Mpango wa wazungu ni kuua kabisa taasisi ndoa

Mpango wa wazungu ni kuua kabisa taasisi ndoa

Mzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.

Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
True bablai-sema wazungu wanapenda sana kucheza na tope na wamezidisha ujinga
 
Nini kigumu kuelewa? Mtoa mada kasema ndoa. Wewe unaongelea ngono. Ndoa ni zaidi ya ngono
Kuna shida gani nikienda beyond na kuanzia kwenye mzizi wa tatizo?
Na nimefafanua kuwa wakati wengine wanafanya kwa kujufucha wengine wanajiweka wazi. Tatizo lipo wapi?
Unataka niendelee kujubu kwenye circle ndogo wakati naweza nikafungua kupata nafasi zaidi?
 
Mzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.

Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Aache kusingizia wazungu. Kwani sisi hatuna akili mpaka tufuate kila wanachokipenda. Mimi nafanya kazi na wazungu, na sent out staff wote wameoa na kuolewa na wana watoto.
 
Utaambiwa tafuta hela , wakat huo huo mke wa Billgate alimwacha mke wake , nafkr ndoa inahtaji mpendane tuu , upendo huwa unameza kasoro nyingi Sana na ni nguzo ya uvumilivu .... Money can not buy this , mkioana Kwa kuangalia material thing , hamchukui round, ni ngumu kuvuka miaka 15 mkiwa pamoja
Ndoa nyingi watu hawapendani, wanavumiliana tu ilimradi siku ziende
 
Ndoa ni mradi unaowasaidia wanawake na nothing else hata Ukioa hakuna faida unapata zaidi ya kuishi kitumwa na kuanza kuteseka na stress
 
Mtu anazaa bila kufuata utaratibu, anashindwa kuwapatia watoto mahitaji yote yanayohitajika kiroho na kimwili halafu mambo yameharibika; yeye anaona hahusiki kwa hayo yanayotokea anatafuta mtu mwingine, anamsingizia: ujinga!
Mtoto ni baraka ishu ya kipato ni unpredictable,leo ulikuwa nazo kesho zimepotea.
 
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.

Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)

Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.

Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.

Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?

Aseee hatar sana isijekuwa Sodoma na Gomora
Ee Mwenyezi tuepushie mbali.
Lutu mke wa Ibra aligeuka jiwe la chumvi sasa hiii ikitokea [emoji55]
 
Kuna shida gani nikienda beyond na kuanzia kwenye mzizi wa tatizo?
Na nimefafanua kuwa wakati wengine wanafanya kwa kujufucha wengine wanajiweka wazi. Tatizo lipo wapi?
Unataka niendelee kujubu kwenye circle ndogo wakati naweza nikafungua kupata nafasi zaidi?
Ndoa na ngono ni vitu tofauti
 
Ndoa na ngono ni vitu tofauti
Tofauti pekee inakuja kwenye viapo. The rest are all the same.
Uwe mwanandoa au usiwe mwanandoa wote hamu zenu za kimwili zitakatwa kwa kutumia viungo vilevile. Kuwa kwenye ndoa haimaanisha kuna viungo vya ziafa vitaongezeka ambavyo walio nje ya ndoa hawawezi kuwa navyo.
 
Mihimili ya ndoa ni miwili tu

1. Mwanaume amtunze mkewe pande zote mahitaji ya kimwili na kimaisha.

2. Mwanamke amtii muwewe.


Yakifanyika tu hayo basi upendo, subira, huruma na kila kitu vitakuwemo.

Yasipofanyika hayo basi chuki, visasi, dharau kukosa amani n.k. havitakosa.
 
Ndoa Mzungu hajaleta wao ni Mungu ndio ameleta ndoa .
Kingine imani Mungu kaileta Ile kuamini yupo na kumuomba yeye Kwa furaha au shida zako ulizonazo Kwa kumtolea sadaka na Kwa lolote unalotaka awepi Mungu hajaleta dini ameleta amri Kumi za Mungu , kumtolea sadaka , kumpenda yeye, kumjua yupo Ile imani ya kumjua Mungu yupo kumuamini yeye, nakumfuata ndioo maana alipozaliwa Yesu Kristo, waumini wake wakaona tuitwe wakristo wafuasi wake .


Ila sijajua kama watu wengine wadini nyingine wanajua haya yote.

Haya Sasa huwezi vurugiwa mipango Yako ya maisha . Akijaribu kuvuruga yake yeye ninani kama unataka kuoa unaoa kuolewa unaolewa ilimradi umempima afya ya akili na mengineyo


Ndoa ni maelewano GOOD DAY
Kama mzungu ndiye alikufanya uache imani zako ufuate zake na mzungu huyo huyo ndiye kakuletea ndoa maana ni lazima uende kanisani kubaliki ndoa.

Hizo ndoa zao hazina hata miaka 200 toka zije barani Africa wakati utaratibu wa ndoa za mababu zetu zipo zaidi ya miaka 8000 B.C.
 
Kama mzungu ndiye alikufanya uache imani zako ufuate zake na mzungu huyo huyo ndiye kakuletea ndoa maana ni lazima uende kanisani kubaliki ndoa.

Hizo ndoa zao hazina hata miaka 200 toka zije barani Africa wakati utaratibu wa ndoa za mababu zetu zipo zaidi ya miaka 8000 B.C.
Babu yako nani?
 
Back
Top Bottom