Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Kafa huyo mungu wenu
Yupi huyo bwashe?
Kama Magufuli alimshinda Lisu kwa kura aizoshuritisha atangazwe nazo, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule bado yapo. Toka wakati wa kampeni hadi kufikia mauti yake, Magufuli hakuwahi kupata furaha tena, maana aliona ukweli uliomuumiza. Idadi ya watu aliopata Lisu na matarajio yake yalikuwa tofauti, ndio maana akaagiza ccm watangazwe kwa shuruti. Huu ni ukweli unaomuumiza kila mwanaccm. Hivi leo ccm imegeuka kuwa chama kinachotegemea nguvu za dola tu maana kimeshapoteza ushawishi kwa umma, ndio maana haiko kuruhusu Cdm tayari ifanye mikutano ya kukutana na wananchi, kwani wanajua Cdm ndio inavyokubalika na wananchi.
Mwambieni basi arudi nyumbani achukue nchi.
 
Hakuna atakayethubutu kumkashfu JPM na akabaki salama.Hilo lipo wazi.
Kule nyuma, Kenge wachache walijaribu kutaka kufuta nyayo za JPM kwa kujaribu kubeza juhudi alizofanya alipokuwa hai. MOTO wa NYUKLIA ulipowawakia walirudi nyuma na kukaa kimya hadi leo. Baadhi yao walikuwa ni Wabunge.
Sasa wamebadili style.Hawambezi JPM moja kwa moja. Badala yake wanamsifia sifia sana mama. Lakini pia wanatumia lugha za kila aina lengo likiwa ni kuuaminisha umma kama utawala uliopita ulikuwa ni wa hatari.
Ndipo sasa unapokuja kuwasikia KENGE wengine wakimwambia mama eti aliponye Taifa. Ujinga mtupu!
Nyayo za JPM haziwezi kufutwa kijinga namna hiyo.
Atakayejaribu kufuta atafutwa yeye.
Ajaribu mmoja tu kama chambo, wananchi watamuonyesha kilichokunja mkia wa mbwa.
 
Wasukuma kwa nini hamtaki kuamini?? Magufuli alishaumaliza mwendo... Now tunamuandalia msukuma mwenzenu makonda hati ya mashtaka ili tumkamate
 
Toa povu tu, lakini ulaji ndio mliishatemeshwa na Jiwe! Eti kafa. Babaako yuko hai?
Kwani baba yangu alidhukumu fedha za wananga wa tetemeko la Kagera? Au korosho za Mtwara? Muache huyo Magufuli aendelee ku Rot in Hell au mfuate na wewe
 
Kama Magufuli alimshinda Lisu kwa kura aizoshuritisha atangazwe nazo, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule bado yapo. Toka wakati wa kampeni hadi kufikia mauti yake, Magufuli hakuwahi kupata furaha tena, maana aliona ukweli uliomuumiza. Idadi ya watu aliopata Lisu na matarajio yake yalikuwa tofauti, ndio maana akaagiza ccm watangazwe kwa shuruti. Huu ni ukweli unaomuumiza kila mwanaccm. Hivi leo ccm imegeuka kuwa chama kinachotegemea nguvu za dola tu maana kimeshapoteza ushawishi kwa umma, ndio maana haiko kuruhusu Cdm tayari ifanye mikutano ya kukutana na wananchi, kwani wanajua Cdm ndio inavyokubalika na wananchi.
Naona uzi huu umekuumiza sana hadi unaandika ugoro. Uongo mtupu wa kichadema
 
Nchi za kibeberu na vibaraka wao wana tabia ya kuwazushia viongozi wanamapinduzi ubaya waonekane wabaya kama shetani.

Walipofanikiwa kumpindua Kwame Nkurumah wa Ghana walimzushia uongo mwingi hadi ikawa kisiasa ghana huwezi kufanikiwa kwa kuunga mkono siasa na sera za Nkrumah. Kutokana na propaganda za magharibi ikawa kama aibu mtu kuunga mkuno sera za ukombozi afrika na uchumi wa kijamaa. Waghana hadi leo hawampi nkurumah anayeheshimika Afrika nzima heshima anayostahili. Uwanja wa ndege wa kimataifa accra hadi leo unabeba jina la kotoko mtu aliyempindua Nkrumah.

Hata nchini guenea ni hivi karibuni tu kumeanza wimbi kuwaelimisha vijana na taifa Sekou Toure alikua kiongozi wa namna gani kwa waguenea na Afrika. Huyu naye alikua mwanamapinduzi ila ubeberu wamemchafua ili waguenea wasifuate mawazo yake.

Kwa nchi yetu ni tofauti kutokana na umoja na mwamko mzuri wa kisiasa wa wananchi. Licha ya kazi kubwa ya wapinga maendeleo wakiongozwa na ubeberu wameshindwa kumchafua Nyerere. Watanzania wanamkumbuka na kutaka dira yake ifuatwe. Hakuna mwanasiasa anaweza kufanikiwa tanzania kwa kumchafua Nyerere.

Tuliona baadhi ya viongozi wa Chadema wakitumika kuchafua jina na heshima ya nyerere hadi bungeni mmojawapo akiwa antipass lissu. Baada ya kuona wanajichafua kwa kujaribu kumchafua Nyerere wakageuza mbinu. Sasa wanajidai kumnukuu kila wakati nyerere ila kwa kupotosha kauli zake.

Magufuli amelinganishwa na nyerere kwa kutetea kwa nguvu maslahi ya umma kwenye uongozi wake. Tangu aitwe na mola wake tumeshuhudia furaha kwa wapinga maendeleo. Wamediriki hadi kumsifia mama kama mwokozi wa taifa dhidi ya uongozi uliyopita wa Magufuli. Juzi tu tumemsikia askofu mmoja akimtaka mama kutibu majeraha taifa.

Wanamapinduzi tunajua wenye majeraha ya magufuli ni fisadi na wazembe. Wale waliyojaribu kuiba mali au mashirika ya umma, wale waliyokua wamejimilikisha kinyemela mali za chama chao cha CCM, wale waliyokua wanashirikiana na barrick kuona madini ya nchi yanaibiwa makontena na makontena kwa kupewa ujira.

Sasa anatokea askofu eti mama ponya majeraha. Majeraha ya fisadi. Ina maana awarejeshe kwenye kudhulumu umma.
Tunamtahadharisha mama awe macho kukumbatiwa na watu waovu ambao wanategemea kuibia umma na kujitajirisha binafsi huku umma wa wananchi ukiendelea kufukarika.

Ni jambo la kutia moyo kuona jinsi wananchi wa tanzania wanavyomkumbuka magufuli. Ni hatari kwa kiongozi yeyote kutaka kufuata sera za kuwanufaisha wachache kwa gharama ya umma. Kimsingi CCM ni chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. Wakifanya tofauti watapigwa chini.
Yupo Kuzimu Motoni Kwa sasa
 
Kina Kwame Nkrumah, Sankara, Sekou Toure na wengine wanaohesabika kama wazalendo wa Afrika walikosea kwenye kuamini wao tu ndo wenye fikra sahihi. Waliminya uhuru wa watu wao na kujiona miungu. Mwalimu ndo rais aliyenusurika mara nyingi zaidi kupinduliwa hapa kwetu na sababu kuu ni hiyo kuamini yeye ndo alfa na omega... imagine enzi hizo watu wanasema "Zidumu fikra za mwenyekiti".... Mwalimu kilichomsaidia ni kung'atuka kijanja. binadamu ukimbana sana lazima aasi. Na kumzuia binadamu milele ni haiwezekani... lazima atapata namna ya kujinasua. Mwendazake naye alipita njia waliyopita wazalendo wengine ya kuminya watu wote waliokuwa kinyume na mawazo yake.
 
Wasukuma kubalini tu, Magufuli ameshaumaliza mwendo na maisha lazima yasonge mbele....

Kwanini mnajitesa hivi?
Huwezi kupotosha ukweli!! Wafuasi wa Maguvuli ni watanzania na si wasukuma! Magufuli ni mzalendo namba moja kwenye karne ya 23! Kifo chake kiliadhimishwa na watanzania wote!! Nyomi ile ilinyamazisha wapuuzi wote!! Mnataka kujifanya kuwa mmesahau!
 
Huwezi kupotosha ukweli!! Wafuasi wa Maguvuli ni watanzania na si wasukuma! Magufuli ni mzalendo namba moja kwenye karne ya 23! Kifo chake kiliadhimishwa na watanzania wote!! Nyomi ile ilinyamazisha wapuuzi wote!! Mnataka kujifanya kuwa mmesahau!
Akili zako zinakutuma ikicheza Simba na Mazembe basi uwanjani watakuwa mashabiki wa Simba pekee ... hujui kuna mashabiki wa Yanga huenda kuishabikia Mazembe iifunge Simba...

Kuna watu kwenye msiba huenda kuhakikisha kana kweli laanakum kadedi kweli au maneno ya watu....

Kwa taarifa yako wengine walienda kushuhudia kama bwana yule kadedi kweli ili sherehe yao inoge kwa uhakika...

Eti watanzania wote... watanzania wote my foot...
 
Nyerere na wanamapinduzi wenzake walikuwa ni vibaraka wa China. Cha kushangaza wengi wa hao wanamapinduzi kama Nyerere walisoma Ulaya na wengine Marekani lakini siasa zao waliiga China. Ni kama vile Mao Zedong aliwaloga viongozi wa Afrika kama Nyerere. Mao Zedong aliwa brainwash vizuri mpaka Nyerere na wenzake waliacha kuvaa suti na tai wakaanza kuiga lile vazi la mchina, Kaunda suti. Mpaka wanazeeka bado walikuwa wanavaa vazi la mchina ina maana bado propaganda walizopata China zilikuwa kichwani. Na ni huko China ndiyo walijifunza uchumi wa Ujamaa ambao ulishindwa kuondoa umasikini, mfumo wa chama kimoja cha siasa, kuifuta demokrasia na mengine mengi tuu yanayopigiwa kelele mpaka leo.
 
Nchi za kibeberu na vibaraka wao wana tabia ya kuwazushia viongozi wanamapinduzi ubaya waonekane wabaya kama shetani.

Walipofanikiwa kumpindua Kwame Nkurumah wa Ghana walimzushia uongo mwingi hadi ikawa kisiasa ghana huwezi kufanikiwa kwa kuunga mkono siasa na sera za Nkrumah. Kutokana na propaganda za magharibi ikawa kama aibu mtu kuunga mkuno sera za ukombozi afrika na uchumi wa kijamaa. Waghana hadi leo hawampi nkurumah anayeheshimika Afrika nzima heshima anayostahili. Uwanja wa ndege wa kimataifa accra hadi leo unabeba jina la kotoko mtu aliyempindua Nkrumah.

Hata nchini guenea ni hivi karibuni tu kumeanza wimbi kuwaelimisha vijana na taifa Sekou Toure alikua kiongozi wa namna gani kwa waguenea na Afrika. Huyu naye alikua mwanamapinduzi ila ubeberu wamemchafua ili waguenea wasifuate mawazo yake.

Kwa nchi yetu ni tofauti kutokana na umoja na mwamko mzuri wa kisiasa wa wananchi. Licha ya kazi kubwa ya wapinga maendeleo wakiongozwa na ubeberu wameshindwa kumchafua Nyerere. Watanzania wanamkumbuka na kutaka dira yake ifuatwe. Hakuna mwanasiasa anaweza kufanikiwa tanzania kwa kumchafua Nyerere.

Tuliona baadhi ya viongozi wa Chadema wakitumika kuchafua jina na heshima ya nyerere hadi bungeni mmojawapo akiwa antipass lissu. Baada ya kuona wanajichafua kwa kujaribu kumchafua Nyerere wakageuza mbinu. Sasa wanajidai kumnukuu kila wakati nyerere ila kwa kupotosha kauli zake.

Magufuli amelinganishwa na nyerere kwa kutetea kwa nguvu maslahi ya umma kwenye uongozi wake. Tangu aitwe na mola wake tumeshuhudia furaha kwa wapinga maendeleo. Wamediriki hadi kumsifia mama kama mwokozi wa taifa dhidi ya uongozi uliyopita wa Magufuli. Juzi tu tumemsikia askofu mmoja akimtaka mama kutibu majeraha taifa.

Wanamapinduzi tunajua wenye majeraha ya magufuli ni fisadi na wazembe. Wale waliyojaribu kuiba mali au mashirika ya umma, wale waliyokua wamejimilikisha kinyemela mali za chama chao cha CCM, wale waliyokua wanashirikiana na barrick kuona madini ya nchi yanaibiwa makontena na makontena kwa kupewa ujira.

Sasa anatokea askofu eti mama ponya majeraha. Majeraha ya fisadi. Ina maana awarejeshe kwenye kudhulumu umma.
Tunamtahadharisha mama awe macho kukumbatiwa na watu waovu ambao wanategemea kuibia umma na kujitajirisha binafsi huku umma wa wananchi ukiendelea kufukarika.

Ni jambo la kutia moyo kuona jinsi wananchi wa tanzania wanavyomkumbuka magufuli. Ni hatari kwa kiongozi yeyote kutaka kufuata sera za kuwanufaisha wachache kwa gharama ya umma. Kimsingi CCM ni chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. Wakifanya tofauti watapigwa chini.
Wewe ni Mburukenge tu huna lolote! SSH kaambiwa aponye majeraha, akaitikia atawahudumia watanzania kwa huruma kama macho yake ya huruma! Maana yake alimuelewa Askofu Shoo na majeraha anayajua yapo! Mwendakuzimu alikuwa Mburukenge na Shetani mkuu aliyevaa ngozi ya binadamu, hasingiziwi mtu hapa, Mungu ni Fundi!
 
Nchi za kibeberu na vibaraka wao wana tabia ya kuwazushia viongozi wanamapinduzi ubaya waonekane wabaya kama shetani.

Walipofanikiwa kumpindua Kwame Nkurumah wa Ghana walimzushia uongo mwingi hadi ikawa kisiasa ghana huwezi kufanikiwa kwa kuunga mkono siasa na sera za Nkrumah. Kutokana na propaganda za magharibi ikawa kama aibu mtu kuunga mkuno sera za ukombozi afrika na uchumi wa kijamaa. Waghana hadi leo hawampi nkurumah anayeheshimika Afrika nzima heshima anayostahili. Uwanja wa ndege wa kimataifa accra hadi leo unabeba jina la kotoko mtu aliyempindua Nkrumah.

Hata nchini guenea ni hivi karibuni tu kumeanza wimbi kuwaelimisha vijana na taifa Sekou Toure alikua kiongozi wa namna gani kwa waguenea na Afrika. Huyu naye alikua mwanamapinduzi ila ubeberu wamemchafua ili waguenea wasifuate mawazo yake.

Kwa nchi yetu ni tofauti kutokana na umoja na mwamko mzuri wa kisiasa wa wananchi. Licha ya kazi kubwa ya wapinga maendeleo wakiongozwa na ubeberu wameshindwa kumchafua Nyerere. Watanzania wanamkumbuka na kutaka dira yake ifuatwe. Hakuna mwanasiasa anaweza kufanikiwa tanzania kwa kumchafua Nyerere.

Tuliona baadhi ya viongozi wa Chadema wakitumika kuchafua jina na heshima ya nyerere hadi bungeni mmojawapo akiwa antipass lissu. Baada ya kuona wanajichafua kwa kujaribu kumchafua Nyerere wakageuza mbinu. Sasa wanajidai kumnukuu kila wakati nyerere ila kwa kupotosha kauli zake.

Magufuli amelinganishwa na nyerere kwa kutetea kwa nguvu maslahi ya umma kwenye uongozi wake. Tangu aitwe na mola wake tumeshuhudia furaha kwa wapinga maendeleo. Wamediriki hadi kumsifia mama kama mwokozi wa taifa dhidi ya uongozi uliyopita wa Magufuli. Juzi tu tumemsikia askofu mmoja akimtaka mama kutibu majeraha taifa.

Wanamapinduzi tunajua wenye majeraha ya magufuli ni fisadi na wazembe. Wale waliyojaribu kuiba mali au mashirika ya umma, wale waliyokua wamejimilikisha kinyemela mali za chama chao cha CCM, wale waliyokua wanashirikiana na barrick kuona madini ya nchi yanaibiwa makontena na makontena kwa kupewa ujira.

Sasa anatokea askofu eti mama ponya majeraha. Majeraha ya fisadi. Ina maana awarejeshe kwenye kudhulumu umma.
Tunamtahadharisha mama awe macho kukumbatiwa na watu waovu ambao wanategemea kuibia umma na kujitajirisha binafsi huku umma wa wananchi ukiendelea kufukarika.

Ni jambo la kutia moyo kuona jinsi wananchi wa tanzania wanavyomkumbuka magufuli. Ni hatari kwa kiongozi yeyote kutaka kufuata sera za kuwanufaisha wachache kwa gharama ya umma. Kimsingi CCM ni chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. Wakifanya tofauti watapigwa chini.
Sabaya aliteuliwa na magufuli
Makonda aliteuliwa na magufuli
Ally happy aliteuliwa na magufuli
Kihongosi Alito maneno Iringa akapelekwa Arusha kwenda kumsifia Sabaya
Jerry Munro baada ya kutukana wapinzani
Musiba
Jerry james
Ongeza wengine
Itoshe tu kusema magufuli alikuwa kiongozi KATILI SANA
Asante mungu kwa maajabu aliyotenda hapo 17.3.2021
 
Kama ni shetani kwanini mnasema mimi na magufuli ni kitu kimoja kwanini msiseme waziwazi kuwa mnampinga magufuli ....sisi tunataka wanasiasa wote mnao mpinga magufuli muwe wazi kabisa tuone kama mtapata hata asilimia 10 ya kura

huo mshipa wa mxundu wanao[emoji28][emoji28][emoji28]

magufuli ni benchmark ya ubora hakuna mbwa yeyote asiyejua,wanapika kelele kufubaza njaa zao kwenye kibanda cha unafiki.
 
Back
Top Bottom