FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hatutaki makemeo tunataka tuone kesi mahakamani.Shenzi wanaopinga,Mwabukusi anapinga na kukemea maovu yaliyo wazi.Kwahiyo hao wanaunga ulawiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki makemeo tunataka tuone kesi mahakamani.Shenzi wanaopinga,Mwabukusi anapinga na kukemea maovu yaliyo wazi.Kwahiyo hao wanaunga ulawiti?
Acheni aina hiyo ya porojo kuupindisha ukweli.Kwa manufaa ya upande wako.Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
yaani wewe bado kichwani kwako imekujaa akili ya dhuluma ndicho walichokizoea watawalaHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Huyo ni wa taaluma ya chawa wa mamaWewe ni wa taaluma gani? 😄
Huna akili hata kidogoNilijua tu kinachofuata hapo TLS Mwabukusi anataka aendeshe hiko chama kama mbowe anavoipeleka chadema.
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Mwabukusi hawezi kuitisha kikao cha TLS kwa ajili ya kila tukio ambalo TLS inatakiwa kulitolea tamko, ndio maana anaitwa Raisi wa TLS na hilo linampa mamlaka fulani ya kufanya mambo ya TLS ambayo ni routine ambayo hayaendi kinyume na Katiba ya TLS. Hajatoa tamko kubadilisha Katiba ya TLS.Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Yaweza kuwaMkuu huyo jamaa siyo kwamba yupo group moja na jimama na theopista?
ni suala la muda tu atakua kama marais wa TLS waliowahi kuvurunda sana hapo kablaHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.

Kama Magufuli asingekuwa rais, aliyokuwa anayafanya angeambiwa ni mwanaharakati. Kwenye nchi hii ukikemea dhuluma zinazofanywa na serekali waziwazi, utaitwa mwanaharakati, na sio professional. Yaani kipimo cha professional ni kufanya mambo kwa woga.Huyo mwamba hawezi dumu, hicho ni chama cha ma-professional siyo chama wanaharakati
Umoja wa Wanawake TanzaniaUWT mnajua kujifurahisha sn
Ndugu story za kutunga hazina soko sikuhizi. Uwezo wenu wa kuspin umepungua mnoHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Matamko Yana ubaya Gani??Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.