Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Atathibisha vipi kuwa kaibiwa? hizo hela wakati mashahidi walikuwepo wakati vyombo vinatolewa?
Unaongea kihisia mwenzako naongea kiuzoefu kwa sababu nilishawahi kushuhudia.
Haihitaji kuthibitisha kwa sababu ni ndani kwake ndio sehemu salama kuhifadhi kitu chochote cha gharama anachojisikia kwa hiyo wewe ambae utakuwa umemuingilia faragha yake ndio utatakiwa uthibitishe kwamba hukuondoka na pesa zake,mchezo wa sheria sio jambo la kukariri huwa zinageukageuka kulingana na ujanja wa mtaalamu uliyesimama naye mahakamani.
Au kama hauniamini wewe fanya hivyo unavyowaza halafu mwisho wa kesi uje utupe mrejesho
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Mpe hela yako akatafute chumba na akipata, mpe hela ya kusafirishia vyombo vyake kwenda kwenye makazi yake mapya, akigoma hapo ujue anatembea na mkeo.
 
Ungekuwa landlord ungeelewa mapungufu ya wapangaji ; sio wote!!! Shida iko kwa wabangaizaji 🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️
Sema na wewe unakejeli mno, una shida mahali, mara unamuita single mother, mara hapa unasema mbangaizaji..Aisee wewe si unapaswa kujali pesa yako tu, hayo mengine mapungufu ya mtu yanahusu nini??Unafikir na wewe ungekuwa zipo za kutosha ungekuwa unampigia kelele mpangaji kisa hajalipa miezi mitatu???
Mtu kaingia hata miaka miwili hana tayari unafanya ukaratabati??Hii kama sio mtafutano ni nini aisee au kuna kitu ulirequest - access ikawa denied..ndo unataka kutumia umwamba??
 
Deposit ya nyokweeee 😀 😀 😀 yani utapeli kila kona alafu huyu unakuta ni mbaba mtu mzima ila tamaa za hela na kukosa utu kumemjaaa sasa hizo kodi unazolipwa haitoshi kufanya ukarabati mpangaji akitoka au mpya akiingia??ukarabati gani huo au unakuwa unajenga upya??
Hata mimi nimemshangaa hiyo kodi anayolipwa ni ya kazi gani?
Hivi dereva wa taxi au uber anavyotukodisha gari yake ikitokea uchakavu au breakdown naye atulipishe hela nyingine ya ziada ya kununua vipuri ina make sense?
 
Sema na wewe unakejeli mno, una shida mahali, mara unamuita single mother, mara hapa unasema mbangaizaji..Aisee wewe si unapaswa kujali pesa yako tu, hayo mengine mapungufu ya mtu yanahusu nini??Unafikir na wewe ungekuwa zipo za kutosha ungekuwa unampigia kelele mpangaji kisa hajalipa miezi mitatu???
Mtu kaingia hata miaka miwili hana tayari unafanya ukaratabati??Hii kama sio mtafutano ni nini aisee au kuna kitu ulirequest - access ikawa denied..ndo unataka kutumia umwamba??
Huyo jamaa ni aina fulani ya wenye nyumba wanaopenda kuvimba yaani anyenyekewe muda wote kisa ana nyumba as if mpangaji anakaa bure,ni aina ya watu wanaodhani kila mtu aliyepanga ni maskini.
 
Kama hajafanya kosa lolote la kuvunja vipengele vya mkataba, huna haki ya kumuondoa kwenye nyumbani. The best you can do ni kumpangishia nyumbani sehemu nyingine while the repair is on-going.
 
Wenye nyumba basi mjue hata hao wapangaji wanatafuta.

Yaani amelipa kodi, amelipa dalali, eti na hela ya mwezi mmoja ya security.

Mpe hela yake hiyo uliyokaa nayo ya security, huo mwezi mmoja aliokaa bure hesabia ni notice.

Hivi mkifa mtaondoka na hizo nyumba ? Muwe na imani pia.

Usifikirie sina nyumba za kupangisha, sawa eeh.
Mamndenyi

Baadhi ya __"kipato huleta majivuno"
 
Mtoa mada badili kitasa akirudi akute ufunguo mpya kuliko utoe vitu Kwa force lazima polis utaenda so short way badili kitasa ili asiingie kama utaki atumie iyo nyumba
 
Sema na wewe unakejeli mno, una shida mahali, mara unamuita single mother, mara hapa unasema mbangaizaji..Aisee wewe si unapaswa kujali pesa yako tu, hayo mengine mapungufu ya mtu yanahusu nini??Unafikir na wewe ungekuwa zipo za kutosha ungekuwa unampigia kelele mpangaji kisa hajalipa miezi mitatu???
Mtu kaingia hata miaka miwili hana tayari unafanya ukaratabati??Hii kama sio mtafutano ni nini aisee au kuna kitu ulirequest - access ikawa denied..ndo unataka kutumia umwamba??
Unajua wafanyabiashara wanaokwenda Dubai na China wanakata miezi mitatu huko alafu wanarudi na mzigo? Unafikiri wanakwenda kufanya biashara gani? Ni hatari kuomba access kwa watu kama hao🤷🏻‍♂️
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Tafuta Njagu mpange mum bambike kesi ya kuhifadhi bange nyumbani kwako
 
Na wewe weka kufuli lako juu ya mlango,siku akija mlipishe gharama aliyozidisha kwa kumuhifadhia vitu vyake,akigoma unafidia kwa vitu vyake,ubaya ubwela
 
Njoo na elf 35 mkuu tumtupie jin liwe limamchapa bakora kila akisinzia tu ndam ya nyumba
 
Umempata mpangaji boya mm ningepita na shingo yako huwa sipendag unyonyaji
 
Hicho kipengele cha security deposit ya mwezi mmoja ni cha kinyonyaji kwa mpangaji. Inaweza kuwa fair endapo kuna kitu tangible mpangaji ameharibu, akikatwa ni sawa, ila kama hakijaharibika kitu, ni rangi na vitu vya kawaida, huo mkataba ni wa kinyonyaji.

Kwa hiyo kodi unayopewa haihusiki na matengenezo ya nyumba yako?
Hiyo security deposit ilitakiwa kama mpangaji haja fanya uharibifu arudishiwe mpangaji, ila kama mpangaji kafanya uharibifu wa Vitasa, mlango au Dirisha kumtaka inakua sahii.
 
Wakati mwingine huruma na uungwana unahitqjika
Hela yake mpe tu na maisha yasonge hujui alikoipata

Wakati mwingine unaepusha usumbufu na pia utu
Unaweza kwenda kushitaki ukaliwa hela zaidi ya hiyo deposit

Mpe na kama ana shida muongezee aende kwa amani
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Mtupie jini
 
Back
Top Bottom