Shida nyingine hii hapa
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Nimeona mtoa mada kaongelea midoli ngono, lesbianism, gays, ndoa za mikataba na ndoa za wanyama. Hoja yako ijikite kwenye vyote sio kakitu kamoja tuMnawasingizia sana wazungu ndiyo maana kila siku tunaparanganyika sababu hatujifunzi kutokana na makosa yetu.
Yaani ushinde bar unaangalia mpira huku una bet halafu unakuja kumsingizia mzungu?
Vujana wanaacha kupambana ili kujikwamua kimaisha wanaamua kutafuta shortcuts za kuwa machawa na wengine kuliwa kinyume cha maumbile ile watoboe mnakuja kuwasingizia wazungu?
Mambo ya ndoa huanzia rohoni na yako kiroho zaidi. Ukiendesha ndoa kwa namna ya kimwili jua ndoa yako isha teleza na kumwagika.Nimekuelewa Sana Mkuu. Na ndio maana nimerudi nyuma kabisa.
Kama ulivyosema ndoa ni baraka ya Mungu. Ambayo imeshatushinda ndio maana imekuwa rahisi aina nyingine ya ndoa kuibuka na kukubalika na binadamu.
Umeletwa na mzungu1. Usawa wa kijinsia
Wazungu na mambo yao ya women empowering. (Wanawake kuwezeshwa kiuchumi ni jambo bora sana, ila kadiri unavyokuwa kiuchumi ndivyo unavyotakiwa kuwa mnyenyekevu kwa mumeo)Uharakati katika mapenzi
Acha tu mzee mwenzangu.Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.
Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)
Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.
Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.
Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Utaambiwa tafuta hela , wakat huo huo mke wa Billgate alimwacha mke wake , nafkr ndoa inahtaji mpendane tuu , upendo huwa unameza kasoro nyingi Sana na ni nguzo ya uvumilivu .... Money can not buy this , mkioana Kwa kuangalia material thing , hamchukui round, ni ngumu kuvuka miaka 15 mkiwa pamojaMzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Tumejikaanga kwa mafuta yetu wenyewe. Nchi inategemea misaada, taasisi za dini zinategemea misaada.Acha tu mzee mwenzangu.
Yaani navyoyachukiaga hayo mazungu,nikiyaonaga huwa nawaangalia kwa jicho baya sana.
Inasikitisha mnooTumejikaanga kwa mafuta yetu wenyewe. Nchi inategemea misaada, taasisi za dini zinategemea misaada.
Hamna msaada usio na masharti
Yaan sijui ni mihemkoMzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Tunahitaji uhuru wa fikra utakaotupa uhuru wa kipato. Hatuwezi kuwa na mambo yetu wenyewe kwa kutegemea misaadaInasikitisha mnoo
SureDuuh hali ni mbaya na inatisha
Muhimu wazazi kuwafatilia kwa kila hatua watoto wao na kuwapa elimu na misingi bora ya malezi bila kuchoka.
Ni wapi nimewasingizia wazungu? Je sex dolls hazijaletwa na wazungu? Vipi kuhusu ndoa za mkataba hazijaanzia kwao? Ndoa na wanyama je? Ushoga?Mnawasingizia sana wazungu ndiyo maana kila siku tunaparanganyika sababu hatujifunzi kutokana na makosa yetu.
Umeandika ukweli Mkuu,tatizo ni kwamba tumeshikwa masikio ila hatutaki kukubali....UTANDAWAZI utatuuaNi wapi nimewasingizia wazungu? Je sex dolls hazijaletwa na wazungu? Vipi kuhusu ndoa za mkataba hazijaanzia kwao? Ndoa na wanyama je? Ushoga?
Elimu ya jando ilikuwa bora mara 100 kuliko ya sasa. Ili reflect maisha yetu halisi na namna ya kuyamudu.Umeandika ukweli Mkuu,tatizo ni kwamba tumeshikwa masikio ila hatutaki kukubali....UTANDAWAZI utatuua
Hii ni maono Yao tu ila hajaleta lolote wao wanafikisha mawazo Yao tu Kwa jamii. Tokea Hawa walikuwa wanapeana utamu .Zamani kulikuwa na utamaduni wa kabila hili na hili, ukaja utamaduni wa taifa na sasa kuna utamaduni wa dunia unaitwa new world order.
Utake usitake utaufuata huo utamaduni.
Leo ushoga unapigiwa promo ya kufa mtu uonekane ni jambo la kawaida.
Nchi zinazofadhili bajeti yetu ya elimu zinalazimisha tuingize mambo ya ushoga kwenye mitala yetu ya kufundishia.
Wanasiasa wetu hawawezi kukataa kwani wao ni watumwa wa pesa. Ukiwapa pesa tu wapo tayari kwa lolote.
View attachment 2488755View attachment 2488756
Ila ndoa pia si walileta wao? Labda wameamua kubadilisha.Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.
Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)
Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.
Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.
Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?