Mpendwa Rais Magufuli, Dodoma haina maji. Hali ni mbaya!

Mpendwa Rais Magufuli, Dodoma haina maji. Hali ni mbaya!

My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Hamieni Chato
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Na miaka yote Dodoma ni ngome ya CCM,sasa inakuwaje wakati Rais anasema wapinzani ndiyo wametuchelewesha kupata maendeleo? Mitano tena
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Hivi kwanini mang'ombe yanakimbiliaga kulaumu watu wa mzee! Eti utasikia wanamdanganya sijui nini!!. Nina zenu nyie!!
 
Sio Ilazo tu.Kikuyu pia. Maji yanatoka mara 1 ktk week nayo "churururu....", kama mkojo wa panya(Sorry).Wakati mvua ikinyesha tulikuwa tukikinga maji ya mvua...,Sasa hivi mvua nayo imesimama....,HALI NI MBAYA MNOOO
Bila shaka unaishi ilazo wewe.
 
My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).

Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.

Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.

Please visit in person and act
Chimbeni visima vyenu mpeane maji,kila kitu mkimsubiri Magufuli mtachelewa sana,muoneni huruma Baba wa Watu ana kazi nyingi sana za Nchi!!
 
Kwani ishu si ni kutatua shida ya maji au kurudi Dar?

Hapa kuna watu wamechukia au hawapendi serikali kuhamia Dodoma maana walikuwa na maslahi yao binafsi Dar

Huko Dar nako kuna shida nyingi zaidi ya hilo la maji lakini hatusikii makelele.Kwa Dodoma ilipofikia watu wasijisumbue kwamba serikali itarudi Dar Ili waendelee kusimamia vimiradi vyao
Kuna watu wana hasira wanamalizia hapa. Nilishawahi kusikia Rais anasema kwa msisitizo makao makuu Dodoma na hata akija kuondoka itabaki kuwa makao makuu hakuna namna. Nadhani tukubali hali halisi tu hakuna namna.
 
Kesho kutwa atakuwa anazindua ule mradi mkubwa wa maji ya ziwa Victoria pale Tabora mjini.

Haya maji yakifika Dom itakuwa kitu kikubwa sana.

Shida ya nchi hii ni viongozi kujifanya hawajua vipaumbele vya watu wao.

Ni trillion moja tu inabadili historia yote ya shida ya maji Dodoma.
 
Back
Top Bottom