utakayo jutia maana atakwambia kapotelewa na Vito vyake vya thamani then ndio utaijua JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA..KAZI IENDELEE
Kinachozingatiwa ni makubaliano yenu katika mkataba wenu. / ndiyo maana inapofika miezi mitatu kabla mkataba kwisha unatakiwa utume barua ya kumuuliza endapo ataendelea na mkataba au la!, (notice should be within the contracts)
 
Sasa mambo ya security deposit ya nini kwenye upangishaji wa chumba?

Kuna watu mnapenda complications sana aise yaani ujiaji usio na tija.

Watu tunapangisha wapangaji wanakaa hata miaka miwili hawajalipa kodi na bado mtu unamvumilia wala huna vijisababu kama vya kwako.

Kuna ndugu yangu yeye wapangaji wake wanakaa hata miaka mitatu hawajalipa kodi na wala huwezi kumkuta anaenda kwa wapangaji mara kwa mara.

Anaweza kukaa hata mwaka hajakanyaga kwa wapangaji maana hakai nyumba moja na wapangaji.
 
Sasa mambo ya security deposit ya nini kwenye upangishaji wa chumba?

Kuna watu mnapenda complications sana aise yaani ujiaji usio na tija.

Watu tunapangisha wapangaji wanakaa hata miaka miwili hawajalipa kodi na bado mtu unamvumilia wala huna vijisababu kama vya kwako.

Kuna ndugu yangu yeye wapangaji wake wanakaa hata miaka mitatu hawajalipa kodi na wala huwezi kumkuta anaenda kwa wapangaji mara kwa mara.

Anaweza kukaa hata mwaka hajakanyaga kwa wapangaji maana hakai nyumba moja na wapangaji.
Mtu kukaa miaka miwili mpaka mitatu bila kulipa kodi labda kama ni ya serikali la sivyo ni biashara kichaaa na wewe siyo mfanyabiashara waache wakae bure kabisaa.
 
Back
Top Bottom