Mpango wa wazungu ni kuua kabisa taasisi ndoa

Sio Mzungu ni nyie kutojituma acheni kuwasifia hawajawalazimisha kuwaiga .
 
This is beyond mzungu mkuu, huu na mpango wa shetani

We are dealing with a serious power, SATAN

Vijana tunajiropokea tu "Kataa ndoa" "Kataa ndoa" hatujui tunapigia debe mpango wa shetani

Kivyovyote mkuu kiama lazma kisimame, uko tunakolekea siko
 
Ni wapi nimewasingizia wazungu? Je sex dolls hazijaletwa na wazungu? Vipi kuhusu ndoa za mkataba hazijaanzia kwao? Ndoa na wanyama je? Ushoga?
Wachina wameumba kabisa sex doll, hao hamuwagusi.
Hapa bongo watu wananyetuka tangu kitambo. Sex dolls ni iPhone version tu ya kupiga punyeto😁😁.
 
Nimeona mtoa mada kaongelea midoli ngono, lesbianism, gays, ndoa za mikataba na ndoa za wanyama. Hoja yako ijikite kwenye vyote sio kakitu kamoja tu
Kwenye hoja yenye vingi kuna watakao chukua kimoja na kuna watakaochukua vyote. Hilo ni lazima.
Ukiongelea Ushoga, nenda Zanzubar, huko hayo mambo yapo tangu kabla ya utandawazi. Je walipelekewa na wazungu?
Tanzania bara niliwahi shuhudia miaka ya themanini, kipindi hicho hakuna mitandao wala tv, vijana ambao hawakuwahi kutoka hata nje ya kijiji wakienda kuchunga ng'ombe wengine walikua wakilana wenyewe kwa wenyewe tena wa jinsia moja, huku wengine wakufanya mapenzi na Mbuzi na ng'ombe, na hao hawakuwahi kuona TV, wala kusoma magazeti.
Tabia hujengeka ndani ya mwanadamu, na jamii nyingi hufanya mengi kwa usiri sema wengine hufanya kwa uwazi, lakini haimaanishi kuwa wao ndiyo waanzilishi.
 
Mzungu hawezi kuua ndoa kwa kulinda maslahi yake, naposema mzungu nazungumzia ile upper echelon (Matrix) cuz ndoa ndiyo mahali pekee mwanamke anamcontrol mwanamme. Imagine dunia bila umuhimu/ uwepo wa mwanamke, kila kitu kinakuwa hovyoo, hakuna serikali, hakuna jela, hakuna chochote, shule za boys ni mfano mzuri wa mwanamke akikosekana. Ili mwanaume afate utaratibu, kwa kiasi kikubwa ni lazima awe attached na mwanamke.
 
Shetani katika race ya Adamu aliingilia kwenye tendo la ngono na silaha hi hii ya ngono ndiyo atakayotumia kuleta kiyama.
Hata Bwana Yesu alirifaa ziku hizo zitavyokuwa kwamba ni kama siku za sodoma na gomora
 
Mazazi simama kwenye malezi na makuzi ya mtoto wako, hasa hawa wa kiume.
Ukishindwa kuwalea kwenye malezi ya ukakamavu, basi kukazwa na wenzao ni haki hao.

Malezi ni jukumu la mzazi lisilo na mbadala, sio la msichana wa kazi, mwalimu wa madrasa wala mwalimu wa sundy school.
Tuache kusingizia wazungu.
Tuache jukumu la malezi kumuachia Mungu...(kwanza hana muda wa kipumbavu kulea mwanao).

Mlipuko wa ushoga uko kwenye nchi maskini zote zenye kuiga iga kila kitu toka magharibi.
Ziko kwenye nchi zisizokuwa na utamaduni wake. Uwezi kukuta matakata ya hivi kule Urusi, Japani, china nk.
 
Tuendelee na kuwadhibiti mimi ntaanza kula mbususu za single mothers nione zina mnato gani na utamu wako mvuto wa idadi ya round 5 kama zinafika
 
Nini kigumu kuelewa? Mtoa mada kasema ndoa. Wewe unaongelea ngono. Ndoa ni zaidi ya ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…