25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
wewe ufahamu wako mdogoMnashindwa lea watoto wenu mnawasingizia wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ufahamu wako mdogoMnashindwa lea watoto wenu mnawasingizia wazungu
Lea mtoto wako vizuri vinginevyo utaendelea singizia wazunguwewe ufahamu wako mdogo
True bablai-sema wazungu wanapenda sana kucheza na tope na wamezidisha ujingaMzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Kuna shida gani nikienda beyond na kuanzia kwenye mzizi wa tatizo?Nini kigumu kuelewa? Mtoa mada kasema ndoa. Wewe unaongelea ngono. Ndoa ni zaidi ya ngono
Aache kusingizia wazungu. Kwani sisi hatuna akili mpaka tufuate kila wanachokipenda. Mimi nafanya kazi na wazungu, na sent out staff wote wameoa na kuolewa na wana watoto.Mzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.
Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Ndoa nyingi watu hawapendani, wanavumiliana tu ilimradi siku ziendeUtaambiwa tafuta hela , wakat huo huo mke wa Billgate alimwacha mke wake , nafkr ndoa inahtaji mpendane tuu , upendo huwa unameza kasoro nyingi Sana na ni nguzo ya uvumilivu .... Money can not buy this , mkioana Kwa kuangalia material thing , hamchukui round, ni ngumu kuvuka miaka 15 mkiwa pamoja
Kama mliingia kimahusiano kupitia tiketi ya ngono badala ya URAFIKI + UCHUMBA + NDOA unategemea nini haswa [emoji848][emoji57]Ndoa nyingi watu hawapendani, wanavumiliana tu ilimradi siku ziende
Mtoto ni baraka ishu ya kipato ni unpredictable,leo ulikuwa nazo kesho zimepotea.Mtu anazaa bila kufuata utaratibu, anashindwa kuwapatia watoto mahitaji yote yanayohitajika kiroho na kimwili halafu mambo yameharibika; yeye anaona hahusiki kwa hayo yanayotokea anatafuta mtu mwingine, anamsingizia: ujinga!
Kama mliingia kimahusiano kupitia tiketi ya ngono badala ya URAFIKI + UCHUMBA + NDOA unategemea nini haswa [emoji848][emoji57]
Vuna ulichopanda tu na hakuna namna [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.
Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)
Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.
Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.
Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Umeandika nini bro?Lutu mke wa Ibra aligeuka jiwe la chumvi sasa hiii ikitokea
Wengine wamekaa uchumba hadi 5 year, lakini ndoa chali, wengine miezi na ndoa zinadumu. Hakuna formulaKama mliingia kimahusiano kupitia tiketi ya ngono badala ya URAFIKI + UCHUMBA + NDOA unategemea nini haswa [emoji848][emoji57]
Vuna ulichopanda tu na hakuna namna [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndoa na ngono ni vitu tofautiKuna shida gani nikienda beyond na kuanzia kwenye mzizi wa tatizo?
Na nimefafanua kuwa wakati wengine wanafanya kwa kujufucha wengine wanajiweka wazi. Tatizo lipo wapi?
Unataka niendelee kujubu kwenye circle ndogo wakati naweza nikafungua kupata nafasi zaidi?
Tofauti pekee inakuja kwenye viapo. The rest are all the same.Ndoa na ngono ni vitu tofauti
Kama mzungu ndiye alikufanya uache imani zako ufuate zake na mzungu huyo huyo ndiye kakuletea ndoa maana ni lazima uende kanisani kubaliki ndoa.Ndoa Mzungu hajaleta wao ni Mungu ndio ameleta ndoa .
Kingine imani Mungu kaileta Ile kuamini yupo na kumuomba yeye Kwa furaha au shida zako ulizonazo Kwa kumtolea sadaka na Kwa lolote unalotaka awepi Mungu hajaleta dini ameleta amri Kumi za Mungu , kumtolea sadaka , kumpenda yeye, kumjua yupo Ile imani ya kumjua Mungu yupo kumuamini yeye, nakumfuata ndioo maana alipozaliwa Yesu Kristo, waumini wake wakaona tuitwe wakristo wafuasi wake .
Ila sijajua kama watu wengine wadini nyingine wanajua haya yote.
Haya Sasa huwezi vurugiwa mipango Yako ya maisha . Akijaribu kuvuruga yake yeye ninani kama unataka kuoa unaoa kuolewa unaolewa ilimradi umempima afya ya akili na mengineyo
Ndoa ni maelewano GOOD DAY
Babu yako nani?Kama mzungu ndiye alikufanya uache imani zako ufuate zake na mzungu huyo huyo ndiye kakuletea ndoa maana ni lazima uende kanisani kubaliki ndoa.
Hizo ndoa zao hazina hata miaka 200 toka zije barani Africa wakati utaratibu wa ndoa za mababu zetu zipo zaidi ya miaka 8000 B.C.
Wewe unajua generations ngapi za babu zako? Meaning baba, babu, baba wa babu, babu wa babu, baba wa babu wa babu, e.t.cBabu yako nani?