Mpango mauaji ya Wayne Derek Lotter ulivyosukwa na kutekelezwa jijini Dar

swala la ujangiri ni mtambuka,mdogo wake Rost pamoja na yule mbunge wa Shy walihusishwa na ujangiri mambo yalizimwa kiaina,mambo haya huwa kuna wakubwa nyuma yake,na utawala huu ndo utawala wa ujangiri wa kuvuna pembe za ndovu.
Bado kuna wale Waburushi wa Mbarali!! Na wote hawa utawakuta ni wanachama, na pia wafadhili wa ccm!
 
Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.

Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.

Labda uue mbuzi wa jirani yako.
Umenikumbusha mbali sana lazima upatikanike tuu.
 
Anaweza kuwa hastahili kunyongwa ila bunduki alienda kuficha za nn alipoona kaka yake amekamatwa na wasiojulikana ilitakiwa atoe taarifa polisi
Inaonekana mpango wote alikua anaujuwa na yeye akashiriki Jinai kwa kuficha kidhibiti! Jinai inaweza hata ikambeba Mtu alishiriki Jinai kwa kufanya tu maamuzi ya kihuruma!!
 
Unjangili basi unalipa aisee naona mahela mengi yanalipwa kuratibu uuaji
 
We nae lofa tu,kwani mauaji mengine hufuatiliagi kuona yeyote alohusika anadakwa hata muwe 100. Akili yako inaona mzungu tu,hata kesi ya bilionea msuya hukumbuki? Au nae alikua mzungu
Msamehee bure huyo atakua kaajiriwa na Wazungu alafu wanamuonea ila ana shindwa kusema kwa sababu wanamlipa mshahara ndiyo maana ana hasira nao, yeye ana aamini kisa mzungu ndiyo kauliwa basi Serekali ipotezee! Kuna Watu wa ajabu sana Tanzania!!
 
Kuna majina mawili Nduwimana, Habonimana yana asili ya kule kanda maalum inayosifiwa kwa ushushushu Afrika nzima. Hakika hatuko salama kuzingukwa na maharamia
 
Kesi kama hiyo ya mzungu huwa inashinikizo la nchi yake ya asili hivyo hapo upelelezi lazima unyooke!

Kesi ya mauaji kupona ni ngumu sana hata uhonge vipi, ipo siku kesi itaibuka ushangae! Damu ya mtu ni hatari sana!
Kesi yoyote ile ukifanya kosa ni ngumu sana kushinda,na ili ushinde lazima utumie pia mpunga mrefu kujinasua, ama ipigwe tu danadana huko kwenye mamlaka husika!!!
 
Kuna umuhimu kweli wa kuua MTU ili upate pesa?
Sidhani, hata ujangili unaweza kufanyika bila kupoteza uhai wa MTU.
Kuna Watu wao wakitaka pesa huwa na akili fupi,huo nao ni ugonjwa wa akili!!!
 
Mission ikishazidi watu 2 basi lazima mtadakwa

Ova
 
waliomuua nao siku one watakufa~~~
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…