Chagadema wametema nyongo sana kwenye huu uzi. Wanaamini eti kufa magufuli ndio kufa umagufuli.. wanajidanganya. 😂😂 Na yule askofu wao .'. eti mama tutibu vidonda' 🤣🤣🤣Kulikuwa na uzi humu wa kinachoitwa Jamii ChagaDema Forum ulifungiwa Jana...huyu alikuwa akiwatuhumu mamods wa humu kuwa ni wachaga na Chadema...binafsi sikuzipenda tuhuma hizo...lakini binafsi nashangaa kwanini huwa hawachukui hatua dhidi ya wale wanaoandika kinachoitwa Sukuma gang...kwa hakika huu ni ubaguzi na wanapanda mbegu ya chuki kwenye Jamii yetu...
Magufuli ni WA watanzania
Uyo Jamaa yenu alikua Muuwaji hii ndio shida kubwaAmeharibu nini zaidi ya kuwatia adabu fisadi wezi wa mali ya umma na wakwepa kodi. Unachoona wewe ni jamaa zako kusweka lupango na kutemeshwa vya dhuluma. Huoni miradi ya ujenzi afya elimu etc itakayokua na faida kubwa kwa umma. Unaona tu singa na ruge kusweka ndani kwa uhuni ule wa iptl. Huoni matendo ya magaidi wa rufiji ila unaona kuangamizwa kwao tu.
Anatuona sisi mafala jamaa alikuwa limbukeni alilimbukia madarakaUnadhani Tukisema Magufuli alikuwa kiongozi muovu hatuelewi au unadhani tumeambiwa na wazungu? Kwanza mzungu gani alikuwa anamjua Magufuli? Kama unamsifia msifie kimpango wako lakini sisi wengine tunajua alikuwa kiongozi muovu, na ushahidi tunao. Ww kaa piga propaganda mfu hapa jukwaani ukidhani tulikuwa hatumjua au unadhani ni mpaka mtu atuambie.
Yeye na watesi wake wote wameliwa kichwaAjaribu mmoja tu kama chambo, wananchi watamuonyesha kilichokunja mkia wa mbwa.
Mjinga tu na mwenye chuki. Mtu ameongoza na kusimamia ujenzi wa barabara za lami kwa ufanisi mkubwa nchi nzima akiwa waziri wa ujenzi takriban miaka 20. Kwa kua tu kakuzibia line ya upigaji au kuuza bangi ndio unasema hafai hata kuongoza kijiji. Halafu kuna majuha wanashangilia 🤸🤸🚶♂️🚶♂️Hata alipokuwapo ulikuwa ukisema hivyo hivyo ? 😁😁
Maranyingi akiwa Kanda ya ziwe amehutubia kisukuma usiwaseme wachaga hawana neno ila sisi tulimuona na kushuhudiaLione hili nalo lilivyotaahira!
Wapi Magufuli aliwahi kuhutubia kwa kisukuma?
Hivi nyie wachaga kwanini mkibanwa mnahisi mnaonewa?
Jambazi hatakiwi kubembelezwa. Ni haki yake kuuwawa chap!Uyo Jamaa yenu alikua Muuwaji hii ndio shida kubwa
Maisha ni Mazuri sana FDI, FCI, ID zimeongeka sanaSisi tunasema anafuata maana hata wenzetu wa upande wa pili wanafuraha sana. Hasa baada ya mbaya wao kufariki wana furaha mno.
Hele zimeajaa mifukoni, kodi ipo chini sana, vitu bei ya chini. Kifupi maisha ni mazuri bila shaka mama 2025 atapita bila kupingwa
Wale mliowatupa mto rufiji kwenye viroba ni majambazi shida nnapenda kuuwa mmezoea ndo mana matukio ya mauaji Kanda ya ziwe inaongozaJambazi hatakiwi kubembelezwa. Ni haki yake kuuwawa chap!
Wanaleta chokochoko na jitu lao na wanauzi kumbeza MamaMwacheni Magufuli apumzike nchi inao watu wengine wataiongoza.
Unafurahia kila siku uwe mtu wa kupewa pewa tu???
Vipi Chaga gangsters?Ha ha ha ha ha Sasa.... Huko Mataga na Sukuma Gang hawakuwafundisha kuweka paragrafu?
Huenda nyerere akifa ulikua mchanga hujui jitihada iliyofanyika kumchafua ili mawazo yake yasiheshimiwe. Mmowapo ni huyo kibaraka lissu. Kumbukumbu zipo bungeni. Kama hujui nyerere ndio alitaifisha viwanda na majumba ya wahindi. Ndio fundi mchundo wa azimio la arusha, ndiye aliyehamisha watanzania kuwaweka kwenye vijiji. Magufuli kafanya cha mtoto tu kuwagusa wabinafsi na waroho na fisadi. Sasa magufuli ndio kakugusa usijidai kulinganisha magufuli na nyerere maana humjui nyerere.Laiti mngempenda kwa dhati kama mnavyojatibu kutuhadaa mngemshauri asiishi kama demon, hence hofu yenu sasa kuwa kuna wanaom-demonise. Kwanini hamjawahi kujiuliza kuwa Nyerere alipofariki takriban kila Mtanzania alilia kwa uchungu ilhali kifo cha Magufuli kilipokelewa kwa shangwe na watu wengi tu?
Hakuna anayem-demonise Mwendazake bali he lived as a demon. Badala ya ninyi wanafiki kuendelea kutumia nguvu kubwa kumsafisha ingekuwa vema mkajikita kwenye sala/dua ili asifanywe kuni za kuchochea moto wa wenye dhambi huko ahera.
Nitajie jina na mahali anapotoka hata mmoja kati ya wale waliokutwa kwenye viroba.Wale mliowatupa mto rufiji kwenye viroba ni majambazi shida nnapenda kuuwa mmezoea ndo mana matukio ya mauaji Kanda ya ziwe inaongoza
Hawa ni wakuwaonea huruma. Wamezoea na wanapenda utumwa.Huenda nyerere akifa ulikua mchanga hujui jitihada iliyofanyika kumchafua ili mawazo yake yasiheshimiwe. Mmowapo ni huyo kibaraka lissu. Kumbukumbu zipo bungeni. Kama hujui nyerere ndio alitaifisha viwanda na majumba ya wahindi. Ndio fundi mchundo wa azimio la arusha, ndiye aliyehamisha watanzania kuwaweka kwenye vijiji. Magufuli kafanya cha mtoto tu kuwagusa wabinafsi na waroho na fisadi. Sasa magufuli ndio kakugusa usijidai kulinganisha magufuli na nyerere maana humjui nyerere.
Wao pia wakianzisha uzi usiokidhi viwango vya uandishi tutawarekebisha!Vipi Chaga gangsters?
Ya
Yamezidi kushamiri vipi wakati adui yetu na mbaya wetu amekufa?
Sasa hivi tuko vizuri sana na utawala wa mama!
Unatetea mambo ya wazi mpaka unaonekana juha.Lione hili nalo lilivyotaahira!
Wapi Magufuli aliwahi kuhutubia kwa kisukuma?
Hivi nyie wachaga kwanini mkibanwa mnahisi mnaonewa?
Kwa kweli Nchi bila Magufuli iko vizuri sana. Hakuna anayeshikwa kwa maoni, hakuna mwenye wasiwasi kutekwa na WASIOJULIKANA, wafanyabiashara wanaendelea na biashara bila task force.Kwahiyo sasa hivi nchi yenu iko vizuri?