tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Maendeleo huletwa na ccm,[emoji870]tenaaHuyu Awesu amekazana kutumbua tu anasahau kuwa maji hakuna!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo huletwa na ccm,[emoji870]tenaaHuyu Awesu amekazana kutumbua tu anasahau kuwa maji hakuna!
Kiwanja cha kujenga ofisi kiko wapi?Chama cha mazezeta,[emoji870]tena
Aisee huko Tokyo maji ni balaa 24/7yanamwagika tu toka mlimani Rungwe.mkoa wa mbeya una neema sana...maji ni 24hours mpka uswahilini...nko iwambi majengo mapya presha ya maji mpaka ndoo inaanguka..karibuni mbeya
Hamieni ChatoMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Na miaka yote Dodoma ni ngome ya CCM,sasa inakuwaje wakati Rais anasema wapinzani ndiyo wametuchelewesha kupata maendeleo? Mitano tenaMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Ujinga ni mtaji wa CCMHata wao wenyewe wamejichelewesha, mpaka sasa hawana hata kiwanja tu cha kujenga kiofisi cha makao makuu ya chama! Kama huko siyo kujichelewesha ni nini [emoji2377]
Ndiyo faida ya kukurupuka. Wagogo watajibeba, mambo yote Chato tuKwakweli Dodoma hali ni mbaya kupita maelezo. DUWASA walishindwa kujipanga na ongezeko kubwa la watu kwa muda mfupi.
Na wewe tuondolee uzwazwa wako, maccm wenzako wanalilia maji wewe unaleta mizaha ya kipumbavu hapa.Kiwanja cha kujenga ofisi kiko wapi?
Hivi kwanini mang'ombe yanakimbiliaga kulaumu watu wa mzee! Eti utasikia wanamdanganya sijui nini!!. Nina zenu nyie!!My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Bado tupo busy kuitangaza ikulu ya chatoMimi siko Dom lakini hata huku mkoani (Dar) maji ni tabu hivyo hivyo sijui shida ni nini.
Bila shaka unaishi ilazo wewe.
ndio nchi ya viwanda lazima iwe hivyoMimi siko Dom lakini hata huku mkoani (Dar) maji ni tabu hivyo hivyo sijui shida ni nini.
Dar gani hiyo acha uzushiMimi siko Dom lakini hata huku mkoani (Dar) maji ni tabu hivyo hivyo sijui shida ni nini.
Chimbeni visima vyenu mpeane maji,kila kitu mkimsubiri Magufuli mtachelewa sana,muoneni huruma Baba wa Watu ana kazi nyingi sana za Nchi!!My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Na utakua haufi Maisha,hongera kwa kunawa no more Death!!Unahitaji maji tiririka ili kupambana na pneumonia. Nawa kila mara kwa sekunde ishirini kutumia maji tiririka.
Kuna watu wana hasira wanamalizia hapa. Nilishawahi kusikia Rais anasema kwa msisitizo makao makuu Dodoma na hata akija kuondoka itabaki kuwa makao makuu hakuna namna. Nadhani tukubali hali halisi tu hakuna namna.Kwani ishu si ni kutatua shida ya maji au kurudi Dar?
Hapa kuna watu wamechukia au hawapendi serikali kuhamia Dodoma maana walikuwa na maslahi yao binafsi Dar
Huko Dar nako kuna shida nyingi zaidi ya hilo la maji lakini hatusikii makelele.Kwa Dodoma ilipofikia watu wasijisumbue kwamba serikali itarudi Dar Ili waendelee kusimamia vimiradi vyao
Chato mjini [emoji870]tenaaKiwanja cha kujenga ofisi kiko wapi?